Ufunuo wa Yohana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 319
- 67
Mimi Yohana mfungwa wa Kristo nilipokuwa ktk kuomba niliona yafuatayo kuhusu nchi yangu Tanzania;
1) Haya uyaonayo leo ktk siasa ya tanzania ni kivuli na mhimu sana kwa mambo makuu yajayo; maandamano na malumbano yanaamusha na kufundisha jamii iliyokosa elimu kwa ajili ya mambo yajayo..... acha yaendelee....maana watu wangu waliokosa elimu ya siasa haitahitaji kwenda chuo au shule kujua haya....acha yaendelee please( kumbuka wiki iliyopita ulipokuwa kijijini bibi yako alikuuliza swali gani kuhusu Dr. slaa na Kikwete? swali ambalo kwa hakika ulikuwa hutegemei kulipata kutoka kwake ambaye hata kusoma hajui ...na safari zingine zote hakuwahi kukuuliza... why only this time? kuna jambo linaendelea ndani ya ufahamu wa watu wangu Tanzania niliowachagua kuishi salama
Inaendelea muda si punde..................
1) Haya uyaonayo leo ktk siasa ya tanzania ni kivuli na mhimu sana kwa mambo makuu yajayo; maandamano na malumbano yanaamusha na kufundisha jamii iliyokosa elimu kwa ajili ya mambo yajayo..... acha yaendelee....maana watu wangu waliokosa elimu ya siasa haitahitaji kwenda chuo au shule kujua haya....acha yaendelee please( kumbuka wiki iliyopita ulipokuwa kijijini bibi yako alikuuliza swali gani kuhusu Dr. slaa na Kikwete? swali ambalo kwa hakika ulikuwa hutegemei kulipata kutoka kwake ambaye hata kusoma hajui ...na safari zingine zote hakuwahi kukuuliza... why only this time? kuna jambo linaendelea ndani ya ufahamu wa watu wangu Tanzania niliowachagua kuishi salama
Inaendelea muda si punde..................