Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

pole sana mdau ila jarbu kupunguza mawazo kwanza. then tafuta mbegu za mlonge utafune tatu mara tatu kwa siku.au pm for more info
 
Mhh! Mi nimetumia na cjapona

Ulitumia na proton pump inhibitor? Au ulitumia antibiotic pekee yake? Na zilikuwa combination Ipi? Inawezekana hukupona kwasabab antibiotic ulizotumia hazikuwa effective, Na je ulipima kwanza kuona Kama unao hao bacteria? Au ulijinywea tu dawa kienyeji?
 
Ulitumia na proton pump inhibitor? Au ulitumia antibiotic pekee yake? Na zilikuwa combination Ipi? Inawezekana hukupona kwasabab antibiotic ulizotumia hazikuwa effective, Na je ulipima kwanza kuona Kama unao hao bacteria? Au ulijinywea tu dawa kienyeji?
Ndugu yangu, mimi si daktari, lakini sina kawaida ya kunywa dawa bila kuthibitisha ugonjwa, huo mara nyingi ni ugimvi wangu na madokta wababishaji wanaokupima kwa macho. Iko hivi. Nilipima Regency Hospital wakacomfirm kuwa nina Gastric Ulcers, pia ninao wadudu wanaoitwa Heligobacta Pyrol tena wengi. Nikapewa dawa inaitwa HELIGO KIT (naweza kosea spellings). Nikatumia kit nzima nilipoenda kupima ikawa hola.

Nikabahatika kwenda nchini India Apollo Hospital wakapima tena wakakuta mambo yaleyale. Nikapewa dawa za kutumia kwa miezi mitatu mfululizo. Hiyo ilikuwa mwaka juzi. January mwaka huu hLi ikawa mbaya tena, kupima wadudu wako pale pale. March this year nikaanza kutumia dawa ya Netragen, hadi sasa hakuna kitu. Please help
 
Ndugu yangu, mimi si daktari, lakini sina kawaida ya kunywa dawa bila kuthibitisha ugonjwa, huo mara nyingi ni ugimvi wangu na madokta wababishaji wanaokupima kwa macho. Iko hivi. Nilipima Regency Hospital wakacomfirm kuwa nina Gastric Ulcers, pia ninao wadudu wanaoitwa Heligobacta Pyrol tena wengi. Nikapewa dawa inaitwa HELIGO KIT (naweza kosea spellings). Nikatumia kit nzima nilipoenda kupima ikawa hola.

Nikabahatika kwenda nchini India Apollo Hospital wakapima tena wakakuta mambo yaleyale. Nikapewa dawa za kutumia kwa miezi mitatu mfululizo. Hiyo ilikuwa mwaka juzi. January mwaka huu hLi ikawa mbaya tena, kupima wadudu wako pale pale. March this year nikaanza kutumia dawa ya Netragen, hadi sasa hakuna kitu. Please help

Pole San ndugu yangu nilikuwa na tatizo Kama lako ila Mimi nilitibiwa hapa Japan Mara moja tu na likaisha ili antibiotic ziweze kufanya kazi vizuri ni lazima utumie dawa za kupunguza acid tumboni ndio uweze kuwaua hao bacteria kwasababu ni very resistant na dawa.
 
Ulitakiwa kufanyiwa upper GI endoscopy ili kuchukua sample tissue na kwenda kufanya culture kujua aina gani ya antibiotic itawaua hao bacteria mkuu.
 
Pole San ndugu yangu nilikuwa na tatizo Kama lako ila Mimi nilitibiwa hapa Japan Mara moja tu na likaisha ili antibiotic ziweze kufanya kazi vizuri ni lazima utumie dawa za kupunguza acid tumboni ndio uweze kuwaua hao bacteria kwasababu ni very resistant na dawa.
Ni kweli kaka, hata mimi nafanya hivyo hivyo. Kila siku lazima ninywe anti acid vinginevyo huwa hapatoshi kabisa. Ikikupendeza please help me na hizo dawa ulizotumia
 
Nina mgonjwa wa vidonda vidonda vya tumbo ametumia dawa za hospt kwa muda mrefu nafuu hamna.nimeamua kujaribu tiba mbadala.nimenunua kitabu cha mtalaam fulani yuko Amerika amefanya utafiti wa dawa mbadala na anatibu magonjwa mengi kwa tiba mbadala.kwenye tiba ya vidonda vya tumbo kina maelezo haya-

some bioflavonoids(including quercetin,catechin and apigenin) inhibit the growth of the bacteria(Helicobacter pylori) which causes the ulcers.chamomile contains those bioflavonoids.

licorice has been used for centuries to soothe inflamed and injured portions of the intestinal tract.it increases mucin and fights H.pylori. best to take it in the form of DGL (deglycerinated licorice),which will not increase blood pressure or cause water retention.take 1-2 chewable tablets of GDL 1-2 hours before bedtime.aiso extremely good:marshmallow root.

. st.john's wort and malva both calm the stomach and reduce intestinal irritation.also helpful are bilberry,flax,catnip,goldenseal,bayberry , myrrh and alovera accelerates healing.

also Hops,skullcap and valerian will help you sleep


nimeamua kuweka maelezo hayo ili yasaidie wengi.ombi langu hiyo mimea niliyo iandika kwa rangi ya bluu siijui kwa kiswahili inaitwaje.mwenye kuijua atusaidie kwa kiswahili.karibuni
 
Mkuu dawa ya vidonda vya tumbo HAKUNA dunia nzima,wa marekani huo ni ugonjwa mkuu kwao.Ni usanii tu ila na wewe kama unataka kujiongezea kipato toka kwa wajinga poa tu ila mimi hunipati ng'o.
 
Ndugu zangu hili nitatizo kubwa sana...halafu nadhani halina ufahamu kwa watu wengi...sio kila dalili za vidonda vya tumbo vinasababishwa h.bacteria....hivyo kua makini na hizo dawa..pima kwanza ndipo ujue tatizo ni nini....ukipata muda google WHAT IS REFLUX ESOPHAGITIS
 
Mkuu dawa ya vidonda vya tumbo HAKUNA dunia nzima,wa marekani huo ni ugonjwa mkuu kwao.Ni usanii tu ila na wewe kama unataka kujiongezea kipato toka kwa wajinga poa tu ila mimi hunipati ng'o.


yani wewe akili yako ni robo kibaba.hapo kuna biashara gani hivi kama nimelenga biashara hiyo mimea ningeiweka hapo hadharani.ebu fikiri sio kukurupuka kuandika.
 
[/COLOR]

yani wewe akili yako ni robo kibaba.hapo kuna biashara gani hivi kama nimelenga biashara hiyo mimea ningeiweka hapo hadharani.ebu fikiri sio kukurupuka kuandika.

Hata Mbuyu ulianza kama mchicha na hata Gamanywa alisema ni kituo cha ushauri,baadae akadai ni pastor,mda kidogo tena akadai ni bishop.
 
BALAKIHelicobacter pylori elicobacter pylori 8365315 said:
If you like v2 vya asili, use this combination, it realy works coz I used it after long way with all those triple therapy but with reccurency. Mahitaj;Asali iwe asali kweli, either of small bee or da common one, raw egg, fresh milk. Chemsha maziwa kikombe 1 cha chai kisha acha yapoe yawe vugux2, changanya asali vjiko vya chai 2-3, koroga yai kwa kikombe tofaut, kisha changanya kwa ile mix ya maziwa. Hakikisha maziwa hayana joto la kuivisha na kuharibu yai au asali. tumia cku 3-5 mara 2/cku. NB huo mchanganyko unaeza kukera kwa wale wasozoea mayai mabich, tiba hi kwa wale ambao vdonda vyao havija advance sana

Inaua pia hao helicobacter pyroli mkuu? Na kuondoa tatizo la acid na tumbo kujaa gesi?
 
Back
Top Bottom