sterling
Senior Member
- Aug 6, 2011
- 159
- 29
[h=6]nimevumilia nimechoka bora kusema ukweli; hii nchi kuna uzembe,ujinga na majina yanayofanania..
1. unamaliza chuo unagraduate hata trancripts bado..hiyo haitoshi chet had 1 yr ipite.. tutafika????
2. mahali uliposoma wanatangaza kazi unaapply hawachukui wakufunz wake wanaajili wengne..c matope hayo!!!asa mnafanya nin basi fungeni hizo institute zenu..hazina msaada
3. wanaleta malecturer kutoka nje wakati watz kibao wamefauru vzur na hawana kazi...wanatengeneza nin hapo...watz watapata kaz nje pia????na wanawafundsha wa nin kama hawawaamini...fungeni hivo vyuo mtutafutie vya majuu
4. nasoma tz..mwngne kasoma abroad(cjui ndo wenye meno) tunatafuta kazi wote watz kazi za kiajabu ajabu tu..wenye nazo zinazopay...nimechoka
5. aliyesema watz hatuwezi nani..hiyo miradi mngetuachia tujitutumue tusingeweza????sehemu nyeti ndo za wageni wazawa aaahhh huu uzalendo gani jmn????[/h]
1. unamaliza chuo unagraduate hata trancripts bado..hiyo haitoshi chet had 1 yr ipite.. tutafika????
2. mahali uliposoma wanatangaza kazi unaapply hawachukui wakufunz wake wanaajili wengne..c matope hayo!!!asa mnafanya nin basi fungeni hizo institute zenu..hazina msaada
3. wanaleta malecturer kutoka nje wakati watz kibao wamefauru vzur na hawana kazi...wanatengeneza nin hapo...watz watapata kaz nje pia????na wanawafundsha wa nin kama hawawaamini...fungeni hivo vyuo mtutafutie vya majuu
4. nasoma tz..mwngne kasoma abroad(cjui ndo wenye meno) tunatafuta kazi wote watz kazi za kiajabu ajabu tu..wenye nazo zinazopay...nimechoka
5. aliyesema watz hatuwezi nani..hiyo miradi mngetuachia tujitutumue tusingeweza????sehemu nyeti ndo za wageni wazawa aaahhh huu uzalendo gani jmn????[/h]