Ugonjwa wa Acid Reflux uwe janga la kitaifa

Mavindozii

JF-Expert Member
Oct 20, 2012
2,111
2,759
Hello Wana JF, great thinker.

Ndugu zanguni naomba tu serikali ya Namhuri ya Muungano wa Tanzania wautambue huu ugonjwa wa Acid reflux kama janga la kitaifa kwani huu ugonjwa ukikushika huwezi kufanya Kazi kabisa kwani kifua kinabana.

Hauwezi kutembea haraka, viungo karibia vyote huwa vinachoka sana, unaweza kufikiri una tatizo la moyo au pumu.

Yaani we acha tuu, naomba madaktari wetu kupitia hili jukwaa wawe wanatoa somo kuhusu huu ugonjwa Kabla ya mgonjwa hajaanza kukimbilia Muhimbili au India na vipimo vingi vya Moyo kumbe tatizo ni acid reflux.

Asante sana waheshimiwa madaktari, waliowahi kuugua huu ugonjwa na wakapona na wanaoendelea kupambana nao waje na mawazo yao please.
 
Hello Wana JF, great thinker.

Ndugu zanguni naomba tu serikali ya Namhuri ya Muungano wa Tanzania wautambue huu ugonjwa wa Acid reflux kama janga la kitaifa kwani huu ugonjwa ukikushika huwezi kufanya Kazi kabisa kwani kifua kinabana.

Hauwezi kutembea haraka, viungo karibia vyote huwa vinachoka sana, unaweza kufikiri una tatizo la moyo au pumu.

Yaani we acha tuu, naomba madaktari wetu kupitia hili jukwaa wawe wanatoa somo kuhusu huu ugonjwa Kabla ya mgonjwa hajaanza kukimbilia Muhimbili au India na vipimo vingi vya Moyo kumbe tatizo ni acid reflux.

Asante sana waheshimiwa madaktari, waliowahi kuugua huu ugonjwa na wakapona na wanaoendelea kupambana nao waje na mawazo yao please.
Ni ugonjwa wa watu wenye vihela vya mboga wanaokula hovyo hovyo.
 
Ugonjwa wa pumu mainly unachangiwa na cholesterol kuzidi mwilini.
Hii Acid reflux sina uhakika nayo but nadhani utakuwa na upungufu mkubwa wa thyroid hormone.
Jaribu kumuona daktari akupime kiwango cha hormone ya thyroxine mwilini mwako.
 
Pole sana ,uwe unakula mapema kabla ya kulala ,saa 12 jioni uwe ushakula na ulale atleast 2 hrs after meal.
Ewaaaaaaa saaafi sana, Nina mwaka maybe wa nane au kumi napambana nayo but Mungu anasaidia. Nimeweza kufanya yafuatato:
1. Nakula mapema sana kati ya saa nane na saa kumi Jioni, kwahio Nina Milo miwili tu breakfast na late lunch, baaasi!

2. Usiku nakunywa juice fresh ya parachichi na embe lililoiva sana, ukipata ambalo halijaiva imekula kwako

3. Nakula papai, hii inaisaidia saaana sanna Kwa upande wangu Mimi huyu ni mkombozi, hata Sasa nimetoka kula papai
4. Nakunywa maji ya kutosha usiku
5. Nikiona nimeharibu ratiba yangu either nikiwa Safarini au pengine nikiwa sherehe au kampani na jamaa mkala late kidogo BASI kwenye Bag langu la PC sikosi Magnesium (hizi natafuna mnooooo, juzi nimenunua magnesium nzuri sana, ikabidi ninunue za buku nne, Hadi muuzaji akashangaa.

Matokeo yake
1. Nalala bila kupata heartburn
2. Sipaliwi Tena usingizini
3. Sikoromi Tena usiku
4. Napata choo bila kutumia nguvu

Changamoto
1. Kuna siku kama Leo nimekula mapema zaidi, saa nane kasoro, muda huu nimekula papai na juice, yaani night itakua ndefu kuanzia saa Tisa hivi......

Hii ndio niliyofanya lakini pia ukipata TANGO ni nzuri kama utalila bila kuweka vitu vingine, yaani ule tango kama TANGO, haya ni Kwa upande wangu
 
Hello Wana JF, great thinker.

Ndugu zanguni naomba tu serikali ya Namhuri ya Muungano wa Tanzania wautambue huu ugonjwa wa Acid reflux kama janga la kitaifa kwani huu ugonjwa ukikushika huwezi kufanya Kazi kabisa kwani kifua kinabana.

Hauwezi kutembea haraka, viungo karibia vyote huwa vinachoka sana, unaweza kufikiri una tatizo la moyo au pumu.

Yaani we acha tuu, naomba madaktari wetu kupitia hili jukwaa wawe wanatoa somo kuhusu huu ugonjwa Kabla ya mgonjwa hajaanza kukimbilia Muhimbili au India na vipimo vingi vya Moyo kumbe tatizo ni acid reflux.

Asante sana waheshimiwa madaktari, waliowahi kuugua huu ugonjwa na wakapona na wanaoendelea kupambana nao waje na mawazo yao please.
Mkuu huu ugonjwa unasababishwa na nini? Ni tofauti na Uric Acid?
 
Nikinywa hizi beer 🍺 🐆⚡ asubuhi lazima kiungulia kinishike sanaa na kinanisumbua hata masaa 6
 
Tumekosa taarifa sahihi ,kuna unajua kiingereza naomba utazame hii video nimetoa YouTube. Huyu anaitwa DK Berg ni marekani anaongelea jinsi ya kutibu acid reflux na sio ku-manage symptoms,I hope itawasaidia wengi. Pia soma na comments za ushuhuda wa watu waliopona kupitia kwake (YouTube comments).
 
Back
Top Bottom