Katika hali isiyotarajiwa idara ya uhamiaji inahusika na biashara ya kuuza binadamu,,,,taarifa ambazo leo zimeripotiwa na gazeti la nipashe zinasema kuwa baadhi ya maofisa wa uhamiaji wanajihusisha na uingizaji wa raia wa kigen kutoka Pakistan,inasemekana kuwa maafisa hao huwapa vibali fake na baadae wapakstan hao huenda kufanya kaz kwenye viwanda mbalimbali hapa jijin na jijini mwanza,kampun ambayo hushirikiana na maafisa wa uhamiaji inaitwa Altaf & CO.PK ambayo mmiliki wake anaitwa HUSSEIN ALTAF,duru zinasema kuwa kampuni hiyo imeweza kuingiza jumla ya sh 430 mil kwa kuingiza wapakistan 43;ambapo kila mmoja hutakiwa kulipa shilingi milioni 10,habari zinasema kuwa wapakistan hao wanafanya kazi kwenye viwanda vya ndondo,miongoni mwa viwanda hivyo ni IRON STEEL,SIMBA STEEL vyote vya dar es salaam,na pia NYAKATO STEEL cha JIJIN MWANZA,Ingawa idara hiyo imeulizwa imekana na sasa inamsaka aliyetoa siri hiyo ni nani.
Akhsanteni
Sosi:NIPASHE JUMAPILI
Akhsanteni
Sosi:NIPASHE JUMAPILI