Jongoo Mpendawa2
Member
- Mar 12, 2015
- 25
- 2
Mambo vipi ndugu zangu wapendwa, nahitaji kujuzwa juu ya suala hili : Kuna mtoto wa mjomba yangu alikuwa na mpenzi wake lakini katika mazingira ya kutatanisha alipatwa na ugonjwa wa zinaa (STDS) baada ya kwenda kupima hospitali.
Lakini cha ajabu hakutumia dawa na mpaka leo anasema anadunda na yuko poa kama kawaida. Sasa naomba mnijuze hapo wataalam..
Je, huo ugonjwa umetokaje au ndio unamla taratibu pasipo yeye kujijua??? Wote mnakaribishwa kuchangia
Lakini cha ajabu hakutumia dawa na mpaka leo anasema anadunda na yuko poa kama kawaida. Sasa naomba mnijuze hapo wataalam..
Je, huo ugonjwa umetokaje au ndio unamla taratibu pasipo yeye kujijua??? Wote mnakaribishwa kuchangia