Uhalali wa ukahaba

Hilo la kwanza kuhusu maadili haliwezi kujadilika, kwa sababu tayari maadili kwenye jamii yetu yako lowest, hayawezi kwenda low zaidi ya yalipo sasa. Ukahaba wa sasa uko-wazi ingawa hauko legal, ni vizuri kama ukawa legal lakini si kweli kuwa kulegalize kutapunguza maambukizi. Kwa sababu waambukizaji wakubwa sio wao, kuna utafiti mmoja mdogo ulifanyika ukagundua kuwa, wanafunza wa shule fulani fulani za sekondari ndio wako infected zaidi na wako vulnerable zaidi kuliko makahaba.
La pili kuhusu maadili ya kuufanya ukahaba uwe chanzo cha mapato, sioni kama kunapingana na maadili yoyote, mbona sasa hivi ufisadi ni chanzo kikubwa cha mapato kwa baadhi ya watu? mbona hilo halikemewi ipasavyo? Hata hivyo ni kiasi gani ambacho serikali inapata kutokana na soko la ukahaba. Hatuna makahaba wa kutosha kuweza kuwa na ukahaba industry ya kuifanya iwe sehemu ya source ya income hata ukusanyaji wake wa kodi utakuwa mgumu sana. Unless kuwe na madanguro ambayo hata hivyo watanzania mafuska hawatakubali kwenda.
Hii issue ni debateable sana, kama ni kuishughulikia tuanze kwanza na majumbani, kusiwe na watoto bastards kwanza na familia lazima zichukue wajibu wao wa kuhakikisha hazi-produce watu wa design hii.
Utajuaje kuwa mtoto huyu ni bastard,na yule sio.

Suala hili tunalojadili halina uhusiano na mabastard.

By the way,hatupaswi kuchunguza familia zetu au kule tulipozaliwa kwani kwa definition ya bastard basi tutakuta asilimia kubwa ya watoto waliozaliwa na wanaozaliwa ni mabastard.

TUNALEA WATOTO WETU KWA IMANI KUWA NI WATOTO WETU.SI BUSARA KUWACHUNGUZA SANA.VINGINEVYO NI MATATIZO MATUPU..... NAKUSHAURI NDUGU YANGU HILI LA MABASTARD LINAHITAJI TAFAKARI YA KINA NA TOFAUTI,TUSICHANGANYE NA HILI LA MAKAHABA.

Lakini niulize swali , Nani kasema mabastard ndio wanaturn kuwa maprostitute.Hili sio sahihi.

Mwisho ninaamini kwa hapa tulipofika kama taifa , amini usiamini ,industry ya ukahaba ipo na inaendelea kuwa kwa kasi.Once ikihalalishwa na kuanza kuoperate watu watakwenda tu huko.Hilo sio tatizo.
 
Mimi binafsi nimekerwa sana na tamko la Diwani huyo.Inaelekea yeye binafsi ni mteja mzuri wa machangu doa na kwa ujumla hana maadili kabisa.Jamii zinazokubali umalaya kama fani,hatimaye hujikuta katika laana kubwa na baadaye kusambaratika kabisa.Ni fani chafu na isiyokubalika.
 
Mimi binafsi nimekerwa sana na tamko la Diwani huyo.Inaelekea yeye binafsi ni mteja mzuri wa machangu doa na kwa ujumla hana maadili kabisa.Jamii zinazokubali umalaya kama fani,hatimaye hujikuta katika laana kubwa na baadaye kusambaratika kabisa.Ni fani chafu na isiyokubalika.

Ukiliongelea kwa wanaume na machangudoa na wao hawatakuelewa.

Tena hayo mambo ya machakani ndio yanayoifanya jamii izidi kusambaratika.

Sasa hivi uchangu kila kona tena wanawake watongoza wateja hivi hivi hadharani.

Kama wangekua na sehemu basi watoto wengine watakua na maadili mazuri kwani hawayaoni yanayofanyika kila sehemu sasa.

Mitaa hio itakua yaenda wateja tu na wafanya biashara kwahio hata wazazi watajua namna ya kuwakontroo watoto wao, kwamba wasiende huko.

Pombe pia ni haramu. na inauzwa sehemu zinazoitwa baa au sijui nini kwa leseni maalum.

Unataka kusema kila mtu ni mlevi wa pombe?
 
Huyu DIWANI yupo tayari kum-trade mama yake Mzazi ktk Danguro?...Kwa mnaotetea Hii biashara...MNA AKILI TIMAM?....Kama biashara kawaambieni mama zenu wazazi waanze kuuza....!!!!....

Najua hilo Haliwezekani....Vip Biashara ya Gongo?...Ihalalishwe?
....Vp Biashara ya Madawa ya Kulevya...Ihalishwe?
. ....Vp biashara ya Bangi.....Ihalalishwe?
...Vp tuwaruhusu watu watembee UCHI kama walivyozaliwa....?
...Watu wauze Magazeti ya Ngono...Ihalishwe?
.....TV station zioneshe Ngono....Ihalalishwe...?
.....Ushoga.....Uhalishwe...?

Wana JF tusiwe wachache wa akili...Mwanadam anatofauti kubwa na Wanyama...!!! Wanyama wana macho...wana masikio...Nyoyo...lkn vyote hivyo haviwasaidiii...

Diwani kashindwa kufikiria namna ingine ya kuwaongezea kipato wananchi wake...Huyu Diwani Bwege...na Unaujauzito wa Mawazo!!!...
Hongera kwa kuonyesha ufundi wa kutumia lugha chafu na isiyo ya kistaarabu.
Kuna tatizo lipo mbele yetu sisi kama jamii , tulijadili kwa kina na mapana bila kutumia lugha chafu.
Matumizi ya lugha chafu kama hizo ulizo tumia zinaonyesha ni kwa kiwango gani ulivyo muoga wa kujadili mambo mazito.Watch out mzee it is for your own good.Tabia njema ni silaha na staha ni alama za vidole,kila tunaposhika tunaacha alama.Bado tunaishi mkuu.Natanguliza samahani kama hutoyapenda niliyosema.
 
Hii ni huduma kama huduma zingine na tusiwe wanafiki wa kupinga halafu usiku tunawaona mkifukuzia huduma hii,hapa tuongelee namna ya kui-regulate ifanyike kistaarabu.Hamna hata mtu mmoja anaeweza kusema ukahaba haupo.Miaka ya 80's nilisoma Kenya kule kuna madanguro na kina dada wale wana vyeti ambavyo vinawataka wakapimwe kila wiki na wana hospital yao river road[kwa nairobi] wanapimwa bure lakini madawa wanalipia.Badala ya polisi kufukuzana na hawa wakina dada hii sekta itambulike na kupangwa.
 
Mbona mumekuwa wepesi wakusahau kwani si kulikuwapo na jengo la MARGOT pale hata mawaziri hufika kwamapumziko ya muda mfupi kwa wakati ule au naweza kusema kukosha rungu wala hayati mwalimu hakuwahi hata siku moja kukema au kusema pafungwe .
Margot kulikuwa na malaya mpaka wa kihindi
 
Back
Top Bottom