Ukarabati wa Ghorofa Mbili zilizobomolewa Kule Masaki.

Mlachake

JF-Expert Member
Oct 13, 2009
4,412
4,559
Kuna ghorofa Mbili zilivunjwa kule masaki maeneo ya Toure Drive kwa Amri ya mahakama, Kisa ujenzi wake haukufuata taratibu za mipango miji.
Leo nimepita maeneo yale naona ujenzi unaendelea.
Kama mmiliki amshinda kesi Ina maana Serikali ilikurupuka kuchukua uamuzi wa kuyabomoa.
Does anyone have the story behind this? Au wamevizia tukiwa bize na Loliondo wakafanya mambo?
 
Kuna ghorofa Mbili zilivunjwa kule masaki maeneo ya Toure Drive kwa Amri ya mahakama, Kisa ujenzi wake haukufuata taratibu za mipango miji.
Leo nimepita maeneo yale naona ujenzi unaendelea.
Kama mmiliki amshinda kesi Ina maana Serikali ilikurupuka kuchukua uamuzi wa kuyabomoa.
Does anyone have the story behind this? Au wamevizia tukiwa bize na Loliondo wakafanya mambo?
maopportunist ndivyo wanavyofanikisha mambo yao hivyo ....wanategea mijadala ya loliondo imepamba moto nao wanachangamkia 'tenda'!
 
Kuna ghorofa Mbili zilivunjwa kule masaki maeneo ya Toure Drive kwa Amri ya mahakama, Kisa ujenzi wake haukufuata taratibu za mipango miji.
Leo nimepita maeneo yale naona ujenzi unaendelea.
Kama mmiliki amshinda kesi Ina maana Serikali ilikurupuka kuchukua uamuzi wa kuyabomoa.
Does anyone have the story behind this? Au wamevizia tukiwa bize na Loliondo wakafanya mambo?

Jamaa alishinda kesi mazee......
 
Back
Top Bottom