BUSHMEN 88 Member Sep 3, 2022 25 31 Sep 13, 2022 #1 Naombeni kujua ni dawa gani naweza kumpa sungura anayepiga chafya na utando mweupe machoni na ni dalili za ugojwa gani.
Naombeni kujua ni dawa gani naweza kumpa sungura anayepiga chafya na utando mweupe machoni na ni dalili za ugojwa gani.
W wayneogoa JF-Expert Member Apr 28, 2020 385 503 Sep 13, 2022 #2 Namimi ni mfugaji mkubwa wa sungura ila sijawahi kuona hiyo wape antibiotic yoyote
BUSHMEN 88 Member Sep 3, 2022 25 31 Sep 13, 2022 Thread starter #3 Shukrani kwa muongozo nitanya hivyo kuwalinda.