Wakuu wanajukwaa,
Natumaini wote mpo fine. Jamaa yangu ambaye tumeoa nyumba moja, (yeye kaoa Mkubwa, mimi mimeoa mdogo mtu) kakosea alitaka kutuma ujumbe kwa nyumba ndogo yake badala yake akatuma kwa Mama Mkwe wetu. Ujumbe wenyewe unataja kiungo cha uzazi cha mwanamke kwa jina lake kabisa. Nanukuu lakini kwa kwa kuwa hili sio jukwaa la wakubwa nitaweka nyota sehemu husika. Ujmbe wenyewe uko hivi;
"K*** acha iitwe K***. K*** inakupa kazi, k*** inagombanisha wanaume, k*** inaliza watu na heshima zao, K*** inajenga nyumba, k*** inatoa watoto."
Jifanye hali hii imekukuta wewe, ungefanyeje?
My take: Ndugu wanajukwaa tuwe makini sana na hizi message tunazotumiana kama mzaha
Natumaini wote mpo fine. Jamaa yangu ambaye tumeoa nyumba moja, (yeye kaoa Mkubwa, mimi mimeoa mdogo mtu) kakosea alitaka kutuma ujumbe kwa nyumba ndogo yake badala yake akatuma kwa Mama Mkwe wetu. Ujumbe wenyewe unataja kiungo cha uzazi cha mwanamke kwa jina lake kabisa. Nanukuu lakini kwa kwa kuwa hili sio jukwaa la wakubwa nitaweka nyota sehemu husika. Ujmbe wenyewe uko hivi;
"K*** acha iitwe K***. K*** inakupa kazi, k*** inagombanisha wanaume, k*** inaliza watu na heshima zao, K*** inajenga nyumba, k*** inatoa watoto."
Jifanye hali hii imekukuta wewe, ungefanyeje?
My take: Ndugu wanajukwaa tuwe makini sana na hizi message tunazotumiana kama mzaha