IKHOIKHOI
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 366
- 41
sasa tuhuma zote hizi wafanyakazi wa wizara walikuwa wanasubiri madaktari wawagomee?
Ndgugu yangu haya madudu yapo idara nyingi, watu ni waoga kuripotisha
sasa tuhuma zote hizi wafanyakazi wa wizara walikuwa wanasubiri madaktari wawagomee?
Mkuu hayo cha mtoto! Kuna funga kazi!!! Subira yavuta heri!Haitoshi kujiuzulu au kuwajibishwa kama haya yaliyosemwa ni kweli kwa asilimia hamsini tu basi sehemu yake ni jela tu!
PM kwa invisible mkuu tuinyoshe nchi hii!! Tumempa nafasi ajiuzulu bado anasita! Invisible mpe confidence kijana!Unachozungumza mkuu, ni kweli kabisa.
Huyu nyoni ni jambazi kupita maelezo.
Naomba uni PM, nikupe mkanda mzima ili iwe part 2, just do that pls.
The system is wrong. Makatibu Wakuu ni Miungu - Hata Waziri hamfikii