Ufugaji ni Utajiri, kilimo ni mali

copied and pasted

Kwa ushauri wa Baba Mmoja ukitaka mali utaipata Shambani
Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali,
kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili,
watoto wake wakaja, ili kumtaka hali,
wakataka na kauli, iwafae maishani.
Akatamka mgonjwa, ninaumwa kwelikweli,
hata kama nikichanjwa, haitoki homa kali,
roho naona yachinjwa, kifo kina nikabili,
kama mnataka mali, mtayapata shambani.
 
copied and pasted

Kwa ushauri wa Baba Mmoja ukitaka mali utaipata Shambani
Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali,
kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili,
watoto wake wakaja, ili kumtaka hali,
wakataka na kauli, iwafae maishani.
Akatamka mgonjwa, ninaumwa kwelikweli,
hata kama nikichanjwa, haitoki homa kali,
roho naona yachinjwa, kifo kina nikabili,
kama mnataka mali, mtayapata shambani.


Huyo mwandishi alikuwa na maono ya mbali sana. Bahati mbaya shairi hili laimbwa kwa wototo wadogo kabisa ambayo hawawezi kuelewa nini maana ya huo ujumbe wa Maisha. Binafsi hilo neno kwangu linaishi.
 
Post yako imenikumbusha mbali kuna shemeji yangu alikuwa mwanajeshi,ana rafiki yake ambaye naye alikuwa mwanajeshi bt yy aliacha kazi baada ya mwaka 2 tangu kuajiriwa akaanza kazi ya ufugaji ngombe wa kienyeji morogoro baada ya miaka 10 alikuwa na ngombe zaidi ya 3000.mwaka 2010 shemu alisitaf kazi huku akiwa hajamaliza nyumba yake siku moja huyo rafiki yake akamtembelea akiwa na VX mpya kwa kwel shemu alishangaa sana jamaa akamununulia shemu milango,madirisha,na vigaye vyote vya ndani! Toka siku hyo shemu anajuta kwa nini alikaa kwenye kazi muda huo wote,anasema angesikiza ushauri wa rafik yake naye angekuwa mbali
 
Post yako imenikumbusha mbali kuna shemeji yangu alikuwa mwanajeshi,ana rafiki yake ambaye naye alikuwa mwanajeshi bt yy aliacha kazi baada ya mwaka 2 tangu kuajiriwa akaanza kazi ya ufugaji ngombe wa kienyeji morogoro baada ya miaka 10 alikuwa na ngombe zaidi ya 3000.mwaka 2010 shemu alisitaf kazi huku akiwa hajamaliza nyumba yake siku moja huyo rafiki yake akamtembelea akiwa na VX mpya kwa kwel shemu alishangaa sana jamaa akamununulia shemu milango,madirisha,na vigaye vyote vya ndani! Toka siku hyo shemu anajuta kwa nini alikaa kwenye kazi muda huo wote,anasema angesikiza ushauri wa rafik yake naye angekuwa mbali

Mfano mzuri unahamasisha
 
NARUDIA TENA
VIJANA UFUGAJI SIYO KUKU NA NGURUWE TU.
TUAMKE
TANZANIA NI NCHI NZURI NA RAFIKI KWA VIJANA WOTE
Usiishie hapo kuwahasa vijana wape na orodha ya mifugo wanayoweza kufuga
 
mkuu,huu ushauri wako nimeulewa sana

naamini ukinunua ng'ombe wadogo ukawaweka kwa miaka mi 5 au 7,wakiwa wakubwa utawauza kwa bei kubwa mno

japo umeongea kwa vijembe,ila ni ushauri mzuri
 
Samahani wana jamvi kwa kutumia Lugha ya Kuudhi. Sikukusudia havyo. nilitaka kila mtu aone fursa zingine ambazo zina faida sana kwa muda mfupi lakini haziongerewi sana. Nilitegemea topic hii ianzishe mjadala mpana zaidi. siyo mwandishi mzuri. kama kuna mtu anaweza kupungu ukali wa maneno mods watusaidie ili ikae vizuri zaidi.

kifupi nilinunua ivyo vidume vya ng'ombe miaka miwili imepita sasa ni midume. nilikodi eneo la kuwalisha kwa miaka Mitano. lina ukubwa wa ekari 70 lakini pia nanunua mabua ya mahindi na majani ya mpunga kuwalisha wakati wa kiangazi na kipindi cha mwanzo cha mvua ambapo nyasi haipo. najivunia hii kitu. kozi imelipa kwa muda mfupi. nilisevu 70% ya mshahara wangu kwa miaka miwili. this is a four year project. I am 29 years now. At 33 years I dream to be a young millionare atleast angalau niwe na utajiri wa Milioni 500. japo ni kidogo kwangu naona nitakuwa pazuri.

Niliowaudhi mnisamehe.
hebu dadavua kidogo mkuu dume wangapi na malisho yamekugharimu kiasi gani mpaka hapo changamoto tuzipite vipi kiufupi mimi mkulima mdogo
 
Habari za Jumapili Jamii. Kama kuna mtu ana kitabu cha ' THE RICHEST MAN IN BABYLON" BY GEORGE S. CLASON asaidie kukiattach apa. kina ujumbe ambayo natamani mtu yeyote ambaye hajakisoma akisome. ni kitabu maarufu sana.
Ninacho nashindwa kukiweka hapa. Kama una telegram, ni pm namba yako nikutumie
 
Ninacho nashindwa kukiweka hapa. Kama una telegram, ni pm namba yako nikutumie

Ninacho pia ila nilishindwa kukiweka. Nilitamani kwa wapenzi wa kusoma vitabu wakipitie pia
 
Wadau angalieni fursa nyingine ya ufugaji hiyo
 

Attachments

  • On the Farm Goat Rearing.mp4
    18.2 MB · Views: 113
Wadau mwaweza pia pitia mwongozo mfupi huo.
 

Attachments

  • How to Start a Cattle Farm.mp4
    9 MB · Views: 98
Samahani wana jamvi kwa kutumia Lugha ya Kuudhi. Sikukusudia havyo. nilitaka kila mtu aone fursa zingine ambazo zina faida sana kwa muda mfupi lakini haziongerewi sana. Nilitegemea topic hii ianzishe mjadala mpana zaidi. siyo mwandishi mzuri. kama kuna mtu anaweza kupungu ukali wa maneno mods watusaidie ili ikae vizuri zaidi.

kifupi nilinunua ivyo vidume vya ng'ombe miaka miwili imepita sasa ni midume. nilikodi eneo la kuwalisha kwa miaka Mitano. lina ukubwa wa ekari 70 lakini pia nanunua mabua ya mahindi na majani ya mpunga kuwalisha wakati wa kiangazi na kipindi cha mwanzo cha mvua ambapo nyasi haipo. najivunia hii kitu. kozi imelipa kwa muda mfupi. nilisevu 70% ya mshahara wangu kwa miaka miwili. this is a four year project. I am 29 years now. At 33 years I dream to be a young millionare atleast angalau niwe na utajiri wa Milioni 500. japo ni kidogo kwangu naona nitakuwa pazuri.

Niliowaudhi mnisamehe.
Okay yote ni sawa Ufugaji ni utajiri na kilimo ni mali although vs ni sawa ila ungetueleza ulinunua ngombe kwa bei gani na operation cost mpka wamekomaa unategemea kuwauza usisahau ya madalali then jumlisha pamoja na ugawanye kwa idadi ya hao ng'ombe utuambie faida ya ng'ombe mmoja ni kiasi gani?
Pia ujilipe mda wako uliokuwa ukiutoa kufuatilia mifugo yako
 
Ninacho pia ila nilishindwa kukiweka. Nilitamani kwa wapenzi wa kusoma vitabu wakipitie pia

kwa wavivu wa kusoma kuna summary, kwa wenzangu na mimi, kipo full.
 

Attachments

  • Book_Summary_The_Richest_Man_in_Babylon.pdf
    83.9 KB · Views: 728
  • Clason-RichestManInBabylon.pdf
    557.7 KB · Views: 142
Usomaji wa Vitabu huongeza maarifa na uwezo wa kuona mbali
 
Siyo Mbwembwe. ni uhalisia. Majanga yapo. hatutegemei yatufike. yakikufika siyo mwisho. Endelea Endelea Endelea na fanya zaidi kwa sababu hiyo ndiyo maana ya Maisha
Maisha hayafiki mwisho pale majanga yanapotupata. ila huwa ni mwanzo mzuri wa kuboresha cha zamani na kutengeneza kitu kizuri zaidi ili kishindane zaidi na changamoto izo.
How do you manage risks? Je ngombe wana Insurance?
 
Risk hatuwezi epuka ila twaweza punguza. Sina Insurance Said
 
How do you manage risks? Je ngombe wana Insurance?
Kila biashara ina insurance mkuu...
kuna insurance za mifugo, mazao, usafirishaji n.k n.k

kuna hadi insurance against loss... kua ukipata hasara kwenye biashara yako kwa sababu nje ya uwezo..,,unalipwa... insurance zipo za kila aina..ushindwe wewe
 
Back
Top Bottom