Uhamiaji YAZINDUKA: Jandu Singh na wenzake 18 kupanda kizimbani!

I hope uhamiaji wanasoma hii thread, and this is realy JF, sio mambo ya udaku na chuki za kijinga, sio mambo ya kuwasafisha watu ambao tayari wananuka katika jamii lakini hawataki kukubali matokeo. Hongera Mzee Mwanakijiji kwa juhudi zako za kuimarisha JF yetu. Na utashangaa kesho ni vyombo vichache vitakua na hii taarifa.
 
Wakuu tatizo sio uhamiaji haram. Bali ni mfumo mzima wa utawala umegubikwa na rushwa kuanzia nyumbani kwa jk hadi kwa balozi wa nyumba 10. Migration ni wanafiki na wala rushwa wakubwa. Niliwahi kutana na zaid ya wanaijeria 25 sea breaz lane na fox hill parade nassau bahamas wakiwa na pasport original za tz na wakiishi kama wa tz na hawajui kiswahili na sio wa tz kabisa walipita tz na ku loby na vigogo wa migration then wakapatiwa pasport na kuondoka kama watz. Kwahiyo hata huyo muhindi na suspect ni bifu tu au wapinzani wake kibiashara walimzidi kete then akapelekwa mbele. Hatuna viongozi wasafi tz.
 
Wakuu tatizo sio uhamiaji haram. Bali ni mfumo mzima wa utawala umegubikwa na rushwa kuanzia nyumbani kwa jk hadi kwa balozi wa nyumba 10. Migration ni wanafiki na wala rushwa wakubwa. Niliwahi kutana na zaid ya wanaijeria 25 sea breaz lane na fox hill parade nassau bahamas wakiwa na pasport original za tz na wakiishi kama wa tz na hawajui kiswahili na sio wa tz kabisa walipita tz na ku loby na vigogo wa migration then wakapatiwa pasport na kuondoka kama watz. Kwahiyo hata huyo muhindi na suspect ni bifu tu au wapinzani wake kibiashara walimzidi kete then akapelekwa mbele. Hatuna viongozi wasafi tz.

Kujua lugha si sababu, mbona kuna Watanzania wengi tu hivi sasa ambao hawakuzaliwa Tanzania na hawajui Kiswahili.

Swala ni kuona sheria zetu tulizojiwekea zinafanya kazi na ifike wakati tuondoe ofisi zetu nyeti kwenye miji mikubwa kama Dar Es Salaam. Hebu fikiria kama Uhamiaji wangewekwa kwenye kisiwa cha Mafia na kufanya kazi zao kwa barua tu! Vile vile kufanya rotation ya wafanyakazi wao kwenye sehemu muhimu kama DIA, mipakani nk. hakuna mfanyakazi kujenga hema kwenye kituo ... ... hizi shida ni za kujitakia.
 
Pamoja na matatizo ya Watanzania kuwa wavivu, mfumo wetu wa ajira na malipo ni wa ovyo, unaruhusu uvivu maana kazi hazipimwi kwa kiwango cha ubora na idadi bali tunaangalia muda wa kazi, huku muda huo ukimezwa na matatizo kibao, foleni, umeme, soga, mahusiano, na siasa. Wageni wakija wao na wanaowaleta wanajali muda, ubora na idadi (kipimo)
 
utoaji vibali una udhaifu mkubwa!! Wengi wana vibali lakini wanatumia data feki kuomba!! Uhamiaji wanajua na mastering wa issue hizo uhamiaji tunawajua!! Ifanyike operation ya siri muone maajabu!

Mkuu, ikiwa kweli unawafahamu mastering wa hiyo issue ni kwanini usiwataje hapa?! mwaga majina yao hapa kwani mara nyingi mambo yanayoanzia hapa yamekuwa yakishia vizuri. mwaga data, acha kukaa nazo.
 
Watcha 1. Haijalishi wewe umezaliwa wapi, miongoni vya vitambulisho vya taifa ni pamoja na lugha. Haiwezekani niwe mtz nishindwe kusalimia kwa lugha ya taifa langu. Siweji kujiita mtz then nisijue kabila pamoja na mkoa asilia wa kabila langu. Hakuna haja argue ila ukweli una baki palepale kamwe huwezi kua muislam na hujui kusali kwa kutumia qurani na kiarabu.
 
Halafu John Mashaka akipiga kelele kuhusu wageni na bogus investors wengine wanamsema
 
Watcha 1. Haijalishi wewe umezaliwa wapi, miongoni vya vitambulisho vya taifa ni pamoja na lugha. Haiwezekani niwe mtz nishindwe kusalimia kwa lugha ya taifa langu. Siweji kujiita mtz then nisijue kabila pamoja na mkoa asilia wa kabila langu. Hakuna haja argue ila ukweli una baki palepale kamwe huwezi kua muislam na hujui kusali kwa kutumia qurani na kiarabu.

Mkuu wacha ubishi ambao hauna tija. Kikatiba mtoto ambaye baba yake ni Mtanzania anatambuliwa kuwa ni Mtanzania. Sasa kuna watanzania wengi tu nje ya Tanzania ambao wana watoto ambao hata bongo hawajakanyaga, hawa wana wake na familia zao na hawaongei kiswahili either mama sio Mtanzania na etc. lugha sio lazima wacha unazi.
 
dah hii habari ya hawa jamaa kufikishwa kizimbani sijui ni episode ya ngapi ktk hii series ya maisha ya mtanzania.

Maana wabongo kila kukicha kuna sakata jipya na tukienda kulala nalo ndio linalala.
tukiamka, basi tunaamka na lingine...
 
Tumechelewa kwa uwajibikkaji.
Hinamaanisha kuwa polisi wanajua kila kitu hapa nchi,wezi wa magari walipo,wezi wanaotumia siraha,wakuu wa kuuza madawa ya kulevya. nk mpaka waziri aseme,!!!!!!!!!!!!!!!
Mkuuuu hiyo ni danganya toto na biashara inaendelea ndani ya jeshi la polisi.
 
Mimi nasita hata kupongeza maana watanzania kurushiwa changa la macho ni kawaida yetu. Huwa tunaanza na mbwembwe kama hizo za eti kafikishwa mahakamani lakini baadaye mambo yanaishia hewani nasi tunasahau moja kwa moja.
 
Nilishasema kuna ajira zaidi ya 300,000 ambazo zimeshikwa na wageni, ajira hizo ni za kada ya kati- graduates wa VETA, diploma na hata shahada wengeweza kuzifanya. Nilivyosikia rais anatangaza ajira mpya 1,000,000 nilijua ataanza na hizi 300,000

sure! Mimi nimetembelea construction site fulani, nimekuta foremen wote ni wahindi,toka India, fundi tiles wametoka Dubai,fundi aluminium window/door/partitions- Dubai,fundi wa Gypsum partitions India!Nikajisikia kulia!Maana hata kama wameingia nchini kihalali,lakini kazi wanazofanya ni aibu! Tunahitaji experts na si mafundi na vibaru kutoka nje! Aibu hii.
 
Uhamiaji najua mko humu, nendeni ESTIM CONSTRUCTION, kuna lundo la wahindi toka India.
 
Na huku nchi jirani anapotoka mamluki nahodha kuna wataliano hao! Wapo mameneja hata vile vyeti vya kitaaluma hawana,wauza kahawa ,maandazi,vinyago vya mtwara ndioiMTWARA sio italy, wauza khanga za ktm ,kabisa umesoma sahihi KTM Si za giani versache au gucci! Yaani ovyo kabisa hapa!
 
Kuna wasomali kibao eneo la Laela, Sumbawanga. Wanapokelewa na wasomali wenzao wanaojiita wafipa
 
Nichagueni niwe raisi wenu kusudi nimpe Mtikira awe Waziri wa Mambo ya Ndani
 
jandu_phixr-245x250.png

Jandu Singh

Katika kile kinachoaminika kuwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri wa Mambo ya Ndani Bw. Shamsi Vuai Nahonda la kuwataka maafisa uhamiaji kuonesha ndani ya wiki tatu wamefanya nini kudhibiti uhamiaji haramu mmiliki wa kampuni ya Jandu Construction & Plumbing, Indertit Sigh Jandu, amekamatwa na Uhamiaji kwa tuhuma za kuwahifadhi na kuwatumikisha wahamiaji haramu 18.

Jandu ambaye ameshiriki kujenga jengo la Uhamiaji Kurasini, alionyesha jeuri akidai kuwa na mahusiano na vigogo Uhamiaji, serikalini na wanasiasa lakini sasa yuko mahabusu. Walikamatiwa eneo la kampuni hiyo Buguruni Dar es Salaam Jumatatu usiku. Kumi na saba (17) ni raia wa India na mmoja wa Pakistan.

Jandu aliamua kutafuta njia ya kuzima sakata hilo kwa ‘wakubwa’ kwa kwenda makao makuu ya Uhamiaji lakini akakwaa kisiki.

Wafanyabiashara wenye asili ya Kiasia wamekuwa wakifanya biashara ya watu kwa kuingiza wahamiaji wengi na kuwatumikisha katika kampuni zao, baadhi wakiwa katika maandalizi ya kwenda kufanya kazi Afrika Kusini.

HABARI ZAIDI HAPA

++++++++++++
UPDATE:

Habari zilizopatikana usiku huu zinaeleza kwamba Jandu na wenzake 18 watapandishwa kizimbani kesho Alhamisi asubuhi wakikabiliwa na mashitaka kadhaa ya kukiuka sheria za uhamiaji.

Hii habari nimeiokota kwenye web moja ya Expat Tanzania na inasomeka hivi. Uhamiaji wanatuongezea population kwa sababu zisizo za msingi

A SUBSIDIARY of the crisis-ridden Quality Group Limited, MyCell, is seeking a bank guarantee from the local branch of the Bank of Baroda following refusal by local banks to grant such facilities to the controversial group owned by Yusuf Manji.

Documentary evidence availed to THISADY indicates that MyCell is one of the local companies seeking to participate in the construction of a national optic fibre backbone for the country. The company has a licence from the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA).

Sources from the telecommunications sector have revealed that Quality Group has since hired over 90 Indian and Pakistani information and communication technology experts whom it brought into the country since October last year ? all of them now working fulltime for MyCell which has its headquarters at Quality Plaza in the city.

The sources say Quality Group has approached an Indian company to seek Bank of Baroda’s guarantee which requires that only Indian companies qualify for such a facility -- because local banks have refused to giveQuality Group any loans and guarantees to contest in the national opticfibre backbone project.

’’This is another hoax ? the government should stop MyCell from taking part in this project because it won’t deliver ? it’s simply another way of stealing our money and sending it abroad,’’ the sources said. Documentaryevidence availed to THISDAY reveals that most of the Indian and PakistaniIT experts came here on a six-month business visas but still continueworking without valid permits.?
The sources said one Mr. Rajiv Bali, an Indian and his associates are party to the trafficking of experts who are currently doing nothing at Quality Plaza because banks are refusing to give loans or guarantees to Manji’s numerous companies based in Dar es Salaam, Mwanza and Morogoro.

’’Rajiv Bali keeps going to India every two months to get people on a visitor’s pass on behalf of a fraud company (MyCell). They first apply for holiday visas for three months ? then once Quality Group?has paid the immigration the required fee with all the commissions, they provide these
Indians with a work permit for two years ? but over 90 per cent of these never complete their contracts ? they leave after merely nine months after experiencing the fraud that is happening under their noses,’’ our sources reveal.
 
Aisee huyu waziri amenikosha sana,hiyo sekta ilikuwa kama haipo kabisa leo ndio imeonekana baada ya kubustiwa,duu kweli bongo kuna mambo.
 
Back
Top Bottom