Mr Spider
JF-Expert Member
- Feb 28, 2020
- 1,416
- 2,542
Habarini wakuu, kwa anayetaka kujengewa mtambo wa biogesi anaweza kuni-pm. Bado jamii kubwa ya watanzania wanaendelea kutumia mkaa na wengine kuni, ingawaje utakuta ni wafugaji ambapo wangeliweza kutumia kinyesi cha ng'ombe au nguruwe kwa ajili ya kuzalishia gesi ya kupikia.
Karibuni sana kwa anayehitaji huduma.
Karibuni sana kwa anayehitaji huduma.