Dawa ya kunguni? Kwani kasema hao kunguni ni wagonjwa?Mtaarifu mwenyeji wako anunue/mnunue dawa ya kunguni au mlianike juani hilo godoro.
Sawa bwana!Dawa ya kunguni? Kwani kasema hao kunguni ni wagonjwa?
Hahahaa nadhani ulimaanisha sumu?Sawa bwana!
Haswa, ya kumuua sio kumponya kunguni!Hahahaa nadhani ulimaanisha sumu?
Bangi haijawah muacha mtu salama, nmecheka kwa sauti, we kibokoNapendaga kale kaarufu ka Kunguni nikimbinya na vidole afu apasuke...naweza nusa vidole all day and all night long!
I wish hata perfumes company watengeneze Kunguni essence, au Kunguni fragrance, Kunguni aroma..I'm me!
asee kweli kuna watu na binadamu!heshima kwako mkuuNapendaga kale kaarufu ka Kunguni nikimbinya na vidole afu apasuke...naweza nusa vidole all day and all night long!
I wish hata perfumes company watengeneze Kunguni essence, au Kunguni fragrance, Kunguni aroma..I'm me!
🙊🙈🙈 napingahahahaaaa!!we kesho toa godoro nje!!.
Kunguni sio kabisa...ni ishara ya uchafu!
Khaaaa!?Astaghifilullah!Naamini unatania.Ile harufu!?Napendaga kale kaarufu ka Kunguni nikimbinya na vidole afu apasuke...naweza nusa vidole all day and all night long!
I wish hata perfumes company watengeneze Kunguni essence, au Kunguni fragrance, Kunguni aroma..I'm me!
Khaaaa!?Astaghifilullah!Naamini unatania.Ile harufu!?
Nashindwa kuelewa hii nyumba niliyofikia hawa wenyeji wangu wanapata vipi usingizi. Kunguni niliowaona baada ya kulinyanyua godoro ni wengi utadhani mchanga umemwagwa hapo kitandani!
Siwapendi kwa usumbufu wao lakini pia unaweza kuaibika mbele za watu unakuta dudu limeshiba halafu linatembea kwenye nguo zako tena shati jeupe. Naona noma hata kumwambia jamaa kwa jinsi anavyokuwa akijipaisha. Wasiwasi wangu nisije nikatoka na mbegu hapa.
Nifanyaje?