Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
jamani hii hainiingii akilini.....kuna mwanamke mmoja anayeishi Arusha maeneo ya Maji ya Chai amekuwa akibeba mimba miaka mitatu badala ya miezi tisa,anasema alipopata mtoto wa 5 ndipo matatizo yalianza....baada ya kuzaa huyo mtoto mimba nyingine ilibaki ndani ya kizazi....ki ufupi alipata watoto 17 kwa mtindo huo, wanne walifariki wakabaki 13 na sasa ninapoandika hapa ana mimba nyingine ina miaka miwili na nusu....kilichoniacha hoi kabisa ni kuwa, anapata mimba hizo bila kukutana na mumewe....jamani jamani!!!!
Source : ITV
Source : ITV