Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Kuna ghorofa Mbili zilivunjwa kule masaki maeneo ya Toure Drive kwa Amri ya mahakama, Kisa ujenzi wake haukufuata taratibu za mipango miji.
Leo nimepita maeneo yale naona ujenzi unaendelea.
Kama mmiliki amshinda kesi Ina maana Serikali ilikurupuka kuchukua uamuzi wa kuyabomoa.
Does anyone have the story behind this? Au wamevizia tukiwa bize na Loliondo wakafanya mambo?
Leo nimepita maeneo yale naona ujenzi unaendelea.
Kama mmiliki amshinda kesi Ina maana Serikali ilikurupuka kuchukua uamuzi wa kuyabomoa.
Does anyone have the story behind this? Au wamevizia tukiwa bize na Loliondo wakafanya mambo?