Ufisadi NHIF

Jamani tukumbushani JK wakati anaingia madarakani aliaapa kupambana na rushwa...sasa toka awe hapo mahala patakatifu ni rushwa ngapi alizo dili nazo kubwa kubwa? na si za hawa dagaa kwa maana hawa jamaa kwa kudaka dagaa wapo shap...
 
Nashukuru sana kwa jitihada hizi, kwani kuna rafiki yangu alinyanyaswa sana na huyu bosi mpaka kufikia kumfukuza kazi, kwanza alimuhamishia mkoa wa porini sana ambao hakuna anayekubaligi kwenda ( Mkoa fulani hivi wa Kusini mwa Tanzania ) Namatumaini kilio hiki kimewagusa wengi sana, tuendelee na uwazi na ukweli kama hivi kwani kuna siku watabadilika tu, na hiyo siku iko njiani.

Asante Sana....
 
Walioleta hii taarifa tunawashukuru kwa kutufumbua macho kuhusu huo mfuko. Mfuko huu unawagusa sana wananchi weengi saana.

Sasa kama kuna mahala JF tunatakiwa kumkoma nyani basi ni kwenye huu mfuko wa afya.........wananchi wengi zaidi watajua JF ni kitu gani.

Bravo to you NHIF Staff!!

think BIG
.......aisee hiyo ya Zambia kali kweeli.....yaani hata mtoto hajazaliwa yeye anasema kuwa mtoto anatembea na anaongea!!!.............only in Tanzania

Mkuu FMES..........ni Mungu tu ndiye wa kukulipa...........hata hivyo si haba ukipokea shukrani zetu kwa kuifikisha hii taarifa kunakohusika.....
 
DAILY NEWS Reporter
Daily News; Monday,June 02, 2008 @00:03


# NHIF put to task over bad accounts books

The Parliamentary Committee for Parastatal Organisation (POC) has put the National Health Insurance Fund (NHIF) to task following anomalies found in its 2006/07 accounts. Basing on reports of the External Auditor (TAC Associates) and Controller and Auditor General (CAG), the committee under the Chairmanship of Zitto Kabwe, (CHADEMA -Kigoma North) raised concerns on how the funds were spent in other areas like training, administration, remunerations and allowances, advocacy, printing forms and identity cards and Saba Saba exhibitions.

In 2006/2007 for instance, the budget for Clients and Advocacy meeting expenses was 389,580,996/- in comparison to 92,677,563 the previous financial year. Printing of forms and Identity Cards drained 102,204,780/- in comparison to 52,456,308/- the previous year, key management remunerations fetched 745,044,528/- in comparison to 184,170,367/- the previous year and 155,138,132/- for Saba Saba exhibitions last financial year unlike 96,578,943/- the previous year.

The figures were queried by MPs Peter Serukamba (CCM-Kigoma Urban), Zainabu Zulu (CCM-Special Seat), Dr Raphael Chegeni (Geita), and Diana Chilolo (CCM-Special Seat). “Why all these expenses on Identity Cards while there were reports that many people do not possess them in the country ?” queried Ms Chilolo, while being supported by Zitto Kabwe who wanted explanations on funds misused during the exhibitions last year.

“There is information that 23m/- was swindled during the International Trade Fair last year, would you please give us explanation on that?” asked Kabwe. In response, the NHIF Director General, Emmanuel Humba, said the payments were made according to the budget that was prepared and approved by internal auditors, adding that all the allocations had no dubious transactions behind them.

He said all expenditures followed all the stipulated financial procedures. He further said that the funds were paid to match with current challenges facing the organnisations like providing training to staff, adding that the Fund had sent a batch of staff to Korea for training on the country’s Health Insurance system. According to him, the Fund has more than 300,000 members with more than 1.5 million beneficiaries, while the number of staff is limited to 147 only.

The Fund agreed to include circumcision in the list of 999 diseases under the Fund’s package to help fight HIV-AIDS. The NHIF 2006/2007’s accounts were passed by the Committee but with recommendations from the Controller and Auditor General’s office that the Fund should in future avoid discrepancies that were likely to be queried by the parliamentary committees.
 
mh, jamani kweli mafisadi hawana huruma. yaani hela za waalimu ndo zinaliwa hivi. mfuko huu wanachama wake ni wafanyakazi wa hali duni kabisa lakini ndo yanayotendeka hapa! hivi watanzania tutakimbilia wapi?
 
Sasa hili suala zima litaendelea kuwa hivi mpaka lini n akwa nini serikali inafumba macho tu.

Kuna umuhimu wa kuanza kubonda mawe hawa mafisadi!
 
Mkuu...nashukuru sana kwa hii nondo uliotuangushia hapa.Licha ya kuwa taarifa za ufisadi kila mahali zinaweza kumkatisha mtu tamaa lakini kwa upande wangu nakusifu kwanza kuchukua muda wako kuandika kitu katika mpangilio na mwa marefu na mapana. At least naona hata kama kuna mkopo wa serikali uliwahi kukusomesha basi matunda yake tunayaona.Hongera kwa ujasiri.Suala linaweza lisipatiwe ufumbuzi leo au kesho kutokana na mfumo wetu wa siasa na nchi lakini najua limeleta mwanga na linatupa nafasi ya kupigana na kufichuku uozo huku tulipo. Nimeguswa sana!
 
NHIF nafahamu wanakata mishahara ya walimu..mpaka wa vijijini kusepokuwa na hata dispensary vipi hawa hela zao zinaenda hivi hivi (6%) of the salary hii ni aibu??
 
Wapi Hosea au bado anawabana akina Mwakyembe oh shit hawezi kumfuata Humba kwani Humba ni memba wa Fisadi exclusive club ya akina ah nimewasahau
 
naomba mwenye ile taarifa ya kusitishwa mkataba kati ya marie stopes na NHIF

Ng'azagala,
Nini chanzo chake? Hawawalipi au?

Nje ya maada

Kuna makala moja iliwahi kutolewa kwenye gazeti moja tena la dini siku za huko nyuma kuhusu hawa Marie Stopes ya kuwa ni shirika la kishetani linaloendesha kampeni za uuaji kwa chinichini kupitia tiba zao. Ukiangalia wamejikita zaidi kwenye tiba za watoto na huenda kuna vitu visivyofaa wanavyopandikiza kwa watoto. Sikuwahi kusikia wakikanusha madai hayo, so people be careful na tiba za hawa watu.
 
Nje ya maada
hawa Marie Stopes ya kuwa ni shirika la kishetani linaloendesha kampeni za uuaji kwa chinichini kupitia tiba zao. Ukiangalia wamejikita zaidi kwenye tiba za watoto na huenda kuna vitu visivyofaa wanavyopandikiza kwa watoto. Sikuwahi kusikia wakikanusha madai hayo, so people be careful na tiba za hawa watu.

Marie stopes wanafanya shuguli halali za afya ya uzazi, hasa masuala ya family planning, ni wazi kuwa wakatoliki hawafurahishwi na hizo huduma!
 
Nashukuru sana kwa jitihada hizi, kwani kuna rafiki yangu alinyanyaswa sana na huyu bosi mpaka kufikia kumfukuza kazi, kwanza alimuhamishia mkoa wa porini sana ambao hakuna anayekubaligi kwenda ( Mkoa fulani hivi wa Kusini mwa Tanzania ) Namatumaini kilio hiki kimewagusa wengi sana, tuendelee na uwazi na ukweli kama hivi kwani kuna siku watabadilika tu, na hiyo siku iko njiani.

Asante Sana....


Watu wengine bwana, kwa hiyo nani angepelekwa huko "mkoa wa porini sana"? Ndio maana hatuendelei.
 
Undugunization utatuuwa iko siku bubu ataongea,vilema kutembea na Ole wao!!
 
Back
Top Bottom