Ndukidi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,498
- 1,297
Kwani malkia au PM ndio walimuita!! ni kiherehere chake kilichompeleka huko wacha wampokee watakavyo!
wenzetu wako busy na kazi nyie na viherehere vyenu mnakwenda kusumbua watu.... safi sana siku nyingine tulia kwako uheshimike sio kila siku kiguu na njia
Ni kama baba ambaye kwa kuwa nyumbani kwake hakuacha hela ya mboga, basi kuliko kusikia malalamiko ya watoto na mkewe, yeye anakimbilia bar kukaa na kupiga story, mwisho wa siku hata ma bar maid wanaanza kumchoka ,a mwisho watamtukana tu.