ZITTO mnafiki. Analeta hizi habari sasa hivi.
Angekuwa na nia dhati angeleta hizi taarifa zamani.
Vilevile anasahau ya kuwa zile meseji zilizotumwa Tanzania nzima za kusema WAISLAMU MSIMCHAGUE PADRI SLAA SABABU ANATUMIKIA KANISA NA ATAWANYIMA HAKI WAISLAMU KAMA ATACHAGULIWA
Meseji hizo zilitumwa kwa wapiga kura hadi vijijini.
Hizi meseji ziliwapa hofu wananchi na kuchochea kampeni za misisikitini na makanisani.
Hakuna mtu aliyekemea hizi meseji hadi leo hii!
Angekuwa na nia dhati angeleta hizi taarifa zamani.
Vilevile anasahau ya kuwa zile meseji zilizotumwa Tanzania nzima za kusema WAISLAMU MSIMCHAGUE PADRI SLAA SABABU ANATUMIKIA KANISA NA ATAWANYIMA HAKI WAISLAMU KAMA ATACHAGULIWA
Meseji hizo zilitumwa kwa wapiga kura hadi vijijini.
Hizi meseji ziliwapa hofu wananchi na kuchochea kampeni za misisikitini na makanisani.
Hakuna mtu aliyekemea hizi meseji hadi leo hii!