Wakili
JF-Expert Member
- Jun 19, 2017
- 529
- 644
Heshima kwenu wote humu ndani.
Leo napenda kushare na ninyi hii siri.
Je wajua kua NASA, ni taasisi ya siri ya kijeshi ya jeshi la Marekani, ambayo serikali ya Marekani ime-invest millions of dollars ili kufanya majaribio ya makombora ya masafa ya mbali yaani ICBM, Inter Continental Balistic Missile.
Unavyoona wanarusha rocketi kwenda mwezini jua kabisa sio rocketi bali ni makombora ya masafa marefu.
Hakuna binadamu aliyewahi kukanyaga mwezini hata siku moja,zile picha na video zinazo onyesha wanasayansi wanaelea angani jua kabisa kua ni CGI, yaani Computer Generated Images.
Kaa ukijua kua NASA ni taasisi ya siri ya jeshi la Marekani na ni sehemu ya ku-testia makombora ya masafa marefu yaani Inter Continental Balistic Missile,ICBM.
Dunia sio umbo la gololi au mpira dunia ni flat, na hakuna sayari nyingine yeyote ndani ya universe,sayari ni moja tu nayo ni dunia which consist of only sun,moon and the stars.
The Earth is Flat.No one has ever been to the moon.Sayari nyingine zote ni uongo wa NASA, sayari ni moja tu nayo ni dunia na ndani yake vilivyomo ni jua,mwezi na nyota tu, usidanganywe kua kuna sayari nyingine angani.
Nakaribisha maswali
Leo napenda kushare na ninyi hii siri.
Je wajua kua NASA, ni taasisi ya siri ya kijeshi ya jeshi la Marekani, ambayo serikali ya Marekani ime-invest millions of dollars ili kufanya majaribio ya makombora ya masafa ya mbali yaani ICBM, Inter Continental Balistic Missile.
Unavyoona wanarusha rocketi kwenda mwezini jua kabisa sio rocketi bali ni makombora ya masafa marefu.
Hakuna binadamu aliyewahi kukanyaga mwezini hata siku moja,zile picha na video zinazo onyesha wanasayansi wanaelea angani jua kabisa kua ni CGI, yaani Computer Generated Images.
Kaa ukijua kua NASA ni taasisi ya siri ya jeshi la Marekani na ni sehemu ya ku-testia makombora ya masafa marefu yaani Inter Continental Balistic Missile,ICBM.
Dunia sio umbo la gololi au mpira dunia ni flat, na hakuna sayari nyingine yeyote ndani ya universe,sayari ni moja tu nayo ni dunia which consist of only sun,moon and the stars.
The Earth is Flat.No one has ever been to the moon.Sayari nyingine zote ni uongo wa NASA, sayari ni moja tu nayo ni dunia na ndani yake vilivyomo ni jua,mwezi na nyota tu, usidanganywe kua kuna sayari nyingine angani.
Nakaribisha maswali