UDOM HALI NI TETE! Waziri mkuu na Rais wa Nchi njoo UDOM.

mmh... muda si mrefu ataibuka mtu na kudai tatizo la kuchelewa kwa fedha za wanachuo UDOM CDM inahusika!
 
mimi kinachonikera ni wadada mwasomi mkikosa pesa mnawaza kujiuza.inasikitisha sana usomi wenu siuoni kama hamna maadili.ndio maana nasikia eti hata hapa dar wanavyuo wanajiuza!...kwa mwendo huu bora tusiwe na vyuo vikuu,sisi tunadhani tuna vyuo vikuu kumbe tuna madanguro!
 
Vumilieni mpaka wakati wakuja kutafuta michango ya uchaguzi.Vuteni subira
 
Kwani uongozi wa udom unakazi gani?kwanini wasiende panapo husika kwanza mliniuzi sana mlivyojipendekeza kumchangia baba rizi wakati wa kampeni ndo mkome unafiki wenu umewaponza
 
Rais sikia hili alisemalo Bapupeghe.
Utakapohudhuria, liambie Baraza la Mawaziri kwamba Miradi Mikubwa kama UDOM inapaswa kuanzishwa kwa kuongozwa na sababu za kiuchumi badala ya siasa. UDOM ilianzishwa HARAKA kwa kusukumwa na utashi wa kisiasa kwamba ktk Uchaguzi Mkuu wa 2005 Chama kitapata kura nyingi kwa kukusanya watu mahali pale. UDOM ilipaswa kuanzishwa kama school of certain specific and modern disciplines, say cyber issues e.g the cyberjaya in Malaysia. Masuala yote ya electronics yangeanza kwanza hapo. Kadri uchumi wa nchi unavyomua, tungetumbukiza tena discipline nyingine e.g masuala ya madini na gesi ehich are the currently rare professions in our land. Education ingebaki kwanza DUCE, Mkwawa na vyuo vingine vilivyokuwepo. Hili halikutizamwa. Kichotazamwa haraka ilikuwa ni kujaza watu wengi UDOM wasaidie uchaguzi 2005.

Hoja ninayoieleza hapo juu siyo tu kwamba ingesaidia taifa kuwa na special training on modern professions eg mafuta, gesi na madini mengine bali pia ingesaidia vyuo kuongezeka kwa uwiano unaokaribiana na idadi ya watu na Ukuaji wa uchumi kisha kupunguza hili tatizo la kuwalaza na njaa wanafunzi kwa sababu ya serikali kukosa fedha.

Kwa maana nyingine, haya yote yangetazamwa, yangepu.guza pia deni la ndani serikali. Kwa sasa ujenzi wa UDOM umechangia sana kukua kwa deni la ndani la serikali ndiyo maana serikali haitaki kusaini memorandum of understanding kati yake na taasisi zilizotoa mikopo ya kujenga UDOM. Doc hizo zikisainiwa zitaonesha bilashaka kwamba Serikali imezidi limiti ya kukopesheka.

Kwa hiyo Rais utakapoitikia eito wa Bapupeghe ulipate na somo hili pia

Nikukumbushe tu kuwa udom ilinza 2007 na si 2005 kama unavyojaribu kuelezea. Kwa hiyo basi maelezo yako mengi ni batili.
 
Nackia kinaongozwa na ndugu zangu akina Idrisa kikula na wustaazi mlocha
 
Nikukumbushe tu kuwa udom ilinza 2007 na si 2005 kama unavyojaribu kuelezea. Kwa hiyo basi maelezo yako mengi ni batili.

uko sahihi Cognitivist,
ni uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010. maelezo yangu mengine ni maoni yangu ambayo wewe unaeona ni batili unapaswa kuyapinga kwa maoni mbadala bila kuishia kusema tu kuwa ni batili. Kwa hiyo nakubaliana nawe ktk mwaka wa uchaguzi kuwa ni mwaka 2010. Kuhusu ubatili hujanisaidia kwani hutoi usahihi.
 
Taarifa za kuaminika ni kwamba pamoja na serikali ya Jk kutoa pesa mapema za kujikimu, Mpaka sasa Tangu chuo Kifungue Mwaka Jana zaidi ya wanafunzi 1500 hajapata sitahiki zao.

Kinacho shangaza ni pale wanafunzi wanapoenda Kudai wanapewa majibu ya kama vipi ahilisha Mwaka uje Mwakani.

Kitendo hiki kinaweza kufanya habari za mwezi uliopita kuwa wana UDOM Wanajiuza kuwa za kweli. Wanafunzi wamekuwa na Maisha Magumu na Kuto kukopesheka tena hapo chuoni na badala yake kula Chapati na Viazi tu.

Nilivyo zungumza na kiongozi Mmoja wa serikali ya wanafunzi amesema wanaanda utaratibu wa Siri wa kumuona Rais au waziri Mkuu.

Kikwete ukoa Udom maana ndiyo jicho lako na linalokupa wewe sifa kubwa afrika.

This is the product of what U did.
 
Wanafunzi 40,000 ni wengi sana kuweza kuleta effect kwenye uchaguzi, but cha ajabu Dodoma nzima hakuna mbunge wa upinzani hata mmoja.

Shauri zenu!!!
 
Tulielezwa UDOM ni kama Barcelona vipi tena?

Kwani mmeamua kumuuza Mess, Eniesta, Xavi?

-Kama hali ya maisha ni hiyo inaashiria kuwa ni kweli mabinti wa UDOM wanajiuza hadi kwa jero jero au buku buku.
Dhambi ya usaliti ni mbaya sana,ni sawa na kula nyama ya mtu,utaendelea kuila tu,kipindi watoto wa masikini wa nchi hii wakiwa mabarabarani wakipambana na kukwepa mabomu ya machozi na risasi za moto,wanafunzi wa UDOM mliwakejeli kwa kujiona mko karibu na IKULU,sasa ona mnavyojiuza hovyo hapa mjini DODOMA,mmekuwa kama kondoo alikosa mchungaji,poleni sana wasaliti wakubwa ninyi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:violin::violin:
 
Mimi nimekuwa nikizungumzia upuuzi wa hiki chuo chetu majitu yamekuwa maoga eti viapo...............jinga kweli viapo vyenyewe batili.....hivi hao washauri wa chuo ktk mambo ya kisheria sisi tunashindwa kuwaelewa,.....sasa mimi ni moja kati ya watu waliochoshwa na dhuruma za hiki chuo........manung'uniko ni mengi na watu ni wenye hasira na machungu zaidi ya migomo yote iliyowahi kutokea sasa....lifumbieni tu hili jambo mambo najiandaa peke yangu na nahapa haki ya mungu..naomba na mungu nisaidie kwa hili manake ujasiri tayari umenipa.....naandaa bango peke yangu naingia barabarani na omba wanaoathirika na mfumo wa hiiki chuo mniunge mkono....nawasilisha
 
Naskia mmeanzisha kaambiance kenu ka bei nafuu(jero). Mlivokua mnashobokea magamba hadi mkachangia mheshimiwa akachukue form hamkujua mnatoa maji kwenye vibobo na kuongezea baharini?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kwanza nahoji,aliyewaambia fedha za kujikimu zilitolewa mapema ni nani? Kama zilitolewa mapema zimekwama wapi na kwanini? Nategemea ninyi watoto wa wakulima msome kwa kuelewa bahati mbaya nimegundua mnakariri. Mnachofanya ni kujilinganisha na vyuo vingine vilivyopewa hela bila kujiuliza kiundani. Chuo cheni kina mizizi ya ccm kuanzia serikali ya wanafunzi,utawala na wizara ya elimu.Fedha zenu mnalipwa na HESLB wanaopokea fedha kutoka hazina,je mna uhakika bodi ya mikopo ilipokea fedha ya kutosha kuwalipa? Hazina ni mfuko wa serikali (ccm) ambao wanajua mpo chuoni,jiulizeni kwanini hamlipwi wakati mpo kwenye budget ya 2012/2013? (>>>budget deficit).Mnataka Pinda na JK wawasaidie ili mlipwe,je vyuo vingine walifanya hivyo? Je,mnamshitaki nani kwa Mhe.JK? Think big you guys,stop that blind loyalty to the current regime,Mkapa aliwahi kusema haki haiombwi ila inapiganiwa.Mwisho,Kwani Rais na Mhe.Pinda wapo JF?
 
Huyu juzi kaleta post ya kusema kaandaa mkutano wa utekelezaji wa ilani ta ccm sasa tena leo anakuja kulalamika kuhusu kuchelewa mkopo si anatuchezea akili zetu kama sio unafki wake ni nini
 
Nackia kinaongozwa na ndugu zangu akina Idrisa kikula na wustaazi mlocha
huyu alikuwa UCLAS (ARU asaiv) kabla ya kupelekwa UDOM, jamaa ni mdini na mkabila sana, UCLAS kule adm.. kajaza wazenji tupu,
 
Back
Top Bottom