mtoto wa mjini
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 1,754
- 896
Mkuu, ebu tupe tafsiri ya haya maneno mawili. Uongo,Ukweli. Uongo unakuwaje na ukweli unakuwaje?.Kaka Pasco, hoja yako hasa ni ipi? Unaandika mambo mengi lakini hulengi kwenye hoja. Unathibitishaje kuwa unaouita uzushi ni uzushi au uongo kweli? Kwani hakuna uzushi na uongo unaotetewa? Uongo ni uongo;ukweli ni ukweli