Ufugaji ni Utajiri, kilimo ni mali

ssl

Senior Member
Apr 20, 2013
138
101
Ufugaji ni Utajiri
Ufugaji siyo kuku na nguruwe.
Tuamke
kilimo ni mali

Tutunze pesa zetu kwa muda mrefu ili tupate pesa ya kununua Ardhi, vifaa vya shamba kama Trector. miundobinu. nyumba. maji na njia za maji. uwezo wa kununua pembejeo. Nje ya hapo wengi watakata tamaa. sie wasomi tumetiwa upofu na nani. hujiulizi kwa nini mkulima analima mwaka adi mwaka lakini maisha yake mbona hayabadiliki.? na wewe unaenda eti na ki millioni mbili kuwekeza kwenye kilimo cha nyanya na unategemea millioni 20 nani kakudanganya wewe?

Mwezi wa Saba 2017 naenda kuvuna madume yangu ya ng'ombe yanipatie milioni 98. Milioni 50 naiwekeza Mjini. iliyobaki inanunua vidume vingine vya ng'ombe.

Siku Njema Wote
 
Ufugaji ni Utajiri
Ufugaji siyo kuku na nguruwe.
Tuamke
kilimo ni mali

Tutunze pesa zetu kwa muda mrefu ili tupate pesa ya kununua Ardhi, vifaa vya shamba kama Trector. miundobinu. nyumba. maji na njia za maji. uwezo wa kununua pembejeo. Nje ya hapo wengi watakata tamaa. sie wasomi tumetiwa upofu na nani. hujiulizi kwa nini mkulima analima mwaka adi mwaka lakini maisha yake mbona hayabadiliki.? na wewe unaenda eti na ki millioni mbili kuwekeza kwenye kilimo cha nyanya na unategemea millioni 20 nani kakudanganya wewe?

Mwezi wa Saba 2017 naenda kuvuna madume yangu ya ng'ombe yanipatie milioni 98. Milioni 50 naiwekeza Mjini. iliyobaki inanunua vidume vingine vya ng'ombe.

Siku Njema Wote
Alieelewa kilichoandikwa naomba anieleweshe na mimi
 
Ufugaji ni Utajiri
Ufugaji siyo kuku na nguruwe.
Tuamke
kilimo ni mali

Tutunze pesa zetu kwa muda mrefu ili tupate pesa ya kununua Ardhi, vifaa vya shamba kama Trector. miundobinu. nyumba. maji na njia za maji. uwezo wa kununua pembejeo. Nje ya hapo wengi watakata tamaa. sie wasomi tumetiwa upofu na nani. hujiulizi kwa nini mkulima analima mwaka adi mwaka lakini maisha yake mbona hayabadiliki.? na wewe unaenda eti na ki millioni mbili kuwekeza kwenye kilimo cha nyanya na unategemea millioni 20 nani kakudanganya wewe?

Mwezi wa Saba 2017 naenda kuvuna madume yangu ya ng'ombe yanipatie milioni 98. Milioni 50 naiwekeza Mjini. iliyobaki inanunua vidume vingine vya ng'ombe.

Siku Njema Wote
Hawa ndo wafugaji wa bongo,badala ya kuelewesha wenzie namna alivyofika hatua nyingine pamoja na changamoto wanabaki kunanga wenzao
 
Samahani wana jamvi kwa kutumia Lugha ya Kuudhi. Sikukusudia havyo. nilitaka kila mtu aone fursa zingine ambazo zina faida sana kwa muda mfupi lakini haziongerewi sana. Nilitegemea topic hii ianzishe mjadala mpana zaidi. siyo mwandishi mzuri. kama kuna mtu anaweza kupungu ukali wa maneno mods watusaidie ili ikae vizuri zaidi.

kifupi nilinunua ivyo vidume vya ng'ombe miaka miwili imepita sasa ni midume. nilikodi eneo la kuwalisha kwa miaka Mitano. lina ukubwa wa ekari 70 lakini pia nanunua mabua ya mahindi na majani ya mpunga kuwalisha wakati wa kiangazi na kipindi cha mwanzo cha mvua ambapo nyasi haipo. najivunia hii kitu. kozi imelipa kwa muda mfupi. nilisevu 70% ya mshahara wangu kwa miaka miwili. this is a four year project. I am 29 years now. At 33 years I dream to be a young millionare atleast angalau niwe na utajiri wa Milioni 500. japo ni kidogo kwangu naona nitakuwa pazuri.

Niliowaudhi mnisamehe.
 
Yaani wewe hakuna kitu kabisa, badala ya kuleta elimu hapa unaanza kuleta mambo ya ushenzi ushenzi na matusi kwa wakulima? nyie ndio wale mnaolisha mifugo yenu kwenye mashamba yetu.Shika adabu yako

Famousrkr. wewe mtoto wa Form Six Vipi! Changia Hili jukwaa siyo la matusi.
 
Umekuja kutunanga?,.Nilitegemea kuona unatoa somo pia kwenye hilo suala la ng'ombe,kwamba umefanyaje hadi kuvuna pesa hizo kwenye hao wanyama.Haya twende kazi toa somo kiongozi

Umesha sema stayfar harafu akupe somo la nini?
 
Samahani wana jamvi kwa kutumia Lugha ya Kuudhi. Sikukusudia havyo. nilitaka kila mtu aone fursa zingine ambazo zina faida sana kwa muda mfupi lakini haziongerewi sana. Nilitegemea topic hii ianzishe mjadala mpana zaidi. siyo mwandishi mzuri. kama kuna mtu anaweza kupungu ukali wa maneno mods watusaidie ili ikae vizuri zaidi.

kifupi nilinunua ivyo vidume vya ng'ombe miaka miwili imepita sasa ni midume. nilikodi eneo la kuwalisha kwa miaka Mitano. lina ukubwa wa ekari 70 lakini pia nanunua mabua ya mahindi na majani ya mpunga kuwalisha wakati wa kiangazi na kipindi cha mwanzo cha mvua ambapo nyasi haipo. najivunia hii kitu. kozi imelipa kwa muda mfupi. nilisevu 70% ya mshahara wangu kwa miaka miwili. this is a four year project. I am 29 years now. At 33 years I dream to be a young millionare atleast angalau niwe na utajiri wa Milioni 500. japo ni kidogo kwangu naona nitakuwa pazuri.

Niliowaudhi mnisamehe.
Hawa ng'ombe umewaondolea uwezo wa kupanda? Na je ulinunua mbegu gani na bei ilikuwaje mkuu? Pia una ng'ombe wangapi katika heka hizo mkuu?
 
Hawa ng'ombe umewaondolea uwezo wa kupanda? Na je ulinunua mbegu gani na bei ilikuwaje mkuu? Pia una ng'ombe wangapi katika heka hizo mkuu?
Nilinunua Ng'ombe 145 Watano walikufa Nimebaki na 140. Bei ya ng'ombe mmoja ilikuwa ni wastani 200000. Huwa kuna muda wa kununua. muda ambao mifugo hawana bei kutokana na njaa pamoja na uhaba wa Malisho. mifugo hukonda kiasi hivyo bei yao huwa nzuri. kama una mtaji na eneo muda huo ukifika basi toa pesa yako mahari umehifadhi wachukue hao jamaa. Nusu yao nimewatolea uwezo wa kupanda.
 
Nilinunua Ng'ombe 145 Watano walikufa Nimebaki na 140. Bei ya ng'ombe mmoja ilikuwa ni wastani 200000. Huwa kuna muda wa kununua. muda ambao mifugo hawana bei kutokana na njaa pamoja na uhaba wa Malisho. mifugo hukonda kiasi hivyo bei yao huwa nzuri. kama una mtaji na eneo muda huo ukifika basi toa pesa yako mahari umehifadhi wachukue hao jamaa. Nusu yao nimewatolea uwezo wa kupanda.

Haya yanawezekana tusipokuwa na Haraka ya kupata pesa. Fikria njia yako ya kupata pesa uione hadi miaka mitano au Kumi utakuw wapi. then uanze kutunza fedha kidogo kidogo ili upate kianzio ambacho kitakuwezesha kuwekeza kwenye biashara endelevu. Kitu hiki nilikikopi kwa rafiki yangu nilipokuwa Botswana. Ana majumba amewekeza na vitega uchumi vingine. nilimuuliza pesa aliipataje? Aliniambia miaka Saba iliyopita alikuwa na mifugo 13 badae aliongezea mifugo kadhaa kutoka kwenye mshahara wake mdogo. wale mifugo walizaana sana. hakuwa anawauza na alibaki kuwa maskini. Siku moja alikutana na Rafiki yake anayeishi Australia akamwambia. Umekuwa tajiri namna hii. !!!! Jamaa alishangaa. hakuelewa..... Badae aliamua kuuza ng'ombe 80 kwa mkupuo baada ya mazungumzo marefu sana na rafiki yake huyo. na siku hiyo ndo ikawa mwanzo wa utajiri wa huyo jamaa. Niliporudi Nyumbani niliamua kuanza hiyo project ambayo sasa naona imeshanilipa tayari. Nimeshapata mnunuzi ananipa bei nzuri. kwa pamoja yeye hana gharama ya kunenepesha. ni kupakia na kupeleka sikoni moja kwa moja.
Inahitaji mtu anayeweza kuiona mbele miaka kumi ili uweze kuwekeza kwenye miradi endelevu.
 
Nilinunua Ng'ombe 145 Watano walikufa Nimebaki na 140. Bei ya ng'ombe mmoja ilikuwa ni wastani 200000. Huwa kuna muda wa kununua. muda ambao mifugo hawana bei kutokana na njaa pamoja na uhaba wa Malisho. mifugo hukonda kiasi hivyo bei yao huwa nzuri. kama una mtaji na eneo muda huo ukifika basi toa pesa yako mahari umehifadhi wachukue hao jamaa. Nusu yao nimewatolea uwezo wa kupanda.
Mkuu ni-pm namba yako kama huwa hubadilishi. Kuna wakati nitakutafuta...
 
Haya yanawezekana tusipokuwa na Haraka ya kupata pesa. Fikria njia yako ya kupata pesa uione hadi miaka mitano au Kumi utakuw wapi. then uanze kutunza fedha kidogo kidogo ili upate kianzio ambacho kitakuwezesha kuwekeza kwenye biashara endelevu. Kitu hiki nilikikopi kwa rafiki yangu nilipokuwa Botswana. Ana majumba amewekeza na vitega uchumi vingine. nilimuuliza pesa aliipataje? Aliniambia miaka Saba iliyopita alikuwa na mifugo 13 badae aliongezea mifugo kadhaa kutoka kwenye mshahara wake mdogo. wale mifugo walizaana sana. hakuwa anawauza na alibaki kuwa maskini. Siku moja alikutana na Rafiki yake anayeishi Australia akamwambia. Umekuwa tajiri namna hii. !!!! Jamaa alishangaa. hakuelewa..... Badae aliamua kuuza ng'ombe 80 kwa mkupuo baada ya mazungumzo marefu sana na rafiki yake huyo. na siku hiyo ndo ikawa mwanzo wa utajiri wa huyo jamaa. Niliporudi Nyumbani niliamua kuanza hiyo project ambayo sasa naona imeshanilipa tayari. Nimeshapata mnunuzi ananipa bei nzuri. kwa pamoja yeye hana gharama ya kunenepesha. ni kupakia na kupeleka sikoni moja kwa moja.
Inahitaji mtu anayeweza kuiona mbele miaka kumi ili uweze kuwekeza kwenye miradi endelevu.
Ahsante sana
 
29,000,000/- wewe ni tajiri tayari. Ni kuangalia fursa pana zaidi lkn wewe ni tajiri tayari
 
Samahani wana jamvi kwa kutumia Lugha ya Kuudhi. Sikukusudia havyo. nilitaka kila mtu aone fursa zingine ambazo zina faida sana kwa muda mfupi lakini haziongerewi sana. Nilitegemea topic hii ianzishe mjadala mpana zaidi. siyo mwandishi mzuri. kama kuna mtu anaweza kupungu ukali wa maneno mods watusaidie ili ikae vizuri zaidi.

kifupi nilinunua ivyo vidume vya ng'ombe miaka miwili imepita sasa ni midume. nilikodi eneo la kuwalisha kwa miaka Mitano. lina ukubwa wa ekari 70 lakini pia nanunua mabua ya mahindi na majani ya mpunga kuwalisha wakati wa kiangazi na kipindi cha mwanzo cha mvua ambapo nyasi haipo. najivunia hii kitu. kozi imelipa kwa muda mfupi. nilisevu 70% ya mshahara wangu kwa miaka miwili. this is a four year project. I am 29 years now. At 33 years I dream to be a young millionare atleast angalau niwe na utajiri wa Milioni 500. japo ni kidogo kwangu naona nitakuwa pazuri.

Niliowaudhi mnisamehe.
Hapo sasa nimekuelewa, mwanzoni ulipuyanga kwel kwel
 
Mkuu nakupongeza una maono mazuri, ila usiwakejeli wengine maana ni jana tu nimetoka kusikia kuwa ugonjwa wa sotoka (rinderpest) ambao huwapata ngombe umedhibitika huko ngorongoro, labda utuambie umewawekea ngombe wako insuarence maana wakulima na wafugaji wengi pamoja na madhara mengine hupata hasara kubwa kutokana na madhara/matatizo yasioyoweza kutabirika.

i.e
magonjwa
Ukame
Mafuriko
Uhaba wa soko na bei shindanishi
Wizi n.k
 
Back
Top Bottom