Udsm? Kwa nini uozo kama huu upo? Is what we want?

Mr Denis

Member
Jul 2, 2012
84
12
uchaguzi wa viongozi wa DARUSO (dar es salaam university student organization) umekamilika na bwana KISANGO kuchaguliwa kwa kura kati ya 2000 na 2500 ila wanafunzi wote wapo karibu 19000.

naomba kutofautiana na woootee munaoushangilia ushindi wa bwana kisango ambaye kwa wasiomjua vizuri ni kada wa SISIEM huko kijijini kwake akitumikia kama kiongozi wa vijana, Na pia kuingia kwake uongozini ni kutokana na nguvu ya bwana m1 aliyewahi kuingoza DARUSO maarufu kwa jina la KIPARA kwa sasa bwana kipara anatumikia sisiem na mpango wa kumweka huyu bwana aliusimamia na ndiyo maana kwa wanachuo UDSM wafatiliaji mtakubaiana na mimi kipara alionekana maeneo tofauti chuoni kipindi cha tarehe 21 na 30 march.

pia yasemekana (haijathibitishwa na mimi bali rafiki yangu kuwa) tume ya uchaguzi walikutana na kipara pamoja na wengine maeneo ya tegeta kama kawaida kufanikisha hila zao kuweka viongozi wabovu DARUSO kwa masilahi ya sisiemu.

sina maana kuwa bwana yasini alikuwa msafi kwani anaandamwa hadi leo na kesho na makosa ma5 mahakamani juu ya upotevu au kwa maneno mengine ubadhirifu wa pesa za DARUSO zaidi ya mill 40 akiwa kama waziri mkuu aliyemaliza muda wake. kesi iyo ilipaswa kuamuliwa na judicial board ambayo ndiyo ilimwezesha kupenya hadi kugombeaa uraisi japo aligaragazwa na bwana kisango.

yote haya yakifanyika kama kawaida ofisi ya pilato (DINI WA WANAUDSM) anafahamu mchezo wote ila coz UDSM pamegeuzwa pango la kufinya uhuru wa kuzungumza ukweli na ukijaribu kuweka wazi unaishia kutishwa ama kupewa likizo ama kutimuliwa chuo kabisa basi all these have been silenced.

tusibilege, nae vice presider ambaye nae
kawekwa tu kwa mapenzi ya huyo huyo pilato kwani wapo walioambiwa hakuna haja ya kucontest vice post coz tayari bint wa mwaka wa 3 (tusibilege) atapewa nafasi hiyo na ndivyo ilivotokea.

kama wewe ni mwanafunzi wa UDSM anbae interaction yako na wanafunzi ni kubwa hasa waalimu wa mwaka wa piliutakuwa ama umepata kuyasikia haya yakizungumzwa ila kwa mkato wa tamaa kisango akachaguliwa.



ushahidi wa awali kuthibitisha hayo

1) kwa nini kati ya waalimu 9 kati ya wanafunzi 13 waliochukua fomu ya uraisi hawakupita screening?
2)kwa nini siku ya uzinduzi wa kampeni wagombea wote walizomewaaa? na hapa kumbuka kisango hakuwa na hoja aliishia kutoa vyeti vya CV jambo ambalo halikuwahi kutokea kwani uongozi ni sera bora na c CV
3)UDSM ina wanafunzi zaidi ya 19000 ila waliopiga kura walikua 3200 na kati ya hao kisango alishinda kwa kura 2000 na point kadhaa
4) kwa nini bodi ya rufaa ilijiuzulu bila kusikiliza rufani zilizowasilishwa?

5)kuna mabwana waliogombea na wakakata rufaa ila hazikusikilizwa kwa ubabe wa dean
na mengine unauoyajua

maoni yangu.

msitegemee mabadiliko DARUSO
UDSM is the best university in tanzania and africa in killing democracy
tusiwe mashabiki wa mambo tufanye tafiti ndipo tusifu ama kukosoa jambo
kisango ni bright darasani lakin kwa daruso ya sasa SINA IMANI NAE

naomba kuwasilisha
 
Tumekusikia lakini umechelewa kuwasilisha hoja na malalamiko.Hukuona wenzako wa SAUT walileta habari mapema jamvini na wadau wakatoa directives zao.
 
ha haa kuchelewa haimaanish usitie maoni mkuu, kikubwa ni kujua nini kinaendelea udsm
 
Kaka mimi nipo hapa Udsm,taarifa kama hizi ilibidi uzitoe mapema ili watu wazifanyie kazi,its too late now!
 
Tumekusikia lakini umechelewa kuwasilisha hoja na malalamiko.Hukuona wenzako wa SAUT walileta habari mapema jamvini na wadau wakatoa directives zao.
 
kwa fikira zangu tusibilege kashinda kihalali coz sera zake watu walizikubali na tulimpa kura na alimzindi mgombea mwenzake kwa kura na mimi binafsi nmeridhika na matokeo kabisa hayo mengne kwamba cjui kawekwa mi siyajua ila frankly speaking namkubali sana vice president wetu tusibilege benjamini n i wish her all the best
 
sisi kama maveteran wa UDSM mambo yote tunayafahamu kwanza kabisa kuna jamaa alisimamishwa masomo na amerudi kwa sasa alinambia kua wagombea wote waliowekwa hakuna hata moja mwenye malengo mazuri na umma wa UDSM.kifupi walikuwa pandikizi, mtoa mada system imevurugika hapo chuoni kila kona wamejaa TISS SIJUI WAKO FIELD AU LAH cha msingi piga kitabu umalize salama watoto hao wa TCU hawabebeki.
 
npo bungen naskilza baraza la mawaziri la kisanko. kituko cha kwanza amemchagua mwemyekt wa COICT kuwa waziri wakt mwenyekt c sehemu ya bunge kadir ya DARUSO CONSTITUTION. kwa aibu vice anampelekea jina lingine.
 
Hoja zako zimejaa
-umasikini wa kisiasa kana kwamba mwenye itikadi ya chama hatakiwi kugombea daruso hasa akiwa ccm..
-ucolledge..mwalimu ni cass hata pspa pia ni cass ya udsm hiyohiyo...

Hauijui daruso na hila za kuweka maraisi wao..ni wazi kuwa kisanko hakuchaguliwa na dean wala uongozi wa ccm ni wanauudsm wenye maamuzi sahihi wasiotaka kumuongezea yassin pesa zingine za kufisadi fanya utafiti utabaini
kisanko na eggy mgombea urais waliwekwa kama maboya ili apite yassini aliyekuwa anapendwa na uongozi
viashiria vya kutengenezewa yassin njia
kushindanishwa na watu wadhaifu
viongiozi wa daruso kumpigia kampeni
kufanya kampeni za pesa nyingi kana kwamba si mwanafunzi
huijui daruso na kampeni za udsm
maamuzi ya wanaudsm ni sahihi kabisa fatilia siasa za udam zikoje pale panaposhindanishwa marais dhaifu na strong nini kinafanyika kama hujui ulilza mwaka wa tatu kilichomkuta shukuru kwa rais kilawa.........
 
Mwanafunzi na Msomi unaandika kwa mpangilio huu?

Mpangilio mbovu wa sentensi.
Kutokuwa na matumizi sahihi ya herufi kubwa na ndogo.
Matumizi hafifu ya koma na kituo kikuu.

Mfano:

sina maana kuwa bwana yasini alikuwa msafi kwani anaandamwa hadi leo na kesho na makosa ma5 mahakamani juu ya upotevu au kwa maneno mengine ubadhirifu wa pesa za DARUSO zaidi ya mill 40 akiwa kama waziri mkuu aliyemaliza muda wake. kesi iyo ilipaswa kuamuliwa na judicial board ambayo ndiyo ilimwezesha kupenya hadi kugombeaa uraisi japo aligaragazwa na bwana kisango.
 
Back
Top Bottom