Wakimaliza hapo waende Lugoba, kwenye "ma-crusher", kule kumejaa wahindi (estim, highland estate, hari singh), wachina(China Geo), badr east africa(wasomali), east african stone crusher(wasomali) na site nyengine nyingi kule wamejazana hawa wageni na wanaishi huko huko "sites". Ukirudi dsm kwenye magodowns na viwanda kama NIDA(Wapakistan), MMI Steel(wahindi), OILCOM, PARADISE HOTEL, Estim construction na makampuni mengine mengi.
Kwa kweli inafika wakati, wengine tunatamani tungeajiriwa immigration, kwakuwa hawa wenzetu waliokabidhiwa dhama hii hawaitendei haki kabisa nchi yetu. Huko migodini ndipo hakushikiki, inauma kwa kweli, inabidi watu wa immigration wawe wazalendo wa kweli.
Mnabadilika sana mkishapewa dhamana..tofauti na wakati mkiwa nje ya madaraka...(experience)
Swala ni kuwepo kwa control mechanism tena ya kudumu (watch dog)
Watu wakipata madaraka wanakuwa tofauti sana ikiwemo wewe