Uhaba wa Dola; Wafanyabiashara wa Kariakoo wamkumbuka Hayati Rais Magufuli

images (7).jpeg
 
Hata kama hamumpendi mama msiwe wajinga wa kufikiri. Issue ya uhaba wa dola sio bongo tu. Hiyo ni issue ya mataifa mengi duniani, mfano mzuri ni majirani zetu.

Lakini pia utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati unakomba foreign reserves zetu.
 
Hiyo kupungua naelewa kwenye mzunguko naelewa, ila nilichokuuliza ni pale wewe umesema wenye dollar yao wameiondoa kwenye mzunguko, hili ndo naomba ushahid
Sasa kama zimepungua kwenye mzunguko na wewe umekiri unafikiri zitakuwa zimeenda wapi au zimeliwa na panya au wamezichoma moto ndo maana zimeadimika?

Marekani imepunguza $ kwenye mzunguko wa dunia na kuzipeleka kwenye mzunguko wa nchini mwao ili kuwafanya raia wa Marekani kupata pesa ya kutosha ili kumudu gharama za maisha ambazo ziko juu sana.

Sababu nyingine ni kulinda thamani ya $ isianguke kwa sababu sasa hivi baadhi ya biashara dunia zimeacha kuendeshwa kwa $ hivyo uhitaji wa $ umepungua, hivyo wanahofia kuwa $ itakuwa nyingi kwenye mzunguko kuliko uhitaji hivyo kusababisha ipoteze thamani yake.
 
Kuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,
Waambie waende Chato, kazificha pale kwake.
 
Sasa kama zimepungua kwenye mzunguko na ww umekili unafikiri zitakuwa zimeenda wapi au zimeliwa na panya au wamezichoma moto ndo maana zimeadimika?

Marekani imepunguza $ kwenye mzunguko wa dunia na kuzipeleka kwenye mzunguko wa nchini mwao ili kuwafanya raia wa Marekani kupata pesa ya kutosha ili kumudu gharama za maisha ambazo ziko juu sana.

Sababu nyingine ni kulinda thamani ya $ isianguke kwa sababu sasa hivi baadhi ya biashara dunia zimeacha kuendeshwa kwa $ hivyo uhitaji wa $ umepungua, hivyo wanahofia kuwa $ itakuwa nyingi kwenye mzunguko kuliko uhitaji hivyo kusababisha ipoteze thamani yake.
Watakuambia toa ushahidi!
Wenzako wanataka uwambie sababu ni SSH na uchumi wa Tanzania kuyumba ohhh hapo utakuwa umepatia haswa
 
Huu uzi ni nzur sana lakin soon walamba asali watakuja kutukana muda si mrefu.tulitoa tahadhari kuhusu hayo mambo
Kwa hiyo Magufuli angezuia Marekani isidhibiti dola yake ili kukabiliana na athari ya vita vya Ukraine?

Dunia nzima kuna uhaba wa dola kutokana na Marekani ku control supply ya currency yake ili kulinda thamani yake!
 
Kuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,
Mama anafungua nchi kimataifa!
 
tulikuwa tunachangia humu ndani kuwa hizo bureaux zilipofungwa ilikuwa ni hatua sahihi.wengine walitubeza kuwa hatujui kitu.hizo bureaux zinatumiwa na mafisadi kutorosha pesa nje kama ilivyo kwa kenya.Pr Luoga alikuwa makini sasa huyu wa sasa ni laizez affair na sidhani kama anayaelewa vizuri haya mambo ya fedha.
Hizi Bureau zilifunguliwa kwa kasi sana kipindi cha Balali kwenye sakata la BOT Twin tower na EPA. Lengo lilikuwa kutakatisha fedha haramu na kutorosha fedha za kigeni nje ya nchi.
 
Kwa hiyo Magufuli angezuia Marekani isidhibiti dola yake ili kukabiliana na athari ya vita vya Ukraine?

Dunia nzima kuna uhaba wa dola kutokana na Marekani ku control supply ya currency yake ili kulinda thamani yake!
Nchi hii wajinga na wapuuzi wapo wengi. Hata mtu akichomwa na mwiba anamtaja JPM. si alijenga viwanda yule? Sasa kwann bidhaa za hivyo viwanda visizalishe bidhaa ili tukauze tupate mandola chekwachekwa???
 
Kwa hiyo Magufuli angezuia Marekani isidhibiti dola yake ili kukabiliana na athari ya vita vya Ukraine?

Dunia nzima kuna uhaba wa dola kutokana na Marekani ku control supply ya currency yake ili kulinda thamani yake!
Unadhani tukae hivyo hivyo bila solution

Viongozi walitakiwa wawe wameshalifanyia mbadala wake tayari kabla halijaleta mzozo

Hiyo ndo maana ya kiongozi, unataka mpaka watu waandamane ndo mtafute ufumbuzi?
 
Kuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,
Wakati wa Magufuli Kariakoo ilikuwa chali, inaelekea kufa. Unafikiri wafanya biashara wa Kariakoo walikimbilia nchi za jirani wakati gani?
 
Kuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,
Actually kimkakati, ukiona watu wameanza kufarakana wao Kwa wao kwenye ugumu ambao wanaupitia ujue wameanza kuelewa somo!
 
Unadhani tukae hivyo hivyo bila solution

Viongozi walitakiwa wawe wameshalifanyia mbadala wake tayari kabla halijaleta mzozo

Hiyo ndo maana ya kiongozi, unataka mpaka watu waandamane ndo mtafute ufumbuzi?
Unadhani viongozi wa Tanzania walitakiwa kufanya nn ili kudhibiti hili?
 
Kuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,



Sababu mojawapo ya Dollar kupungua ni sheria ambazo Magufuli aliweka za kuwa na kibali ukienda kubadilisha pesa. Mimi nilikuwepo Tanzania mwezi wa kumi kutoka USA ambako naishi zamani nilikuwa nakuja na pesa lakini kwasabbau sheria zimeongezeka yaani unahitaji sijui copy ya passport .... kukaa kwenye mistari sijaja na pesa.

Je nilitumiaje pesa nilikuwa najitumia pesa moja kwa moja kwenye Mpesa account yaani pesa yangu natuma wanachukuwa kwenye account yangu ya USA na kunitumia moja kwa moja kwenye Mpesa au natuma moja kwa moja kwa muhitaji mfano wajenzi wangu nilikuwa nawatumia moja kwa moja kama vile nipo USA.

Hakuna ulazima tena wa kubeba pesa na uzuri njia hii inachangia kodi moja kwa moja. Kibaya hakuna Dollar maana diaspora wengi ni kutoka USA na kwa mwaka jana tu wametuma $1B sasa jiulize kama 70% wangekuwa wanaleta Dollar tungekuwa na Dollar kiasi gani.

Matumizi yangu pamoja na ujenzi yalikuwa kama $6000 lakini nilienda na $1500 tu iliyobaki nilijitumia au kutuma moja kwa moja kutoka kwenye app za kutuma pesa.
 
Back
Top Bottom