Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,427
- 15,985
We mwanamke kuwa na adabundorobooooooooooooo elfu 10 ilikuwa ni lini?
We mwanamke kuwa na adabundorobooooooooooooo elfu 10 ilikuwa ni lini?
Yes na mi najua ni elf 5!
Japo sikuchoma
Mbona ilitangazwa ni 5,000/= tu pale mnazi mmoja?Mnazi mmoja nilipata hiyo service kwa elf kumi tuu hiyo 55,000 unatupiga fix mkuu
Ya kutoka msd changombe mpaka Lumumba mnazi moja na kutoka msd changombe mpaka JN airport wapi karibu zaidilabda wanaweka transportation fee
Nahitaji kadi ya hii chanjo ila sitaki kuchomwa sindano(sipendi sindano). Nahitaji ndani ya hii wiki na ile inayokuja.
sio tupigane 55000 lkn kama mkuu hapo juu.
labda wanaweka transportation fee
holili ndiyo karibu zaidiYa kutoka msd changombe mpaka Lumumba mnazi moja na kutoka msd changombe mpaka JN airport wapi karibu zaidi
Mm nimechanja kwa elf20 pale mnazi mmojaShikamoni wandugu.
Kumekuwa na figisufigisu nyingi sana katika huduma ya chanjo ya homa ya manjano /chanzo ya kimataifa (Yellow Fever Vaccination),hasa gharama ya huduma hii.
Gharama hiyo hapa nchini hutofautiana sehemu na sehemu, kituo na kituo wakati ni huduma hiyohiyo inayoratibiwa na Wizara ya Afya Jinsia na Watoto hapa nchini Tanzania.
Mathalani, ukienda:-
1. Hospital ya Mnazi mmoja ya jijini Dsm, wanatoa hiyo huduma kwa TZS 55,000 (Elfu Hamsini na tano);
2. Holili Mkoani Kilimanjaro TZS 20,000 (Elfu Ishirini);
3. Azam Marines pale Posta - Dsm wanatoza TZS 20,000
4. JN & K International Airports wanatoza 40 USD
Sasa basi, gharama ya huduma hii kwann inadiffer wakati huduma zote zinaratibiwa na Wizara (moja) hiyohiyo?
Ni mradi wa mtu binafsi au nn hapo?
Kama jipu lipo, lipasuliwe.
We mwanamke kuwa na adabu
Mkuu kwa mwanza wanatoa maeneo gani nami niwaibukie kwa maana kwa sasa npo hapa mwanza.
Mkuu wanauliza na maswali gani mkuu?View attachment 475472Nimekuwekea na picha mkulu ujionee hiz vitu ni bora ziwekewe utaratibu wa kuambiwa bei kabisa kua hapa ni kiasi flani ndio upate chanjo kuna watu wanapigwa mpaka laki ,je vipi kuhusu yale maswali ambayo yapo kwenye ile fomu ya kujaza kabala hawajaku vaccinate
Yupo Kolomije huyo hatajua iyo distance.Ya kutoka msd changombe mpaka Lumumba mnazi moja na kutoka msd changombe mpaka JN airport wapi karibu zaidi
Kitabu hiki ni cha zamani, nenda kwenye kituo kinachotoa huduma hiyo ukabadilishe. Kuna form utajaza, kama ulipata cha kuuziwa itabidi uchome sindano kwa gharama halali ya Tsh. 20,000
Mkuu kwani hiyo vaccina si valid for ten years ?Kamani ndio kuna umuhimu upi wa kubadili ilhali sikununua kitabu nilipatiwa chanjo kabisa ndipo nikapatiwa hicho na mara ya mwisho nimetoka nacho 2015 .Naomba mwongozo plzKitabu hiki ni cha zamani, nenda kwenye kituo kinachotoa huduma hiyo ukabadilishe. Kuna form utajaza, kama ulipata cha kuuziwa itabidi uchome sindano kwa gharama halali ya Tsh. 20,000