Ivi ww mwehu unatatizo gani na chadema?
Tra wameajiriwa wote.kwani kamishna mkuu ni mchaga?kamishna ni msukuma bado mnalalamika
Teh teh teh..kwanini wanasema verification itahusisha vyeti vya chuo tu??kwanini wanakwepa elimu ya secondary??...huko ndiko tumeona vyeti feki vingi vinavyowapeleka watu ma vyuoni....kwanini hawa TRA wanakwepa verification kuanzia elimu ya secondary??....mbona kwingine imefanyika kuanzia elimu ya secondary??..kuna shida hapa...
Kama zile nguzo za umemeTanesco pia kumeoza
Ni pamojana kazi yakukwapua pia. Ni wabaaaaaaayaaaaaa hao jamaa, acha kabisaIla kusema kweli mie ni mtani wa wachaga ila popote ofisini hawa jamaa wanachapa kazi sana tofauti na makabila wengine hawapendi kujituma. ukweli utabaki kuwa kweli!
Soma barua uielewe, au ki-english haipandi. If yes, omba kutafsiriwa.Kwani academic certificate na professional certificate Kuna tofauti gani...
Nashangaa watu wanaosema vyeti vya secondary wameachwa
Ni muhimu wapeleke na vyeti vya sekondari. Mbali ya bungeni baada ya hao ihamie baraza la mawaziri na kisha mpaka staff yote ya ikuluBungeni lini?
Alafu mbona vya sekondari wameacha?
vya sekondari wengi hawana. na sio kwamba hawakusoma na kuvipata ila wengi wamevipoteza. na kuvipata nadhani wajua mlolongo wake so wengi wakavipotezea. so kama mtu kamaliza degree udsm au chuo kinachotambulika ofcoz alishapitia usahili wote unahousisha hivyo vyeti vya chini na ndio maana wameona havina umuhimu.
unataka kutuvurugia aman ya nchi ww!!! jeshini???bado POLISI, JWTZ, MAGEREZA NA UHAMIAJI.....HAKI KWA WOTE
jiwe gizani....teheeeForm four mlisoma nini zaidi ya kukalili kinacho matter ni fani kwa iyo wako sahihi we maswala ya binadamu wa kwanza aliishi Tanzania inahusika vp TRA
Wabunge ni viongozi.Hivi nini maana ya utumishi wa umma?
Kumbe wabunge si watumishi wa umma {watanzania}?
Kumbe wamejaw vilaza.Huko kote wanakuja tulikuwa tunaaminishwa kuwa serikalini wamejaa wasomi
Prof. Ndalichako: Kiama kinakuja wanaotumia vyeti feki makaziniUKAGUZI GANI HUO UNAFANYWA NA MA HR TENA HAO HAO NDIO WALIONGIZA NDUGU ZAO NA JE KWANINI WAANZE NA DEGREE NA ILIHALI HUKU FORM 4 NA 6 NDIO VYETI VINGI FEKI. MM NAPATA MASHAKA ARE WE REALLY SERIOUS AU BASI MWATAKA KIKI MUONEKANE MNAFANYA HAPA KAZI TU? NAAMINI HYO SIO DHAMIRA YA RAISI KIDATU JIANGALIE MAANA HUELEWEKI MAAMUZI YAKO KAMA UMETIA AIBU KWENYE SUALA DOGO TU LA VAT BASI HILI LA VYETI UWE MAKINI