1. Ujinga ni wezi kugoma na kuandamana wakidai siku za mwizi ziongezwe kutoka 40 hadi 60
2. Ujinga ni shabiki wa arsenali kuoga na sabuni inaitwa 'ushindi'
3. Ujinga ni kuweka status facebook ukisema "mwisho wa mwezi umefika." alafu landlord wa nyumba unayoishi ana 'like'
4. Ujinga ni msichana kuvaa blouse imeandikwa 'nime-chill' wakati ni mja mzito
5. Ujinga ni kwenda media house kuomba kazi ya kuosha 'vyombo vya habari'
6. Ujinga ni kuuliza kama generator inatumia stima
7. Ujinga ni kupiga viatu rangi na unaenda kupigwa passport size photo
8. Ujinga ni kuitisha toothpick baada ya kunywa maji
9. Ujinga ni kumpa mtoto wako jina 'tov' ndio watuu mtaani wakuite 'babatov (berbertov)'
10. Ujinga ni kupaka ariel rangi ili tv yako ya black and white iwe coloured.