Course work hazisomi kabisa,paper zenyewe znakuja kikushoto kushoto..nahc mwaka huu lazma ntacheza mechi za ufunguzi hapo mwezi wa 9.
Ulidhani Chuo Kikuu ni Nyambari Nyangwine mlizozoea? Umeishaiona SAUT kwenye ranking yoyote ya vyuo vikuu duniani au hata Afrika pekee? Kama unataka mteremko hata VETA itakushinda.pole sana mkubwa senetor.,elimu ya vyuo vya umma vya bongo shida kweli kweli!!muda mwingne naona kama wakina SAUT wana raha vile..
kaka we uko SAUT, eeh?Ulidhani Chuo Kikuu ni Nyambari Nyangwine mlizozoea? Umeishaiona SAUT kwenye ranking yoyote ya vyuo vikuu duniani au hata Afrika pekee? Kama unataka mteremko hata VETA itakushinda.
me mkopo haunihusu tena mkuu,naua mwaka huu.
Ulidhani Chuo Kikuu ni Nyambari Nyangwine mlizozoea? Umeishaiona SAUT kwenye ranking yoyote ya vyuo vikuu duniani au hata Afrika pekee? Kama unataka mteremko hata VETA itakushinda.
Course work hazisomi kabisa,paper zenyewe znakuja kikushoto kushoto..nahc mwaka huu lazma ntacheza mechi za ufunguzi hapo mwezi wa 9.
Course work hazisomi kabisa,paper zenyewe znakuja kikushoto kushoto..nahc mwaka huu lazma ntacheza mechi za ufunguzi hapo mwezi wa 9.