Nimetenmbelea Soko Kuu la jiji la Mwanza leo.
Nimeshuhudia ukatili mkubwa sana dhidi ya kuku wanaochinjwa kwa ajili ya nyama:
1. Wapo waliokatwa vichwa na bado hawajafa- wanaendelea kuteseka
2. Kuna wanao chemshwa ili kutoa manyoya
3. Kuna wanao katwa katwavipande baada ya kuchunwa manyoya kwa ajili ya kuuzwa
Haya yote yanafanyika hapohapo sokoni kwa nje- gate la upande wa mashariki (Jinsi hali ilivyo ya ukatili natamani tu kuwa vegetarian...)
Hali ya usafi si nzuri- inatia kinyaa.
Wahusika chukueni hatua....
Nimeshuhudia ukatili mkubwa sana dhidi ya kuku wanaochinjwa kwa ajili ya nyama:
1. Wapo waliokatwa vichwa na bado hawajafa- wanaendelea kuteseka
2. Kuna wanao chemshwa ili kutoa manyoya
3. Kuna wanao katwa katwavipande baada ya kuchunwa manyoya kwa ajili ya kuuzwa
Haya yote yanafanyika hapohapo sokoni kwa nje- gate la upande wa mashariki (Jinsi hali ilivyo ya ukatili natamani tu kuwa vegetarian...)
Hali ya usafi si nzuri- inatia kinyaa.
Wahusika chukueni hatua....