Ujio wa Lowassa CHADEMA waidhoofisha UKAWA Shinyanga mjini

Mkuu huo ni uongo uliotukuka,masele alikataliwa na wanashinyanga tangu kampeni za mwaka 2010 chaguo lao lilikua shilembi[rip] na wakampitisha kwa nguvu ndo leo hii wamkubali??kwa lipi hasa alilolifanya?ama kwa kuwahidi vijana kuwatafutia ajira migodini then wakimfata na vyeti vyao toka vyuo vya madini huishia kujibiwa ovyo??sasa kama ulikua hujui ccm hawana chao mji wa shinyanga tena na huyo masele ndo ausahau tena ubunge maana hata hao daladala wa baiskeli mlokua mkiwategemea leo hii wameamka
 
Watu wako JF 24/7 wanasherehekea utafikiri jf ndiyo itawapeleka Magogoni. Nendeni huko vijijini waliko wapiga kura mkawaeleweshe lengo hasa la fisadi kuwaingilia ni nini. Ukali, matusi na umaarufu wa hapa jf hautawaletea ushindi hapo October. Be real please!
 
Kichwa cha habari na habari haviendani huku ni ujio wa Lowasa huku unaeleza Magufuli na Masele
 
Ndugu wanajamvi!

Hali ya kisiasa katika jimbo la Shinyanga mjini imezidi kuimarika kwa upande wa CCM na kuwa mbaya kwa wana UKAWA.

Awali kabla ya ujio wa Lowassa ndani ya CHADEMA, UKAWA walikuwa na nguvu kubwa kiasi cha kutishia uendekezo wa CCM kulitawala jimbo hili.

Hivi sasa kila kona ya mji wa Shinyanga gumzo ni Magufuli na mbunge anayemaliza muda wake, Mhe. STEVEN MASELE.

MASELE anatajwa na wananchi wingi kama mbunge kijana shupavu aliewaletea maendeleo lukuku wananchi wa Shinyanga ndani ya miaka Kitano tu.

MAGUFULI anatajwa kama kiongozi asiyetetereka na mwenye kusimamia kanuni na sheria.

Kifupi ni kuwa UKAWA hawana chao katika uchaguzi huu hapa Shinyanga.
NEWZZ...UKAWA sasa ni vyama 6,hivi vyama viwili vimejiunga leo

Wakati vyama vinne vinavyounda UKAWA, vimempitisha Edward Lowassa kugombea urais, vyama vingine vya SAU na APPT-Maendeleo vimetangaza kumuunga mkono mgombea huyo katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu.

Katibu Mkuu wa SAU, Ali Kaniki alisema chama hicho kimefikia uamuzi wa kuunga mkono umoja huo kutokana na nafasi kubwa iliyopo ya kushika dola. Kaniki alisema kwa sasa wana wanachama zaidi ya 500,000 nchi nzima, hivyo wanaamini kuwa na mchango katika harakati hizo.

Mwenyekiti wa APPT-Maendeleo, Peter Mziray alisema chama hicho kinaamini mabadiliko kupitia kambi ya upinzani, hivyo wameamua kuunga mkono UKAWA.

“Uchaguzi wa mwaka 2010, nilishika nafasi ya nne kwa kupata kura 96,000, lakini pia tuna madiwani watatu na wanachama wameongezeka kwa hivyo ninaamini mchango wetu utakuwa na nafasi kubwa UKAWA,”
Mwenyekiti wa UDP, Mkoa wa Dar es Salaam, Joackim Mwakitinga alisema chama hicho kitakuwa tayari kuunga mkono mgombea mmoja kutoka CCM au UKAWA.
“Nafasi ya urais hatutasimamisha mgombea ila tutaunga mkono kati ya vyama hivyo wakati wa kampeni.”
 
Ndugu wanajamvi!

Hali ya kisiasa katika jimbo la Shinyanga mjini imezidi kuimarika kwa upande wa CCM na kuwa mbaya kwa wana UKAWA.

Awali kabla ya ujio wa Lowassa ndani ya CHADEMA, UKAWA walikuwa na nguvu kubwa kiasi cha kutishia uendekezo wa CCM kulitawala jimbo hili.

Hivi sasa kila kona ya mji wa Shinyanga gumzo ni Magufuli na mbunge anayemaliza muda wake, Mhe. STEVEN MASELE.

MASELE anatajwa na wananchi wingi kama mbunge kijana shupavu aliewaletea maendeleo lukuku wananchi wa Shinyanga ndani ya miaka Kitano tu.

MAGUFULI anatajwa kama kiongozi asiyetetereka na mwenye kusimamia kanuni na sheria.

Kifupi ni kuwa UKAWA hawana chao katika uchaguzi huu hapa Shinyanga.

wewe unaesema.haya upo shinyanga weweee.
mi nipo hapa na nnishi hapa vijana wana ari kubea sana ya kulipa alilotendewa sherembi na kila kona wanahasira na magamba.wapo watu wakubwa wawili ktk chama mpaka sasa wamehamia cdm.
utadutwa kusema.masele kaleta maendeleo?yepi yataje labda kuisaidia stendi kuiba point za jkt ili kubaki ligi kuu kimazabe mazabe.
 
Mimi nilikuwa SHY. mjini jana hapo makazi ya Askari police, kwa hakina hakuna CCM pale mpaka police wenyewe wanakili kuwa LOWASA kaja na nguvu sana.
 
Lowasa anakubalika kila kata, kijiji na kila kitongoji cha Tanzania hii, hakuna namna CCM wanaweza kupenya tena, makosa yao yatawagharimu sana! hakuna namna tena, lazima mpigwe tu!
 
Chadema na ukawa kanda ya ziwa yote hawana lao nyie bavicha kushinda jf na viroba vyenu kucoment kila kitu ndo mnaota fisadi tamaa nyingi kuwa atakua rais,poleni sana.
 
Watu wako JF 24/7 wanasherehekea utafikiri jf ndiyo itawapeleka Magogoni. Nendeni huko vijijini waliko wapiga kura mkawaeleweshe lengo hasa la fisadi kuwaingilia ni nini. Ukali, matusi na umaarufu wa hapa jf hautawaletea ushindi hapo October. Be real please!

wewe unafanya nin hapa??
 
Ccm wameteswa sana uchaguzi serikali za mitaa au wakati huo masele hakuwepo? Mwaka huu mtakoma
 
Wacha uongo mimi nimetoka shinyanga juzi. Sio boda boda sio vijana sio tax driver wote wanamuongelewa Lowasa. Aliwaletea maji hapo mjini. Je makufuli alifanya nini?
Acha propaganda za kimahaba
 
Shinyanga mjini ni miongoni mwa miji ya zamani sana hapa Tz lakini mpaka leo hauna maendeleo yoyote !!!Bob Makani (RIP)alijaribu sana kuwaamsha lakini wapi !!!hakuna uhusiano wowote na ujio wa Lowassa jamaa hawana mwamko tu

Usemi wenu unajulikana, sehemu yoyote ile ambayo Chadema haina mvuto basi kwenu nyinyi hakuna maendeleo. Katika hiyo miji mnayoona kuna maendeleo, si yameletwa na serekali ya ccm, au kulikuwa na serekali nyingine?
 
Nahuku mza pombe ataisoma number, katumwa kuhadaa wana jf lakini kiukweli ni kwamba sisiem haina chake kabisaaa kanda ya ziwa; watu walishachoka na uongo wa ccm kwahiyo hawaangalii cha pombe wala makufuli kura ni kwa EL tu.:loco:
 
Back
Top Bottom