Ujio wa TalkTel Tanzania [Huyu mtu ni tapeli au Mkweli?]

Endeleaaa

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
1,485
738
Kuna Watu Jijini Dar Es Salaam wamekuwa akiwashawishi watu kuwa ile kampuni yaTalktel, kampuni ya simu ilokuwa inasubiriwa kwa hamu mara habari zake zikapotelea hewani sasa inakuja tena Tanzania.

Wadau hawa wanawaaminisha watu kuwa Talktel is already in Uganda and soon in Tanzania. Partiners wake ni Americans.

Tafadhali kama kuna yeyote anaejua undani wa hii Talktel atufahamishe maana nahisi watanzania wengi watakuwa wanalizwa huko mtaani kwa style ya kuaminishana kuwa watapewa ajira za mishahara minono. Website wanayowakoga nayo watu ni Talktel Communications

Tafadhali kama unajua lolote kuhusiana na hii kitu Talktel tuhabarishane.
 
Tapeli kivipi? Kama kuna kazi subirini kampuni ifunguliwe upate kazi, anyway nina wasiwasi maana kampuni ya simu hata domain name wanashindwa kulipia?
 
Hiyo kampuni ilishabadilishwa jina na kuitwa 4G Ltd ni kampuni hai na itaanza kuendesha shughuli zake muda wowote kuanzia sasa!

Usipende kuaminishwa maneno ya mitaani ndugu, nenda ofisi zao sipo makonde mbezi beach nyuma ya jengo la Sams Super Store!

Ni kampuni hai iliyotimiza taratibu zote za kuendesha biashara ya mawasiliano Tanzania, sio ya kificho!
 
Hiyo kampuni ilishabadilishwa jina na kuitwa 4G Ltd ni kampuni hai na itaanza kuendesha shughuli zake muda wowote kuanzia sasa!

Usipende kuaminishwa maneno ya mitaani ndugu, nenda ofisi zao sipo makonde mbezi beach nyuma ya jengo la Sams Super Store!

Ni kampuni hai iliyotimiza taratibu zote za kuendesha biashara ya mawasiliano Tanzania, sio ya kificho!

kaka 4G kwenye Mtandao wao hawaoneshi popote kuwa mwanzo walikuwa ni Talktel na sasa ni 4G. Binafsi nimewahi kukutana na mmoja wa hao watu wa Talktel, mazungumzo yake hayaleti uhusiano wowote between the two Companies, hii inanifanya hata hao 4G nianze kuhofu pia sio wa ukweli maana website yao inaongelea tu habari za wimaxi as technology. Tuliangalie hili kwa mapana zaidi.
 
Hiyo kampuni ilishabadilishwa jina na kuitwa 4G Ltd ni kampuni hai na itaanza kuendesha shughuli zake muda wowote kuanzia sasa!

Usipende kuaminishwa maneno ya mitaani ndugu, nenda ofisi zao sipo makonde mbezi beach nyuma ya jengo la Sams Super Store!

Ni kampuni hai iliyotimiza taratibu zote za kuendesha biashara ya mawasiliano Tanzania, sio ya kificho!

acha watuletee kazi za ICT bwana
 
kaka 4G kwenye Mtandao wao hawaoneshi popote kuwa mwanzo walikuwa ni Talktel na sasa ni 4G. Binafsi nimewahi kukutana na mmoja wa hao watu wa Talktel, mazungumzo yake hayaleti uhusiano wowote between the two Companies, hii inanifanya hata hao 4G nianze kuhofu pia sio wa ukweli maana website yao inaongelea tu habari za wimaxi as technology. Tuliangalie hili kwa mapana zaidi.
hebu tupia hiyo website yao hapa tuone
 
Kuna Watu Jijini Dar Es Salaam wamekuwa akiwashawishi watu kuwa ile kampuni yaTalktel, kampuni ya simu ilokuwa inasubiriwa kwa hamu mara habari zake zikapotelea hewani sasa inakuja tena Tanzania.

Wadau hawa wanawaaminisha watu kuwa Talktel is already in Uganda and soon in Tanzania. Partiners wake ni Americans.

Tafadhali kama kuna yeyote anaejua undani wa hii Talktel atufahamishe maana nahisi watanzania wengi watakuwa wanalizwa huko mtaani kwa style ya kuaminishana kuwa watapewa ajira za mishahara minono. Website wanayowakoga nayo watu ni Talktel Communications

Tafadhali kama unajua lolote kuhusiana na hii kitu Talktel tuhabarishane.

mkuu, wewe tatizo lako ni nini? hautaki hawa mabwana waje, ama nawewe ni mdau wa mawasiliano, so, unaogopa ushindani? haueleweki
 
kaambiwa atoe chochote huyo apate ajira...... h hee heee
 
Hiyo kampuni ilishabadilishwa jina na kuitwa 4G Ltd ni kampuni hai na itaanza kuendesha shughuli zake muda wowote kuanzia sasa!

Usipende kuaminishwa maneno ya mitaani ndugu, nenda ofisi zao sipo makonde mbezi beach nyuma ya jengo la Sams Super Store!

Ni kampuni hai iliyotimiza taratibu zote za kuendesha biashara ya mawasiliano Tanzania, sio ya kificho!

Mbona hiyo 4G ilikuwa ianzishwe na kina Karamagi sijuhi kulitokea nini tena, lakini nilipo check humu nikaona kampuni yenyewe niya Kimerikani ina Branch na Uganda, sasa kwenye web site yao mbona awesemi hapo Tanzania wanashikiana na akina nani?
 
Hakuna Relationship kati ya Talktel na 4G mobile, Inawezekanaje 4G mobile wanunue kampuni ambayo haina kibali cha biashara Nchini? Vile vile hakuna popote 4G mobile ime declare kununua Talktel.

Back to 4Gmobile, Website yako haioneshi wao ni akina nani zaidi ya kuweka links na simulizi wa product za Wimax.

Ninachokuambieni wale wasio na ajira kuweni waangalifu na haya makampuni ya mapya.
 
Back
Top Bottom