yeah ikibidi, ni mbinu mojawapo ya kukabiliana na aduiMbona hyo gari ni kama concret mixer..vp wanampango wa kuwamwagia zege wananchi
Pieter Willem Botha nasio Pierre. Uongozi wa kufata demokrasia tena ya kutoka kwa wakoloni na nchi ambazo hazikuwa na koloni Afrika ni tatizo kubwa sana.Huwezi kuwa kwenye shida, mateso na ukatili wa kila aina alafu unajikomboa kisha unarudi kwa yule yule adui katili asiyekutakia mazuri kumuomba akufundishe jinsi ya kujitawala. Huu ni ujinga wa hali ya juu.Nakumbuka Pierre Botha aliwahi kutuzungumzia sisi Waafrika jinsi akili zetu zilivyo akiwa anahutubia bunge enzi za za white regime.Alisema sisi Waafrika uwezo wetu wa kufikiri ni mdogo sana,hatupendi kujituma ktk kuzijenga nchi zetu,tumeweka starehe mbele.Kwamba Waafrika si watu wanaofikiria kesho yao,wayafanyao ni kwaajili ya leo yao tu.Waafrika ukiwapa silaha watawauwana mara moja.Utawala wa Museveni unatuthibitishia hilo.
Ni wakati sasa Lowasa akagombee urais Uganda #SafariYaMatumainiinaendelea
Safari ya matumaini bado inaendeleathread hii na Lowasa vimehusianaje?
Kwani vyetu hatukodishi? Pesa ikipatikana iende kwenye madawati.Wakati Uganda inaingia katika uchaguzi mkuu Serikali ya nchi hiyo imeingiza magari ya deraya kwa ajili ya kupambana na wapinzani kipindi cha uchaguzi.View attachment 321209View attachment 321210View attachment 321211View attachment 321212
Mengine yanafanana na yale ya kuchanganyia kokoto.