Endeleaaa
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,485
- 738
Kuna Watu Jijini Dar Es Salaam wamekuwa akiwashawishi watu kuwa ile kampuni yaTalktel, kampuni ya simu ilokuwa inasubiriwa kwa hamu mara habari zake zikapotelea hewani sasa inakuja tena Tanzania.
Wadau hawa wanawaaminisha watu kuwa Talktel is already in Uganda and soon in Tanzania. Partiners wake ni Americans.
Tafadhali kama kuna yeyote anaejua undani wa hii Talktel atufahamishe maana nahisi watanzania wengi watakuwa wanalizwa huko mtaani kwa style ya kuaminishana kuwa watapewa ajira za mishahara minono. Website wanayowakoga nayo watu ni Talktel Communications
Tafadhali kama unajua lolote kuhusiana na hii kitu Talktel tuhabarishane.
Wadau hawa wanawaaminisha watu kuwa Talktel is already in Uganda and soon in Tanzania. Partiners wake ni Americans.
Tafadhali kama kuna yeyote anaejua undani wa hii Talktel atufahamishe maana nahisi watanzania wengi watakuwa wanalizwa huko mtaani kwa style ya kuaminishana kuwa watapewa ajira za mishahara minono. Website wanayowakoga nayo watu ni Talktel Communications
Tafadhali kama unajua lolote kuhusiana na hii kitu Talktel tuhabarishane.