wameita au bado?
UDSM hawaiti Wazanzibari, jaribu UDOMwameita au bado?
UDSM hawaiti Wazanzibari, jaribu UDOM
Ndo hizo hizo mkuu mimi pia niliitwa nimefanya Usaili Alhamis tar 28.kuna watu wamepiga interview wiki hii ila post zile za utawala/ na matechnician so sijui zilitangazwa lini ila kama ni hizo tayari