MEDDY UNIQUE
New Member
- May 25, 2011
- 2
- 0
Nimeshuhudia juzi usiku maeneo ya kigogo luhanga Dar es salaam nje ya hostel ya wasichana wa shule ya Loyola High majambazi wakiwaibia pesa watu amabao inaaminika walikuwa wakiwafuatilia muda mrefu yaani ni kimya kimya wakasimamisha gari na kumuonyeshea bunduki dereva then wakawapulizia dawa ambayo sikuitambua ila iko ndani ya kopo la spray na kuchukua begi dogo amabalo lilikuwa na pesa nilizo amini ni nyingi huku jambazi mmoja ameishika bunduki wazi bila wasiwasi kabisa na kisha kupanda gari na kutokomea mbali .Jamani tuache bihashara za kiswahili na kutembea na mapesa mengi huko ni kuuza roho !!!!!!!!