UFAFANUZI WA HUKUMU YA JAJI FAUZ : TANESCO v DOWANS

Ukweli ni kwamba sisi sheria zetu tumedesa kwa watu. Unabisha?

Kwa hiyo it is fair to say, Tanzania ndiyo imedesa sheria nyingi toka Uingereza.

Kumbe unajua, kwa nini uanze kutukana profession za watu.
Ni ngumu kupata maana halisi ya neno kutoka lugha moja kwenda nyingine.
Anyway, kama wewe unajua lugha ya kiingereza, fahamu ina utajiri wa maneno, tatizo litakuja kutafsiri hiyo rheria kuja kwenye kiswahili ambacho bado hakina maneno mengi.
Sheria zenyewe kumbuka zipo nyingi na nyingine nyingi zinatungwa, ndio maana hata uende India, mahakama zao wanaongea kiingereza unless mahakama za chini.
Nadhani unapata picha halisi, pia we angalia ugumu unaokuja katika elimu kufundisha kiswahili, jiulize Doctors wataweza kubadili maneno ya kiingereza na kilatini yaliyomo kwenye vitabu tunavyovitumia kama mwongozo? Engineers je?
Nadhani jibu ni rahisi sana.
 
Kumbe unajua, kwa nini uanze kutukana profession za watu.

Dharau yangu ipo kwa wale wanaopenda kujiita wao wasomi. Wasomi wamesoma nini? Waende zao huko.

Ni ngumu kupata maana halisi ya neno kutoka lugha moja kwenda nyingine.

Si vigumu kama unavyodhani na mnaodhani hivyo mko wengi kweli. Hiyo attitude yenu mimi naiita 'defeatist' attitude.

Anyway, kama wewe unajua lugha ya kiingereza, fahamu ina utajiri wa maneno, tatizo litakuja kutafsiri hiyo rheria kuja kwenye kiswahili ambacho bado hakina maneno mengi.

Kiingereza kimekopa maneno mengi sana toka kwenye lugha zingine. Sasa hivi hata neno "safari" limo kwenye kamusi za Kiingereza.

Hata legalese imejaa maneno kibao ya Kilatini. Kwa hiyo huo utajiri wa maneno wa lugha ya Kiingereza unatokana na watumiaji asili wa lugha hiyo kupenda kuikuza na kuipanua kwa njia na namna yoyote ile.

Kama Kiingereza kimekopa maneno lukuki toka kwenye Kifaransa, Kilatini, Kireno, na hata Kiswahili, kwa nini Kiswahili kishindwe kukopa maneno mengi kutoka kwenye lugha ingine? Inawezekana kabisa sema sisi wenye lugha hatuna 'a can do spirit' na tumetawaliwa na defeatist attitudes.

Sheria zenyewe kumbuka zipo nyingi na nyingine nyingi zinatungwa, ndio maana hata uende India, mahakama zao wanaongea kiingereza unless mahakama za chini.

Mimi sijali kinachoendelea huko India. Najali zaidi kinachoendelea Tanzania. Sheria ni zetu wenyewe Watanzania. Tukiamua tunaweza kabisa kuzitunga kwa kutumia lugha yetu wenyewe. Tatizo ni kwamba wengi mmeshakubali kuwa eti haiwezekani.

Mimi nakataa. Nasema inawezekana kabisa. Kama Wamarekani waliweka dhamira ya kwenda mwezini na kweli wakaenda, sidhani na sisi tukiweka dhamira ya kutunga sheria zetu kwa lugha yetu wenyewe tutashindwa.

Hebu jiulize tu hata wewe. Kipi kigumu - kuunda lidege la kwenda mwezini au sayari zingine au kuandika sheria zetu kwa lugha yetu wenyewe? Kwangu hapo jibu ni dhahiri kabisa kuwa kuunda lidege la kwenda huko outer space ni shughuli pevu haswa!

Nadhani unapata picha halisi, pia we angalia ugumu unaokuja katika elimu kufundisha kiswahili, jiulize Doctors wataweza kubadili maneno ya kiingereza na kilatini yaliyomo kwenye vitabu tunavyovitumia kama mwongozo? Engineers je?
Nadhani jibu ni rahisi sana.

Inawezekana kabisa. Lugha hukuzwa na watumiaji wake. Kama msamiati haupo kwenye lugha basi mnatafsiri hivyo hivyo toka kwenye lugha ingine.

Mbona neno "shule" tumelitoa kwenye Kijerumani ambapo kwao ni "schule"? Au wewe unadhani "shule" ni neno la Kiswahili?

Hakuna ugumu wowote katika kuandika sheria zetu kwa kutumia Kiswahili. Sheria ni zetu wenyewe. Zinatuongoza sisi wenyewe. Sasa kwa nini tuziandike kwa kutumia lugha ya kigeni? Haiingii akilini kabisa. Kama na hili hatuliwezi basi hakuna tutakaloliweza.
 
Great injustice has been done to many the aggrieved, due to sometimes influenced reluctance, or ignorantly refraining to recognize, when one should apply judicial activism.The good Dr.FT has demonstrated that he is worth the bench he is sitting on. He did not send the case back to THE WABUNGE as one former Chief Justice did, when the going gets tough. The morbid judgement of Judge Mushi ,whom i am sorry to say has no judicial activism whatsoever,henceforth adding nothing to the LAWS of the land, can now be challenged at the highest court.BIG UP FOR Dr.FT
 
Yani kwakweli kuna watu wanamatatizo sana,na mimi .hivi unavorusha lugha chafu humu jf unadhani ndio nani atakusifia.wewe badala uongee point unaanza matusi.jiheshimu sana wewe unaejiita msomi wakati lugha zako sio za kisomi.sasa laBda nikUulize umefaidka na nini ktk hayo matamsh yako.badaLA ya kujiuliza nini kifanyike juu ya hukumu na lugha yake ikaeje ili iwe sawa wewe unarusha lugha chafu.inaonesha una mtindio wewe,japo sina uhakika ila circumstance zinanifanya nifikirie hvyo.hebu njoo tena na upuuzi mwingine ili tufanye tathmini kwamba tz tuna wagojwa wa akili wangapi.tayri nimeshakuweka kwenye wagonjwa wa akili ila nataka uje tena ili nikusanye ushahidi mzuri wa kukupeleka milembe ukafanyiwe tiba,hii itapunguza kauli zako mbovu tena kwa wanasheria.
 
Yani kwakweli kuna watu wanamatatizo sana,na mimi nahisi.hivi unavorusha lugha chafu humu jf unadhani ndionani atakusifia.wewe badala uongee point unaanza matusi.jiheshimu sana wewe unaejiita msomi wakati lugha zako sio za kisomi.sasa lada nikkulize umefaidka na nini ktk hayo matamsh yako.baada ya kujiuliza nini kifanyike juu ya hukumu na lugha yake ikaeje ili iwe sawa wewe unarusha lugha chafu.inaonesha una mtindio wewe,japo sina uhakika ila circumstance zinanifanya nifikirie hvyo.hebu njoo tena na upuuzi mwingine ili tufanye tathmini kwamba tz tuna wagojwa wa akili wangapi.
 
Bwana Mdogo hali inaashiria kuwa umekuwa mwili tu(ubongo umedumaa). Hiyo lugha yako itafutie pa kuipeleka. hapa ni kwa ajili ya wasomi katika sheria tu. Laymen in laws are invited only to seek legal advice. They are not invited here to discuss such non-sense issues using such discourteous and awkward language and they should never try to in any way whatsoever. BE WORNNED.
 
....i am inclined to differ, not only Judge Mushi's antecedent ruling, but also the subsquent Judge Twaib's and the entire Tanesco/Dowans saga and its benchmark. it's totally hectic and above all vague, so to speak. one alarming question one would ask is that 'how can UNEQUAL be entitled to an absolute right over his counterpart UNEQUAL? there is one ancient Swahili wisdom which states 'kisicho chema hakizai chema' meaning 'there is no such a good thing that is founded in an illegal transaction' (interpretation is mine). Dowans is a creature of Richmond who was, in fact, in the colourful eye of law, unfounded. pick from towards recent Awards and Rulings of ICC and the High Court(s). from deep down my heart I HATE THE ENTIRE SYSTEM. there is no room for us, the down-trodden and the low-profiles.
 
Bora yeye aliyekuja hadharani kutuelewesha kinagaubaga wa sakata zima la Dowans na soft copy katoa ili tusome 2ujue ukweli kuliko kusika kwa wa2 Hongera muheshimiwa jaji
 
Back
Top Bottom