Ufisadi wa wabunge katika biashara ya Nguzo za TANESCO

Tanzania ni nchi tajiri lakini watu wake wengi ni maskini.unaweza kununua matunda Lushoto kisha ukayawekea Lebo kuwa yametoka South Africa hakuna shida
 
Waziri unapambana na mtandao hatari sana kuliko boko haram,inatakiwa ujizatiti
 
Kweli nimeamini prof kaamua vita na wafisadi.je je je.atawaweza? Unaweza kuta hata mzee wa kaya anajua kila kitu.
 
Kweli nimeamini prof kaamua vita na wafisadi.je je je.atawaweza? Unaweza kuta hata mzee wa kaya anajua kila kitu.

actually wapiganaji ni wananchi wenyewe. Hivyo ushindi unategemea kiwango cha mwamko na kujitambua
 
daah! kwa hiyo wabunge hawakutaka muongozo kwamba; Awaombe Radhi au awataje wahusika?
 
Waziri wa nishati na madini, prof. Muhongo ameweka wazi kuwa kuna wabunge wanaiuzia Tanesco nguzo na kwamba nguzo hizo zinatoka South Africa.

Prof. Muhongo amesema nguzo hizo zinatoka Mkoani Iringa zinaenda Mombasa halafu zinarudishwa Tanzania kwa jina la nguzo za South Africa!

Hili kweli shamba la bibi jamani!

Hapo kwenye
red. Kimsingi hayo ndiyo miongoni mwa majukumu ya USALAMA WA TAIFA wakishirikiana na taasisi nyingine za ulinzi wa taifa letu iwe kiuchumi, kijamii, n.k.

Ni aibu kwa UWT kuacha au kushindwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kama hayo na kujiingiza kwenye masuala yasiyo na kichwa wala miguu. Moja kwa moja huu ni UHUJUMU UCHUMI wala hakuna lugha nyingine rahisi au kumung'unya maneno kunakohitajika kuelezea hilo.
 
Waziri wa nishati na madini, prof. Muhongo ameweka wazi kuwa kuna wabunge wanaiuzia Tanesco nguzo na kwamba nguzo hizo zinatoka South Africa.

Prof. Muhongo amesema nguzo hizo zinatoka Mkoani Iringa zinaenda Mombasa halafu zinarudishwa Tanzania kwa jina la nguzo za South Africa!

Hili kweli shamba la bibi jamani!

Masahihisho: waziri alisema kuwa kuna wabunge (ambao amesema hawezi kuwataja) kuwa walimpa taarifa za huo mchezo wa nguzo kutoka Iringa kwenda Mombasa na then kuingizwa nchini as if zimekuwa imported from SA. Na akasisitiza kuwa Wabunge hao sio wao wanaofanya hivyo bali walimpa taarifa hizo. Hii ameisema wakati anasisitiza maovu na ndani ya Tanesco, kusimamishwa kwa Mhando, box moja la misumari kulipiwa paundi elfu 50, etc etc.

Kwa upande wa Wabunge kufanya biashara na Tanesco, amewalaumu wale walioko kwenye kamati kuwa wanajiwekea conflict of interests kama ya Mhando na kampuni yake na familia,na ndipo akatolea mfano wa kampuni moja ya mbunge kuiuzia Tanesco matairi kwa bei ya juu, tena matairi yenyewe yakiwa ya kiwango hafifu, na ndipo akahoji watawezaje kuiwajibisha Tanesco (kupitia kamati yao)? Tujaribu kufanya effective listening (and reading) kama tunataka kuwaripotia wengine, la sivyo tutapotosha.
 

Hapo kwenye
red. Kimsingi hayo ndiyo miongoni mwa majukumu ya USALAMA WA TAIFA wakishirikiana na taasisi nyingine za ulinzi wa taifa letu iwe kiuchumi, kijamii, n.k.

Ni aibu kwa UWT kuacha au kushindwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kama hayo na kujiingiza kwenye masuala yasiyo na kichwa wala miguu. Moja kwa moja huu ni UHUJUMU UCHUMI wala hakuna lugha nyingine rahisi au kumung'unya maneno kunakohitajika kuelezea hilo.

Kweli tupu, na ndio maana hatuamini kuwa haya mambo hayafahamiki serikalini. Haiwezekani Waziri aingie juzi tu alafu ndo haya yote yagundulike. UWT wanajua, TRA wanajua, na wengine wengi wanajua ila wanaamua kugeuza information hiyo kuja mrija wao wa kujipatia pesa kutoka kwenye mtandao huo. Wapuuzi kabisa!
 
Ndio maana wachina wakaweka sheria kali, sisi tunaambiwa haki za binadamu. Katiba mpya iruhusu kufilisi kila kitu kama sio kutoa maisha
 
Waziri wa nishati na madini, prof. Muhongo ameweka wazi kuwa kuna wabunge wanaiuzia Tanesco nguzo na kwamba nguzo hizo zinatoka South Africa.

Prof. Muhongo amesema nguzo hizo zinatoka Mkoani Iringa zinaenda Mombasa halafu zinarudishwa Tanzania kwa jina la nguzo za South Africa!

Hili kweli shamba la bibi jamani!

Sijaona kama yuko serious eti kuna wabunge wanfanya 1, 2, 3...... kwa nini asichukue hatua? anaenda kusema Bungeni ili ? hiyo bado ni siasa hatuna viongozi watendaji bali wezi na wanasiasa tu Basi
 

Hapo kwenye
red. Kimsingi hayo ndiyo miongoni mwa majukumu ya USALAMA WA TAIFA wakishirikiana na taasisi nyingine za ulinzi wa taifa letu iwe kiuchumi, kijamii, n.k.

Ni aibu kwa UWT kuacha au kushindwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kama hayo na kujiingiza kwenye masuala yasiyo na kichwa wala miguu. Moja kwa moja huu ni UHUJUMU UCHUMI wala hakuna lugha nyingine rahisi au kumung'unya maneno kunakohitajika kuelezea hilo.

Chakujiuliza je huko TISS, kuna hiyo idara ya kushughulikia haya mambo? Maana tumesikia zoka ni mkuuwa idara ya siasa. Je ya Uchumi ipo huko TISS?
 
na hili ni eneo moja tu kwani kuna maeneo mengine yanatisha si kidogo

Kuna mtu aliniambia kuna watu wanapiga dili la la TRA viule vimashine vya kodi na link ya FIBER ta TANESCO, ilikuwa jamaa waende direct kwa TANESCO ila kuna mtu wa kati kachukua hiyo issue.Yeye anakula mabilioni TRA analipa maelfu TANESCO.
 
Chakujiuliza je huko TISS, kuna hiyo idara ya kushughulikia haya mambo? Maana tumesikia zoka ni mkuuwa idara ya siasa. Je ya Uchumi ipo huko TISS?

Hiyo TISS nayo ni ya kuvunja na kuunda upya ikiwa ni pamoja na majukumu yao kurekebishwa ili yaendane na wakati tulio nao sasa; wakati ambao ni wa siasa za maji taka; wakati ambao ni wa wenye madaraka kutumia madaraka yao vibaya kwa faida binafsi wao, familia zao, marafiki zao, na hata makundi yao katika jamii. Idara hii "waajiriwe" watu kwa utaalamu na weledi wao badala ya kuingia kwa "vimemo". Ikiwezekana kuwa na chombo maalumu ambacho idara hii itawajibika kwacho badala ya kuwajibika kwa Rais kama ilivyo sasa.
 
Kuna mtu aliniambia kuna watu wanapiga dili la la TRA viule vimashine vya kodi na link ya FIBER ta TANESCO, ilikuwa jamaa waende direct kwa TANESCO ila kuna mtu wa kati kachukua hiyo issue.Yeye anakula mabilioni TRA analipa maelfu TANESCO.

Mi nakuambia mkuu kwa wale wanaojua mirija ya kunyonya nchi hii wamekwishaiharibu. Kuna namna wenye mamlaka ya juu kabisa katika nchii hii kujisafisha na baadaye kuanza upya. Lakini vilevile kama njia hii inakuwa ngumu kuna njia mbadala. Mwaka 2015 hauko mbali. Bakora za kuwaondoa wanaoinyonya nchii hii ziko mikononi mwetu wananchi wenyewe
 

Hiyo TISS nayo ni ya kuvunja na kuunda upya ikiwa ni pamoja na majukumu yao kurekebishwa ili yaendane na wakati tulio nao sasa; wakati ambao ni wa siasa za maji taka; wakati ambao ni wa wenye madaraka kutumia madaraka yao vibaya kwa faida binafsi wao, familia zao, marafiki zao, na hata makundi yao katika jamii. Idara hii "waajiriwe" watu kwa utaalamu na weledi wao badala ya kuingia kwa "vimemo". Ikiwezekana kuwa na chombo maalumu ambacho idara hii itawajibika kwacho badala ya kuwajibika kwa Rais kama ilivyo sasa.

Kama una idea na masuala ya state sytems, si rahisi kuivunja TISS katika utawala ulio madarakani. mARA ZOTE UONGOZI UNAOINGIA MADARAKANI HUWA NA WATU WAKE KIUTENDAJI. KWA MFANO SI RAHISI CDM KAMA WAKIINGIA MADARAKANI KUENDELEA KUWA NA HAWA JAMAA WA TISS WA SASA. WATAKUWA NA WATU WAO TOFAUTI KABISA. HII HAIMAANISHI KUWA MABADILIKO HAYA YATAFANYIKA KATIKA IDARA NYINGINE ILA KWA IDARA HII NI KWA SABABU YA UNYETI WAKE
 
Miezi miwili iliyopita nimenunua nguzo mbili za umeme kwa 2,500,000/= kumbe ni mali ya mafisadi?.
 

Si hayo tu, amesema pia anayo listi ya majina ya Wabunge wote Wanakamati wanaoisimamia TANESCO ambao wana makampuni yanafanya biashara na TANESCO na hivyo kuwa na mgogoro wa kimaslahi na kushindwa kuisimamia.



Picha ya Sara Msafiri iko hapo chini akiwa na wabunge wenziwe mapema mwaka huu (22 May 2012) huko Holland. Ni nani aliyewaalika? na kwanini wao? Hii article iliandikwa na Zitto.



Yesterday in the company of my fellow parliamentarians Hon. Nasir from Korogwe, Hon. David Kafulila from Kigoma South and Hon. Sarah Msafiri Special seats Morogoro we started our study tour to The Kingdom of Netherlands to learn more on their oil and gas sector and what best practices we can draw from them.

Our first briefing of the day on the Dutch Oil and Gas sector was how licensing is done and how revenue is collected and managed. We were informed that the Dutch government receives a total of 11bn Euros as state revenue from the sector as of last year. They collect 85% of the total revenue from Oil and Gas from Groningen field (the biggest field in Europe). Out of this 45% is from taxes collected from Oil and Gas Companies (largely Shell and ExxonMobil) and 40% from taxes and dividend from the State Oil and Gas company EBN.

For other fields the state receives between 40% and 65% of the total revenue. In all licences except in old ones the state has shares and participates in companies. The Dutch don't use Production Sharing System (PSA) as is the case in Tanzania whereby companies are largely contractors. The biggest advantage of a PSA system is that the State remains the owner of the resource. However, the revenue implications of either system, Dutch or Tanzanian, are minimum and largely semantic. It is all about GOVERNANCE – Transparency and Accountability of the whole sector.

We also had the pleasure of meeting the Deputy Prime Minister Mr. Maxime Verhagen. Took the opportunity to extend sincere greetings from the people of Tanzania and reiterate that our Cooperation shall be sustainable and mature – a partnership of equals, unlike the donor-recipient status quo.

I reminded him about our proven natural gas reserves so far nears 19 Trillion Cubic Feet(TCF) with the recent discoveries from five wells owned by the BritishGas/Ophir partnership (11 TCF), StatOil discoveries from one well (5.3 TCF) and the remaining smaller discoveries at Songosongo, MnaziBay, Mkuranga and Nyuni in Kilwa district.

I expressed to the Deputy Prime Minister about our desire to see Tanzania as a country in Africa whereby resource wealth goes hand in hand with democracy and development of the people of Tanzania. Echoing the vigor and desires of many of the up and coming young leaders in Tanzania who are committed to creating a new kind of leadership that is people centered and gives hope to the masses. That it is possible for an African country to be rich in Oil and Gas and still be properly governed and is democratic. And that it is possible to use the country's vast resource wealth in the development of the people of Tanzania. That we don't want to repeat mistakes of others (including Nigeria which lost billions of Petrodollars and the Dutch on ‘dutch disease') and not repeating the same mistakes as we did in Mining sector.

The Deputy Prime Minister assured us of the readiness on his government to support us in developing our Natural gas sub-sector especially through human resources development. This agenda was further discussed at the foreign ministry and it was generally agreed to establish a Scholarship Program for Tanzanians on Oil and Gas in order to increase our pool of experts in the sector.

He suggested that Tanzania uses its natural gas reserves towards infrastructure development and cutting down on the national debt for the benefit of the future generation. He explained to us the desire of the Netherlands to be a "Gas Hub" of Europe through developing Ports for LNG like the one in Amsterdam.

The delegation continues with the visit on Tuesday by visiting various natural gas facilities. We are determined to learn and transfer the knowledge into our new policy for Natural gas, Gas Master plan and Petroleum Revenue management legislations and strategies.

I am optimistic out of existing relatively murky frustrations. Tanzania has a great FUTURE ahead. We must build the future we want. Our preparedness and building oversight institutions are fundamental for proper managing of these resources.

Committed to working towards a democratic and prosperous United Republic of Tanzania that is endowed with massive gas reserves Natural Gas (United republic of Natural Gas).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom