Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,502
- 9,282
Ukarabati wa Barabara ya Tegeta A (Kwa Bedui) umeanza baada ya Wananchi kulalamika Ubovu wa Barabara hiyo ambayo imekuwa kero kwa Watumiaji kwa zaidi ya Miezi mitano
Viongozi wetu mpaka tuwashtue kidogo ndio wakumbuke kwamba tumewaajiri
========
Malalamiko ya Awali: KERO - Barabara Tegete A ni kero, kama wameshindwa kuboresha watuambie Wananchi tujichange
Viongozi wetu mpaka tuwashtue kidogo ndio wakumbuke kwamba tumewaajiri
========
Malalamiko ya Awali: KERO - Barabara Tegete A ni kero, kama wameshindwa kuboresha watuambie Wananchi tujichange