Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,328
- 5,270
Mimi nimekuwa nikisoma hapa jf kuwa cdm ni chama cha wachagga mara cha ukoo mara cha kidini,mara ukanda,naomba mnipe ufafanuzi bila kukurupuka,musoma,ukerewe;kigoma ;iringa mbeya ,mwanza ni ngome kuu ya cdm huo ukanda umekaaje hapo ,waha,wakurya na wahehe nao ni wachagga?jibuni hayo kwanza