nyie madogo mnaotaka kuomba vyuo mwaka huu kueni makini,hiki chuo chakata(UDOM) nibalaa,mikopo wanaiba sana,wenzangu namm nyumbani kweupe nakama mnacutt off pts nzuri ombeni tu vyuo vingine,hili lichuo hovyo kabisa,watu wengine hawajapew pesa hadi sasa nawanataka kuwadhulumu,mwenye masikio na asikie,nawasilisha.......!