Udsm pagumu jamani.

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Course work hazisomi kabisa,paper zenyewe znakuja kikushoto kushoto..nahc mwaka huu lazma ntacheza mechi za ufunguzi hapo mwezi wa 9.
 
Teh hapo cheza weee uwe na 1.8 uitwe kwenye comference. na comference uchangie mada upate 2.0. stail ya kikwete afu mkopo uhakika mwakani.
 
Teh hapo cheza weee uwe na 1.8 uitwe kwenye comference. na comference uchangie mada upate 2.0. stail ya kikwete afu mkopo uhakika mwakani.

me mkopo haunihusu tena mkuu,naua mwaka huu.
 
Course work hazisomi kabisa,paper zenyewe znakuja kikushoto kushoto..nahc mwaka huu lazma ntacheza mechi za ufunguzi hapo mwezi wa 9.

pole sana mkubwa senetor.,elimu ya vyuo vya umma vya bongo shida kweli kweli!!muda mwingne naona kama wakina SAUT wana raha vile..
 
pole sana mkubwa senetor.,elimu ya vyuo vya umma vya bongo shida kweli kweli!!muda mwingne naona kama wakina SAUT wana raha vile..
Ulidhani Chuo Kikuu ni Nyambari Nyangwine mlizozoea? Umeishaiona SAUT kwenye ranking yoyote ya vyuo vikuu duniani au hata Afrika pekee? Kama unataka mteremko hata VETA itakushinda.
 
Pole sana, hiyo ni tisa, kumi ni masters za baadhi ya idara. Kuna idara masters hadi miaka 5(mfano, computer science na history-archeology). Ni dana dana kwa kwenda mbele. Huko mbeleni itabidi nirudi nikakamate kitengo ili nikiokoa chuo changu maana naona kinajiangamiza!
 
Course work hazisomi kabisa,paper zenyewe znakuja kikushoto kushoto..nahc mwaka huu lazma ntacheza mechi za ufunguzi hapo mwezi wa 9.

daaah unanikumbusha mbali sana, we use to call that september conference maana ilinikuta nilipokua first year,kaza buti utatoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom