Hakika unakitu kizuri ulichotaka kutwambia ila walio wengi hawaelewi aina ya uhandishi au style uliyotumia kufikisha ujumbe.Kwa ujumla ujumbe wako kwa watu makini wamekuelewa unataka kusema nini?Ila umeonyesha tu kuwa umeside upande gani japo kuwa umesema mambo ya kweli ambayo yako upande wa pili wa shilingi.Kibaya kuwa huyu uliyeside kwake kwa mujibu wa kuelewa kwako na ufafanuzi wako ni kuwa uwakilishi wako wa ujumbe ungesimama kusema ya upande wake pia kama ulivyozunguza ya upande wa pili.
Huku jamvini huyo ulieside kwake uwa HAUZIKI HATA KIDOGO,ni kana kwamba angejua siasa za Tanzania na mwendendo wake pamoja na kuwa alishafika ngazi kubwa angejiepusha akajishughurisha na biashara zake kama swaiba wake,kulikoni manake wakimchoka watamsambaratisha hata kidogo alichpaswa kubaki nacho watakomba.
Kila mcheza uchafu anafikilia na kujiona anauwezo wa kuyafanya yale ya ndoto zake yatimie,wanatabia moja utumia kukupima upeo wako kama kukushauri mzee wewe bado unakubalika,akizisikiza sauti hizo za wapambe hakika vitanda vitakuwa vingi kila mmoja kwa wakati wake.
Na kwakuwa kila mmoja ana mabilioni yake,kinachofanyika ni kuzitawanya ili kila mmoja kwa kutokuwa na ufahamu anafikilia kuwa Rais wa Tanzania lakini hatimae wataishi kumalizana kwa kuviziana kwenye chupa za maji ya salama.
Ugomvi wa panzi furaha ya kunguru,wote wanaongaika urais wa Tanzania kwa kujipenyeza kwa michezo michafu hakika wasahau.Japo wanaamini wana uwezo tunawasubiria.
Ila huyo mdau wa upande wako,sio mbaya wakati mwiingine akatafuta wazee walioko mitaani hawaulize kama kweli anaweza kuipata nafasi hiyo inawezekana hata mama Tanzania alishakasilishwa na unganganizi wake usio kuwa na chembe ya busara.
Kati yao wote wanaoangaikia urais hakuna hata mmoja wao atake kuwa Rais wa Tanzania,hata Rais mwenyewe itamuia vigumu kuliona ilo atampa nafasi kama yeye alivyoipewa bila kutegemea.
Jamaa kajiunga JF jana (tarehe 29 August 2011) na kutoa madongo mazito namna hii!!! Kweli mwaka huu magamba hayavuki... Nape ndugu yangu niaje hapa!?
Huyu Jamaa mbona katoweka, maana mi sijaelewa nini kinaendelea hapa!
Hapa ni Nape anashambuliwa na kunyang'anywa U-bin kabisa au kuna nini jamani wana-JF? Mnataka kusema ukiweka hizo picha ndio tutamtambua babae au?
Nilisema CCM haivuki septemba hii subiri baada ya NEC-CCM kama ikivuka mtaniambia, pia nilimwambia Dr. Slaa hasisumbuliwe na kelele za Nape juu ya kikao cha muhafaka maana CCM yenye ina migogoro mpaka imeinama mgongo kwa kubeba migogoro lakini imewashinda kuimaliza. Huyu Jamaa hasipo rudi hapa kuweka hii stori yake sawa na wazi nashauri Mods wafunge hii thread maana haieleweki labda kwa wale walioandika nae.
<br />you have talked a lot but you have said nothing....come again and tell what you wanted to say.
<br />
<br />
alitaka Kusema kuwa Nape anajipakazia, anadanganya, anasema uongo kuwa late Moses Nnauye ni babake.
Mke wa Nnauye aliwahi kumkana Nape kuwa si mmoja wa watoto wa mzee yule.
Kifupi Nape ni Mnyakyusa wa Rungwe mkoani Mbeya.
mbona mafumbomafumbo kama nyimbo za taarab,kulikoni?
Critics are our friends they show us our faults...... Think big mzee
Wana JF,
NIMESOMA KWA KITUO MAELEZO YA MTOA MADA NA KWAKWELI SIKUSHANGAA KWASABABU HOJA HII HAIJAANZA KUSEMWA JANA....WAFUATILIAJI WA MAMBO WATAKUMBUKA HOJA HII ILIANZA KUSEMWA MWAKA 2003 NILIPOAMUA KUKATAA KUWEKWA KWENYE BOX NISIGOMBEE UENYEKITI WA VIJANA TAIFA... WAKATI ULE ILIKOSA MASHIKO NA KUISHIA KUANDIKWA NA BAADHI YA MAGAZETI NA IKAPOTEA... LAKINI HAPA NIKIRI KUWA WALIOANZISHA HOJA HII WAKATI ULE NDIO BAADHI YAO WANAOJARIBU KUITUMIA LEO NA SABABU KUBWA NI ZILEZILE, ZA KUKATAA KUTUMIKIA WATU BINAFSI BADALA YAKE KUIWEKA NCHI MBELE NA KUWA MWAMINIFU KWA TAASISI BADALA YA MTU....
KINACHOJARIBU KUFANYWA HAPA NA MTOA MADA NI MAKUBALIANO YA KIKAO CHAO KILICHOFANYIKA MOROGORO MARA TU BAADA YA KUMALIZIKA KWA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA ILIYOFANYA MAAMUZI YA KU- REFORM CHAMA. KATIKA KIKAO HICHO KULIJADILIWA WAJUMBE WOTE WAPYA WA SEKRETARIETE PAMOJA NA MAMBO MENGINE ULIPITISHWA UAMUZI WA KUTUMIA HOJA YA UHUSIANO ULIO" tungwa" KATI YA NAPE NA MWANDOSYA KUJARIBU KUMCHAFUA NAPE... NA HII ILIAMULIWA BAADA YA KURIDHIKA KUWA " NAPE ANACHAFUA KITUMBUA KWA MSIMAMO WAKE MKALI JUU YA MATUMIZI MABAYA YA RASILIMALI ZA UMMA"......(ufisadi)....
SWALA LA MIMI (kuwatukana viongozi/wazee)... MPAKA LEO HAJATOKA MTU HADHARANI ASEME KWA USHAHIDI KUWA NILIYOYASEMA NA KUYASIMAMIA BAADA YA VIKAO VYA CHAMA DODOMA HAYAKUAMULIWA KWENYE KIKAO. ISITOSHE MPAKA SASA TUMESHA KUTANA MARA MBILI KIKAO CHA KAMATI KUU AMBACHO KWA MUJIBU WA KATIBA YA CCM NDICHO KINACHOANGALIA NA KUSIMAMIA MWENENDO WA UTEKELEZAJI WA MAAMUZI YA CHAMA, VIKAO VYOTE VIWILI KWA KAULI MOJA VIMEPONGEZA UTEKELEZAJI WA MAAMUZI YA CHAMA, SASA HOJA YA KUFANYA MAMBO YANGU INATOKA WAPI KAMA SIO SARAKASI ZA WANAOTAKIWA KUWAJIBIKA KUJARIBU KUUHADAA UMMA???
HAYA YANAYOSEMWA MATUSI NI YAPI,?? HIVI LEO KUSEMA HATUUNGI MKONO UFISADI INAGEUKA KUWA MATUSI? TUNATAKA KUPELEKA WAPI NCHI YETU? NAPE AKIULIZA JUU YA MATUMIZI MABAYA YA RASILIMALI YA UMMA INAGEUKA KUWA NI KUWAKOSEA HESHIMA WAHUSIKA( hapa mfano kuhoji kutolipa kodi kwa Dr. Slaa na wenzake) ...MBONA YEYE AKIHOJI MATUMIZI YA RASILIMALI ZA NCHI HATA AKIMTAJA RAIS AU YEYOTE INACHUKULIWA NI USHUJAA NA UZALENDO SIO MATUSI KAMA AMBAVYO MNATAKA WATU WAAMINI HAPA????
AKISEMA NAPE MATUSI,KUKOSA ADABU NA KUTOJUA NAFASI YAKE, AKISEMA MWINGINE NI USHUJAA NA UZALENDO... NENDA LEO MASASI KAULIZE NAPE ALIFANYAJE KAZI ZAKE, UTAPATA MAJIBU, NATHUBUTU KUSEMA NIMEWATUMIKIA WANA MASASI KWA NGUVU ZANGU ZOTE, MOYO WANGU WOTE NA AKILI YANGU YOTE.... NA NDO MAANA LEO WANAKUMBUKA KAZI NILIYOIFANYA BILA KUJALI ITIKADI ZAO...
MENGINE HAYA YA SIJUI KWENDA TRIPOL NA KWINGINE SIJUI KUCHUKUA PESA NI UONGO USIOKUWA HATA NA RANGI COZ SIJAWAHI KUFIKA TRIPOL MAISHA YANGU YOTE SASA UONGO MWINGINE....
NAOMBA NISISITIZE......UTARATIBU WA KUJARIBU KUJISAFISHA KWA KUJARIBU KUCHAFUA WENGINE HAKUWEZI KUWAFANYA WENGINE WASAFI NA KUHALALISHA MATUMIZI MABAYA NA MABOVU YA RASILIMALI ZA UMMA..
NIOMBE YEYOTE MWENYE USHAHIDI WA NAPE KUTUMIWA KUMSEMEA MTU BINAFSI AUWEKE HAPA NAMI NITAWAJIBIKA KWA HILO, KWANI SIJAWAHI KUTUMIA, NA SITATUMIWA NA MTU BINAFSI KWA FAIDA BINAFSI, NCHI KWANZA MENGINE, MENGINE BAADAE
next time go straight to the point,achana na mipasho
Tuna mambo mengi ya muhimu kuyashughulikia sasa kama umeme, mafuta n.k. Haya ya urais tuyaweke kiporo...
Usipende sana Madesa penda kusoma na vitabu vile vile mzee..... anyway your wish is granted manake nimeshajua wewe ni mtu wa namna gani.