Ugali ni mlo hatari kwa Watanzania, ndio ukweli usiosemwa

Watu wengi wanaamini ugali ndio chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli

Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndio maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk. Hawana akili lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa Kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa Pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
Joshua William Mbilinyi Kuna Faraja yako huku.
 
Baloney.
Eti ugali hauna nutrients zozote?

Nini maana ya nutrients?
Watu wengi wanaamini ugali ndio chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli

Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndio maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk. Hawana akili lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa Kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa Pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengi wanaamini ugali ndio chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli

Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndio maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk. Hawana akili lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa Kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa Pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni poyoyo! Nani alikwambia ugali hauna nutrients? Ujinga wenu watu wa mjini mnakoboa mahindi mnakula makapi ndiyo mnakuja kutukana ugali hapa! Ulivyotaja makabila duni mbona hujawajumuisha Wasukuma ambao ndio wala ugali wakubwa hapa nchini? Unazijua faida za co-enzymes zinazopatikana kwenye nafaka?
 
Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Umeandika kwa mifano ya nchi nyingine pengine ukiwa hauna hata uhakika...

Nimekula ugali Kenya, nimekula ugali SA na nimekula ugali wa kighana nikiwa China...

Ugali una majina tofauti tofauti kulingana na eneo mfano, corn fufu (West Africa), Ugali (Kenya, Tanzania) Nshima (Zambia), Nsima (Malawi), Sadza (Zimbabwe) na Pap (South Africa)
 
Ijapokuwa kuna chembechembe za kweli, hii mada yako ni uongo kwa asilimia karibu 78.

1. Ugali ni bora kama unga haujakobolewa, unga ukikobolewa unapoteza angalau 75% ya virutubisho vyake.

2. Ugali ni chakula bora sana, ni chanzo kikubwa cha starch(wanga), ambayo humeng'enywa kutengeneza glucose. Kwa bahati mbaya, wengi wamezoea kula kiasi kikubwa sana cha ugali kuliko uhitaji wa miili yao. Hili linasababisha shibe inayoambatana na usingizi mzito na kuchoka kwa mwili kutokana na mwili kutumia nguvu nyingi kwenye kumeng'enya starch.

3. Changamoto kubwa zaidi kwenye ugali ipo kwenye kutokausha maindi vzuri ndio yahifadhiwe. Hili linasababisha maindi mengine kuharibika kwa kupata cyanide. Maindi haya yakikobolewa, ugali huwa hatarishi kama chakula.

4. It is fiber rich delicasy, so it prevents constipation(nnya laiiiiniii.)

5. Inasaidia kwenye emeng'enyaji wa chakula kutokana na utajiri wake wa fibres.

6.ugali una utajiri wa proteins ambazo ni muhimu kwenye kujenga afya bora.

7. Ulaji wa ugali haswa ambao haijakobolewa, husaidia kwenye kujenga ngozi bora(ndio maana unapendwa na Wanawake) na madini yaliyopo ndani yake, hutumiwa kuboresha afya kwa mlaji.

Juu ya yote, jamii kadhaa za Kenya kama wajaluo, wakisii, wakamba pamoja na waluhya wanapenda ugali kupitiliza. So kusema wakenya hawapendelei ugali ni unafki.
Mwisho, usikilaumu chakula. Jilaumu wewe kwa kushindilia ugali mwingi kuliko mahitaji ya mwili wako. Ila ugali ni chakula bora sana na ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku.
1. Ugali 'Bora' ni ule uliokobolewa, coz kiasi cha sumu za kuhifadhia hayo mahindi hupungua kupigia ukoboaji, labda kama hayo mahindi umelima wewe. Ugali Bora ni sembe kwani wafanyabiashara wengi wakiona mahindi yameharibika au kuoza ( Kuota fungus) hupendelea kuyasaga moja Kwa moja kuwa unga. Sembe ni Bora Kwa kuwa sembe inakaa muda mrefu bila kuharibika ukilinganisha na Dona kutokana na MAFUTA. Dona ina MAFUTA mengi kuliko sembe sababu ya kiini cha mbegu za mahindi ambacho kwenye sembe huwa kinaondolewa. Dona nyinginzilizopo madukani huwa zinawahi kuharibika nankuwa chungu kutokana na oxidation ya MAFUTA inayosabanishwa na uwepo wa hayo mafuta ikichangiwa na mwanga na joto. Athari unazoweza zipata Kwa Kula unga ulikuwa oxidized ni pamoja na cancer n.k
2. Kuna vyanzo vingi vya starch kama wali, tambi, viazi n.k wataalamu wanasema starch na sukari siyo nzuri Kwa Afya yako, matatizo mengi yabkiafya yanasababishwa na starch) sukari yakiwemo matatizo ya ini, kisukari, figo n.k
3. Mahindi hayana cyanide. Cyanide iponkwemye mihogo, na ni natural compound inayozalishwa kwenye mihogo ili kujilinda. So si kweli usipokausha vzuri mahindi yatatengeza cyanide, instead yatashambuliwa na fungus wanaosababisha sumukuvu.
4. Opt vegetables instead if you real need fibers.
5. As 4 above.
6. Animal proteins is better coz unapoila haina vipingamizi kama vilivyopo kwemye plant based proteins. Proteins za mimea zinakuwa na vipingamizi vingi ( anti nutritional factors) ambazo vinapunguza bioavailability yake.
7. Kuhusu ngozi SINA uhakika..hope tumeelewana
 
Back
Top Bottom