Ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B): Dalili, ushauri wa kinga na tiba yake

Hepatitis B ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vijulikanavyo kama (HBV) (Hepatitis Virus), hawa virusi kwa kawaida huingia mwilini mara moja na hubakia mwilini milele hakuna jinsi mpaka leo hii ambavyo unaweza kuwatoa tofauti na Hepatitis C ambapo dawa imeshapetikana kwa B hakuna dawa!

Hivyo basi pindi waingiapo unachoweza kufanya ni kuhakikisha tu idadi yake haiongezeki na hawakuletei madhara kwa kifupi ujue jinsi ya kuishi navyo mwilini mwako na muhimu klk vyote ni kwamba hivi virusi hushambulia Ini na hivyo kusababisha Saratani ya Ini ambayo haina Tiba!

Kwa nchi zilizoendelea walishatokomeza maambukizi ya hivi virusi ya HBV kwa maana maana watoto hupatiwa chanjo pindi wazaliwapo lkn huku kwetu kwa kuwa bado hatujafikia huko basi sisi wengi huvipata hivi virusi moja kwa moja ktk kwa mama zetu pindi tuzaliwapo!

Hivyo basi wengi wetu tunaishi navyo hivi virusi vya HBV na wengi tumevipata kutoka kwa mama sasa nawashauri Watanzania wote waende mara kwa mara kufanya Ultrasound ya Ini na kuchukuwa vipimo vyote vya ini lako ili uone kama limeathiriwa au la ili kama limeathiriwa unaweza kuanza matibabu haraka iwezekanavyo na kukuepusha na Saratani ya Ini ambayo haina Tiba!

Siku ukisikia fulani amefariki kwa Saratani ya Ini ujue sehemu kubwa ilikuwa na Hepatitis B ambayo hakuitilia maanani kwa sababu ambazo kama vile wewe utakavyoamua kupuuzia haya ninayokwambia na kuanza kunibishia mpaka siku utakavyoambiwa una Saratani ya Ini ambapo utakuwa umeshachelewa kwani hakuna tiba ya Saratani ya Ini!

Kila La Heri na shime Mtanzania anza leo kushughulikia Ini lako!
 
Vaccination ni muhimu sana hasa kwa magonjwa haya yasio na tiba, ila Tatizo ni pesa mkuu. Hizi chanjo ni bei mbaya sana kwa mtanzania wa kipato cha kawaida kuweza kuzimudu.


Kwa Hepatitis B chanjo haina maana tena kwa maana chanjo inasaidia pale tu ambapo bado haujavipata hivi Virusi lkn kama nilivyosema sisi wengi wetu huvipata kutoka kwa mama hivyo ina maana tunaishi na hivi virusi, hivyo chanjo haitasaidia kitu kwa maana tumeshachelewa!
Cha kufanya kuhakikisha unashughulika Ini lako kwa kufanya Ultrasound mara kwa mara na hii utakusaidia kujua kama Ini lako limeathiriwa au la na kama limeathiriwa ktk hatua za mwanzo kuna dawa za kuzuia kupata Saratani ya Ini!
 
Kama unavyo virusi hivyo ni wewe,mimi sina,kaa, usinichulie.
Hepatitis B ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vijulikanavyo kama (HBV) (Hepatitis Virus), hawa virusi kwa kawaida huingia mwilini mara moja na hubakia mwilini milele hakuna jinsi mpaka leo hii ambavyo unaweza kuwatoa tofauti na Hepatitis C ambapo dawa imeshapetikana kwa B hakuna dawa!

Hivyo basi pindi waingiapo unachoweza kufanya ni kuhakikisha tu idadi yake haiongezeki na hawakuletei madhara kwa kifupi ujue jinsi ya kuishi navyo mwilini mwako na muhimu klk vyote ni kwamba hivi virusi hushambulia Ini na hivyo kusababisha Saratani ya Ini ambayo haina Tiba!

Kwa nchi zilizoendelea walishatokomeza maambukizi ya hivi virusi ya HBV kwa maana maana watoto hupatiwa chanjo pindi wazaliwapo lkn huku kwetu kwa kuwa bado hatujafikia huko basi sisi wengi huvipata hivi virusi moja kwa moja ktk kwa mama zetu pindi tuzaliwapo!

Hivyo basi wengi wetu tunaishi navyo hivi virusi vya HBV na wengi tumevipata kutoka kwa mama sasa nawashauri Watanzania wote waende mara kwa mara kufanya Ultrasound ya Ini na kuchukuwa vipimo vyote vya ini lako ili uone kama limeathiriwa au la ili kama limeathiriwa unaweza kuanza matibabu haraka iwezekanavyo na kukuepusha na Saratani ya Ini ambayo haina Tiba!

Siku ukisikia fulani amefariki kwa Saratani ya Ini ujue sehemu kubwa ilikuwa na Hepatitis B ambayo hakuitilia maanani kwa sababu ambazo kama vile wewe utakavyoamua kupuuzia haya ninayokwambia na kuanza kunibishia mpaka siku utakavyoambiwa una Saratani ya Ini ambapo utakuwa umeshachelewa kwani hakuna tiba ya Saratani ya Ini!

Kila La Heri na shime Mtanzania anza leo kushughulikia Ini lako!
 
Hepatitis B ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vijulikanavyo kama (HBV) (Hepatitis Virus), hawa virusi kwa kawaida huingia mwilini mara moja na hubakia mwilini milele hakuna jinsi mpaka leo hii ambavyo unaweza kuwatoa tofauti na Hepatitis C ambapo dawa imeshapetikana kwa B hakuna dawa!

Hivyo basi pindi waingiapo unachoweza kufanya ni kuhakikisha tu idadi yake haiongezeki na hawakuletei madhara kwa kifupi ujue jinsi ya kuishi navyo mwilini mwako na muhimu klk vyote ni kwamba hivi virusi hushambulia Ini na hivyo kusababisha Saratani ya Ini ambayo haina Tiba!

Kwa nchi zilizoendelea walishatokomeza maambukizi ya hivi virusi ya HBV kwa maana maana watoto hupatiwa chanjo pindi wazaliwapo lkn huku kwetu kwa kuwa bado hatujafikia huko basi sisi wengi huvipata hivi virusi moja kwa moja ktk kwa mama zetu pindi tuzaliwapo!

Hivyo basi wengi wetu tunaishi navyo hivi virusi vya HBV na wengi tumevipata kutoka kwa mama sasa nawashauri Watanzania wote waende mara kwa mara kufanya Ultrasound ya Ini na kuchukuwa vipimo vyote vya ini lako ili uone kama limeathiriwa au la ili kama limeathiriwa unaweza kuanza matibabu haraka iwezekanavyo na kukuepusha na Saratani ya Ini ambayo haina Tiba!

Siku ukisikia fulani amefariki kwa Saratani ya Ini ujue sehemu kubwa ilikuwa na Hepatitis B ambayo hakuitilia maanani kwa sababu ambazo kama vile wewe utakavyoamua kupuuzia haya ninayokwambia na kuanza kunibishia mpaka siku utakavyoambiwa una Saratani ya Ini ambapo utakuwa umeshachelewa kwani hakuna tiba ya Saratani ya Ini!

Kila La Heri na shime Mtanzania anza leo kushughulikia Ini lako!
Umesema havina tiba,tena tufanye chekup ya in na matibu haraka sana unatuchnganya kwa hiyo kumbe inatibika?
 
Umesema havina tiba,tena tufanye chekup ya in na matibu haraka sana unatuchnganya kwa hiyo kumbe inatibika?


Haujanielewa, kinachozuilika na Saratani ya Ini ambayo husababishwa na Virusi vya HBV, yaani kuna uwezekano wa kuishi na virusi vya HBV maisha yako yote bila ya vyenyewe kukusababishia Saratani ya Ini lkn hili linawezekana tu kama ukiwa unakwenda kuchukuwa vipimo vya Ultrasound vya Ini lako mara kwa mara ambapo Daktari atakuambia kama limeshadhurika na Virusi vya HBV ili uanze kutumia dawa au la, lkn kama usipofanya hivyo na Ini lako likaathiriwa na Saratani basi hakuna kitu utafanya tena isipokuwa kusubiri kufa tu!

Hivyo kinachoweza kuzuiliwa ni Saratani ya Ini lkn siyo kuondoa Virusi mwilini ambavyo vimeshaingia tayari!
 
ugonjwa huu haukuanza Leo wazee wetu wameugua sana homa ya INI na kutibiwa na miti shamba na kupona. Sasa kama wewe huamini shauri yako ingawa inasemekana kwa dawa za kizungu ni vigumu kuutibu basi plan B ya traditional inaweza kama kuna wazee kwenu kawaulize
 
Zipo dawa nyingi Tu za Hepatitis B; na ugonjwa huu haukuanza Leo wazee wetu wameugua sana homa ya INI na kutibiwa na miti shamba na kupona. Tembea TZ kuna dawa


Nafikiri unachanganya Hepatitis B na C, ni Hepatitis C ndiyo ina dawa na imegunduliwa hivi karibuni lkn Hepatitis B haina Dawa na ukishapata Saratani ya Ini wewe anza kuaga na kujitayarisha tu kwa kifo kwa maana haina dawa!
 
Hepatitis B ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vijulikanavyo kama (HBV) (Hepatitis Virus), hawa virusi kwa kawaida huingia mwilini mara moja na hubakia mwilini milele hakuna jinsi mpaka leo hii ambavyo unaweza kuwatoa tofauti na Hepatitis C ambapo dawa imeshapetikana kwa B hakuna dawa!

Hivyo basi pindi waingiapo unachoweza kufanya ni kuhakikisha tu idadi yake haiongezeki na hawakuletei madhara kwa kifupi ujue jinsi ya kuishi navyo mwilini mwako na muhimu klk vyote ni kwamba hivi virusi hushambulia Ini na hivyo kusababisha Saratani ya Ini ambayo haina Tiba!

Kwa nchi zilizoendelea walishatokomeza maambukizi ya hivi virusi ya HBV kwa maana maana watoto hupatiwa chanjo pindi wazaliwapo lkn huku kwetu kwa kuwa bado hatujafikia huko basi sisi wengi huvipata hivi virusi moja kwa moja ktk kwa mama zetu pindi tuzaliwapo!

Hivyo basi wengi wetu tunaishi navyo hivi virusi vya HBV na wengi tumevipata kutoka kwa mama sasa nawashauri Watanzania wote waende mara kwa mara kufanya Ultrasound ya Ini na kuchukuwa vipimo vyote vya ini lako ili uone kama limeathiriwa au la ili kama limeathiriwa unaweza kuanza matibabu haraka iwezekanavyo na kukuepusha na Saratani ya Ini ambayo haina Tiba!

Siku ukisikia fulani amefariki kwa Saratani ya Ini ujue sehemu kubwa ilikuwa na Hepatitis B ambayo hakuitilia maanani kwa sababu ambazo kama vile wewe utakavyoamua kupuuzia haya ninayokwambia na kuanza kunibishia mpaka siku utakavyoambiwa una Saratani ya Ini ambapo utakuwa umeshachelewa kwani hakuna tiba ya Saratani ya Ini!

Kila La Heri na shime Mtanzania anza leo kushughulikia Ini lako!
Mtoa mada unaupotosha umma wa watanzania. Si kweli kua watanzania wote wana virusi vya homa ya ini. Na hakuna duniani nchi ambayo wananchi wake wote wameathiriwa na hepatitis B virus.Hakuna survaillance iliyowahi kufanyika nchi nzimà, lakini kuna tafiti mbalimbali zimefanyika kuangalia ukubwa wa tatizo. Unaweza kujiridhisha kwa ku google prevalence of hepatitis B in Tanzania. Pili si kweli kua hakuna dawa kwa ajili ya hepatitis b. Dawa zipo kwa both hepatitis b and c. Ila si wote wenye maambukizi wanahitaji kutumia hizo dawa. Zipo guidelines kwa ajili ya matibabu.kwa anayehitaji dawa, zipo even cheaper options ambazo zipo available Tanzania. Baadhi ya Dawa hizo pia ni part ya dawa za kupunguza makali ya HIV(lamivudine na tenofovir). Kwa sasa pia ipo vaccine kwa wale ambao hawajaambukizwa. Pia vaccine ya hepatits b ni part ya zile wanazopewa watoto wachanga bure.
Kwa upande wa kansa ya ini, si wote wanaopata maambukizo ya hepatitis b watapata kansa ya ini. Kitu cha muhimu ni kufanya screening ambazo hata hospitali ndogo kabisa wanaweza kufanya,na kama una maambukizo utakua reffered kwenye centers zinazoweza kufanya vipimo zaidi hasa kujua kama utahitaji matibabu kwa sasa, au uangalizi wa karibu.
 
Mtoa mada unaupotosha umma wa watanzania. Si kweli kua watanzania wote wana virusi vya homa ya ini. Na hakuna duniani nchi ambayo wananchi wake wote wameathiriwa na hepatitis B virus.Hakuna survaillance iliyowahi kufanyika nchi nzimà, lakini kuna tafiti mbalimbali zimefanyika kuangalia ukubwa wa tatizo. Unaweza kujiridhisha kwa ku google prevalence of hepatitis B in Tanzania. Pili si kweli kua hakuna dawa kwa ajili ya hepatitis b. Dawa zipo kwa both hepatitis b and c. Ila si wote wenye maambukizi wanahitaji kutumia hizo dawa. Zipo guidelines kwa ajili ya matibabu.kwa anayehitaji dawa, zipo even cheaper options ambazo zipo available Tanzania. Baadhi ya Dawa hizo pia ni part ya dawa za kupunguza makali ya HIV(lamivudine na tenofovir). Kwa sasa pia ipo vaccine kwa wale ambao hawajaambukizwa. Pia vaccine ya hepatits b ni part ya zile wanazopewa watoto wachanga bure.
Kwa upande wa kansa ya ini, si wote wanaopata maambukizo ya hepatitis b watapata kansa ya ini. Kitu cha muhimu ni kufanya screening ambazo hata hospitali ndogo kabisa wanaweza kufanya,na kama una maambukizo utakua reffered kwenye centers zinazoweza kufanya vipimo zaidi hasa kujua kama utahitaji matibabu kwa sasa, au uangalizi wa karibu.


Inaelekea ufahamu wako ni mdogo sana hapa, ungeuliza kwanza! Hakuna dawa dhidi ya Hepatitis B virus bali kuna dawa dhidi ya C ambayo imegunduliwa hivi karibuni na pia bado ni ghari hata kwa nchi zilizoendelea lkn kwa Hapatitis B bado na ninachomaanisha ni kwamba virusi (HBV) vikishaingia mwilini mwako hakuna jinsi unavyoweza kuvitoa bali unaweza tu kuvifuga na kuishi navyo vizuri na hapo dawa zipo labda ndicho unachokiongelea yaani kuna dawa za kufanya idadi ya virusi vya hepatitis B visiongezeke zaidi na hivyo kuleta madhara zaidi lkn huwezi kuviondoa mwilini vikishaingia basi utabakia navyo milele na hapa namaanisha mpaka mwisho wa maisha yako!

Ni kweli kwamba kuna aina nyingi za maambukizi lkn sehemu kubwa huku kwetu tunarithi virusi ktk kwa mama zetu na maadamu bado hatujaweza kuwa na chanjo kwa watu wetu wote hasa wamama wanapokuwa waja wazito ili kumnusuru mtoto itabakia ndiyo njia kuu ya maambukizo ya hepatitis B TanZania na ambayo husababisha saratani ya Ini!
 
Inaelekea ufahamu wako ni mdogo sana hapa, ungeuliza kwanza! Hakuna dawa dhidi ya Hepatitis B virus bali kuna dawa dhidi ya C ambayo imegunduliwa hivi karibuni na pia bado ni ghari hata kwa nchi zilizoendelea lkn kwa Hapatitis B bado na ninachomaanisha ni kwamba virusi (HBV) vikishaingia mwilini mwako hakuna jinsi unavyoweza kuvitoa bali unaweza tu kuvifuga na kuishi navyo vizuri na hapo dawa zipo labda ndicho unachokiongelea yaani kuna dawa za kufanya idadi ya virusi vya hepatitis B visiongezeke zaidi na hivyo kuleta madhara zaidi lkn huwezi kuviondoa mwilini vikishaingia basi utabakia navyo milele na hapa namaanisha mpaka mwisho wa maisha yako!

Ni kweli kwamba kuna aina nyingi za maambukizi lkn sehemu kubwa huku kwetu tunarithi virusi ktk kwa mama zetu na maadamu bado hatujaweza kuwa na chanjo kwa watu wetu wote hasa wamama wanapokuwa waja wazito ili kumnusuru mtoto itabakia ndiyo njia kuu ya maambukizo ya hepatitis B TanZania na ambayo husababisha saratani ya Ini!
Ufahamu wako ungekua mkubwa ungejua pegylated inteferon inafanya nini. Na pia ungejua dawa nyingi ambazo zimeshawahi kutumika zenye clearance na seroconversion rates tofauti. Pia watu wengi wanaambukizwa kwa kujamiiana, ndio maana co-infection na HIV ni common, pia kupitia blood products na kutoka kwa mama wakati wa kuzaliwa.
 
Barbarosa

ungefafanua zaidi; ivyo virus vinaingia mwilini wa binadamu kwa njia zipi?
dalili za mgonjwa ni zipi?

na tahadhari zipi zichukuliwe kujikinga na huo ugonjwa, au hatua gani zidhingatiwe kwa mgonjwa anayeumwa.
 
Watanzania wamezoea kuugua magonjwa wasiyoyajua mwilini mwao, habari ya ku_check afya unawaongezea mawazo watu wengine. Kibiashara unafanya vizuri sana, hebu pita vijijini kule ambako wanakula mlo mmoja kwa siku alafu wanashinda shambani wanalima: watangazie ili uone kama watashituka mioyo yao. Service ya mwili ni muhimu lakini sio kwa wote kulingana na uchumi. Umetupa wazo zuri naimani kila atakayeguswa atafuata ushauri wako, ahsante sana!!
 
Barbarosa

ungefafanua zaidi; ivyo virus vinaingia mwilini wa binadamu kwa njia zipi?
dalili za mgonjwa ni zipi?

na tahadhari zipi zichukuliwe kujikinga na huo ugonjwa, au hatua gani zidhingatiwe kwa mgonjwa anayeumwa.


Nafikiri kama ukinisoma vizuri nimeshaelezea baadhi ya njia jinsi virusi vya HBV vinavyoingia mwilini!
 
Back
Top Bottom