Ufisadi wa Blandina Nyoni huu hapa!

Asipoondolewa Blandina Nyoni na Deo Mtasiwa mutakuwa
munatwanga maji kwenye kinu. Saa hizi wenzenu wako
kwenye mchakato wa wa kuingiza kitendanishi kingine cha
kupimia VVU kwa njia za kifisadi baada ya kukisimamisha
kile cha SD Bioline.
 
The system is wrong. Makatibu Wakuu ni Miungu - Hata Waziri hamfikii

You are taliking like a great thinker. Kwa ufupi governance structure ya serikali kuu ni ya kikoloni ambayo imelundika nguvu nyingi sana kwa Katibu Mkuu wa wizara bila kuweka "proper checks and balances" ili kumdhibiti asikiuke mipaka yake kiutendaji. Mambo ya Blandina Nyoni na Jairo yanafanywa na Makatibu wakuu wengi kama sio wote.
 
THE SYSTEM IS NOT WRONG AT ALL!
PS ndio CEO ila CEO anapo abuse madaraka ndio wrong
.WAZIRI SIYO MTENDAJI bali "mpiga debe" wa chama kilichoko madarakani. Anasimamia sera na ilani ya chama.Kiutendaji, KM/PS anasimamia utendaji kitaalam wizarani, ndiyo account holder.Mshiko anaidhinisha yeye.

Waziri anaweza kuziona kwenye makaratasi na akiwa na jeuri hapati kitu!Hiyo gia ya kutokusalimiana anayekula hasara ni Waziri lol.

Umenena vyema. Katibu Mkuu ndiye CEO wa wizara na ndio msimamizi mkuu wa mafungu ya fedha za wizara (accounting officer). Kwenye mashirika mengine utendanji wa kila siku wa CEOs unasimamiwa na Bodi za Wakurugenzi zenye wajumbe wasiyo wafanyakazi wa mashirika hayo. Tueleze ni chombo gani kinasimamia utendaji wa kila siku wa Katibu Mkuu wa wizara kama ambavyo CEOs wa mashirika mengine wanavyosimamiwa?

Je ukiondoa Rais ambaye ndiye mamlaka ya uteuzi wa Katibu Mkuu, hawa wengine yaani Naibu Waziri, Waziri, Waziri Mkuu, Katibu Mkuu Kiongozi wana mamlaka yoyote ya kumdhibiti Katibu Mkuu kwenye utendaji wa kila siku - Jibu ni hapana. Kwa taarifa yako Blandina Nyoni anawakilisha tu mambo yanayotendwa na hawa makatibu wakuu ambao ni kikwazo kikubwa kwenye utendaji wa kila siku wa serikali. Kwa mtazamo wangu ilitakiwa hizi zafasi ziwe zinatangazwa kwa watanzania wote wenye uwezo.
 
Kama haya yasemwayo si tetesi.Yeye na wafuasi wake wanatakiwa kufilisiwa na kutupwa jela.
 
Jamani, haya madudu ya huyu Blandina yamekuwa yakilindwa na kaka yake Philemon Luhanjo ambaye kwa madudu yake aliyofanya akiwa KM Kiongozi alikuwa naye Mtu - Mungu. Lakini kwa ubomoaji wa amri ya Mungu ya sita namfahamu tangu akiwa IDM Mzumbe na hata akiwa Sekondari. Msitie mchanga kitumbua cha Wakubwa kwani wanaona bado ni embe dodo imelala mchangani.


imwan
 
Tatizo la huyu Mama usipomnyenyekea imekula kwako.. Na anaupendeleo wa wazi kabisa kwa jinsia moja..
 
Very nice recipe. Habari yako nimeipenda bcoz at least, kwa kiasi kikubwa, iko linked na source of evidence husika mfano CAG report!!! Endelea kudadavua ma-news mkuu!!!....tunasubiri!
 
Huyu mama ni noma,
Alimuhamisha kazi aliyekuwa Meneja wa muradi wa kudhibiti malaria Dr Alex Mwita amabaye alikuwa na utendaji uliotukuka na hata wafadhili walikuwa wanamwani ili amweke mtu wake kwa masilahi yake binafsi.
 
anajitahidi kumbe wakiwezeshwa wanaweza na uzuri ni kwamba hakuna wakumuwajibisha
 
2. Ametengua utaratibu rasmi wa kila Idara ya Wizara ya Afya kuwa na afisa manunuzi wake badala yake ame centralize kwake mwenyewe. Kwa maana hiyo, manunuzi yote ya Wizara anamlazimisha (Comand) Mkurugenzi wa Kitengo cha Manunuzi kumpa kazi zote ndugu yake anaeitwa Donatha Koko


Huyu mama ana kaufisadi lakini tutazame shilingi pande mbili. Maamuzi au kitendo cha kingozi ku centralise Departmet ya manunuzi ni busara. Hili tusikatae lakini kama ame centralise ili ajipendelee hapo sasa ndio tumkose.

Unaweza kungalia upande mmoja wa hasara ya yeye Nyoni kucentralise lakini angalia na hasara nyingine ya decentralsation ya kila ktengo kuwa na idara ya manunuzi... Hapo ni ufisadi ule ule .....

Sure kama anafanya PS nyoni an Ufisadi ni Ksa lakini lawama juu hi oja hapo juu inaonyesha weakness ya vingozi wengi.. kuogopa kusemwa vibaya. Ndiyo aanawengi wamepita hapo Afya wanaogopa kuchange hiyo decentralisationn amaby nayo ni kichaka cha UFISADI

CAG mweneywe anaonyesha upotevu mkubwa wa serikali uko kwenye manunuzi.........

Kwa hiyo while huyu mama nyoni can be a fisadi na hao wanalaumu centralisation na close control ya Procurement department ni mafsadi vile vile.....

Centralisaton of procuremnt department ni right decision kwa wizara ya afya.kw a hiyo badala ya kulaumu huo utaratbu aliotenguwa wao wamsilibe kwa nn anapendelew lakini si utenguzi wake .
 
Quote (Mwishoni mwa mwaka wa fedha 2009/2010 alihamisha kiasi cha Shilingi 1,968,475,931 mali ya Wizara ya Afya kwenda National Institute for Medical Research (NIMR) bila kibali cha hazina kwa matumizi yasiyojulikana. Fedha hizi zilikuja kuhojiwa na CAG katika ripoti yake ya serikali kuu ya mwaka 2009/2010) Quote

If this is true then: Dr Mwele Malecela anauhusiano upi na huyu mama? Kama sijakosea yeye ndio bosi wa NIRM; je haka kamchezo anakajua? Ukiangalia vizuri kuna chain ya watu fulani fulani inabidi wawajibike na huyu mama Nyoni if the accusations are true.

Uko sahihimkuu, hawezi kuwa peke yake hata hapo wizarani halafu kwa hizi tetesi eti Dr Mwele ndiye anayetegemewa kuja kushika nafasi ya Nyoni sinimatusi haya..
 
Well, unadhani ni sehemu gani ya ofisi za kibongo haya yaliyoorodheshwa hapo juu hayafanyiki?
Tafakari!

Ni kweli usemayo; Ukiwaweka vigogo wakuu wa serikali kuanzia makatibu wakuu, manaibu , wakurugenzi na mawaziri kwenye Microscope utaona mengi kuliko haya. Hapa bado mtoa mada hajaeleza kufufuru ya vitega uchumi ambavyo lazima huyu mamam atakuwa navyo tu.
 
Back
Top Bottom