Ukatae au ukubali Kilimanjaro ndiyo mkoa wa watu wanaojielewa

Wachaga ni wachawi sana
Wakabila
Hawana maendeleo
Walevi sana
Wanawake wao wabaya
Wavivu
Wahuni sana

Wachaga hawa ni wezi wabkutupwa kila siku wanauawa kwa ajili ya wizi....

Tuendeleze chuki kali dhidi ya wachaga..maana ndio kilichobaki hatuna cha kuwafanya...

Wachaga ...wachaga...wachaga....wachaga ...nakosa usingizi.
Wanajifanya sana majinga makubwa

NB: na declare mm ni mchaga!
 
Wazee wa Dili feki, magumashi. Wako radhi wafanikiwe Kwa kuwakatili/kuwaumiza wengine.
 
Wachaga ni wachawi sana
Wakabila
Hawana maendeleo
Walevi sana
Wanawake wao wabaya
Wavivu
Wahuni sana

Wachaga hawa ni wezi wabkutupwa kila siku wanauawa kwa ajili ya wizi....

Tuendeleze chuki kali dhidi ya wachaga..maana ndio kilichobaki hatuna cha kuwafanya...

Wachaga ...wachaga...wachaga....wachaga ...nakosa usingizi.
Wanajifanya sana majinga makubwa

NB: na declare mm ni mchaga

Watu wa Kilimanjaro hasa Wachaga na wapare ndiyo makabila ya watu wao wanaojitambua hasa kuliko makabila mengine aisee na makabila mengine kutwa kuwaza majungu na unafiki kama wale wazee wa ndizi kule ulikoanzia ugonjwa wa Juliana huko

Binafsi mimi ni mtu niliokuwa nawachukia wachaga na watu wa Kilimanjaro kiujumla aisee wakuu moshi kumeendelea watu wanafanya kazi sijawahi kuona kwa makabila mengine ya Tanzania aisee.

Mkoa wa Moshi unapaswa uwe jiji halaka iwezekanavyo maana ndio mkoa uliokuwa na wachapakazi na wapambanaji that why wachaga wametapakaa Tanzania mzima kuliko makabila mengine ya hovyo hapa Tanzania.

Hata mkoa/ jiji jirani la wavaa makobazi wachanga ndiyo wanaongoza kiuchumi na wanaongoza kuchangia pato katika jiji hilo.
Ni watu wameelimika kuliko mikoa mengine ila 90% hawana utu wala maadili , wachoyo na wana roho za kuuana kiufupi wengi wao hawana sifa za ubinaadamu , usithubutu kuoa mchaga
 
Ukweli 100%, mi mwenyewe mchaga, nimeajiriwa mikoa tofauti ukiangalia life style yao unasema nakushukuru Mungu kunipeleka KLM maana inashangaza saaaana na inasikitisha yaani maeneo mengi ni watu wanaoishi “leo” hawakumbuki kama kesho ipo
 
Back
Top Bottom