Si ugonjwa wa ajabu. Inawezekana ni Haemorrhoid au piles (kwa kiswahili inaitwa bawasiri). Inatokana na kutuna kwa mishipa inayorudisha damu kwenye moyo inayoitwa vein. Kamwe haina usiano wowote na kutopata mimba. Ila mwanamke akipata mimba akiwa na shida hiyo basi tatizo hilo laweza kuzidi, na huenda likapata nafuu baada ya kujifungua. Waone madaktari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.