SUPER PREDATOR
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 2,093
- 725
Jamani wananchi wenzangu hebu tuulizane ni kipi kati ya kumsaidia matibabu mgonjwa wakati akiwa kwenye matibabu na kuhudhuria kwenye mazishi ya marehemu kwa mbwembwe nyingi na wapiga picha mkiwa kwenye magari ya kifahari?. Imekuwa ni jambo lilizoweleka kuona baadhi ya watu na viongozi kwenda kwenye misiba kwa ufahari mkubwa kiasi cha kuzuia hata watu wengine wasiende kwenye misiba ili waonekane wao tu kwenye misiba hiyo, sasa naomba tujiulize hivi kuhudhuria sana kwenye misiba kunasaidia kupata kura za wananchi wanaotaka mabadiliko?.