kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,871
Habari iwe nanyi,
Ndugu zangu hawa watu wa UDART wana madharau makubwa sana kwa wananchi wa nchi hii.
1. Madereva wa mwendokasi wananyanyasa sana abiria, yaani wanaweza kuamua kwa makusudi kuegesha magari kwa madai ya kuwa mbele ya muda. Hili limekuwa likitokea hasa kwenye terminals kama Feri, Kimara na Morocco.
2. Unapopanda kwenye terminal ya kuanzia kama Morocco, Kimara au Feri hawasemi gari ni express, wanakuja kutangaza njiani. Mfano jana tumepanda mweno kasi dereva akakataa kuao gari feri kwa madai kwamba hana mafuta, wananchi tukaingia, jamaa akatufungia ndani akatoka kwa dk 15 watu tumekaa tunamsubiri tu, aliporudi akawasha gari bila hata ya kuongeza mafuta. Hakusema gari ni express lakini tulipofika DIT akatangaza gari ni fire na kwamba kituo cha kwanza ni Korogwe. Ikabidi wale wa manzese na wengine wa Ubungo maji tufike hadi Korogwe ndipo turudi nyuma.
3. Siku ya mvua kubwa ile hawa watu walikuwa wanakata tiketi huku wakijua magari hamna.
Jamani hawa watu wamulikwe kwakweli maana wanasababisha kero, usumbufu na unyanyasaji kwa rais.
Kindikwili kwasasa DSM.
Ndugu zangu hawa watu wa UDART wana madharau makubwa sana kwa wananchi wa nchi hii.
1. Madereva wa mwendokasi wananyanyasa sana abiria, yaani wanaweza kuamua kwa makusudi kuegesha magari kwa madai ya kuwa mbele ya muda. Hili limekuwa likitokea hasa kwenye terminals kama Feri, Kimara na Morocco.
2. Unapopanda kwenye terminal ya kuanzia kama Morocco, Kimara au Feri hawasemi gari ni express, wanakuja kutangaza njiani. Mfano jana tumepanda mweno kasi dereva akakataa kuao gari feri kwa madai kwamba hana mafuta, wananchi tukaingia, jamaa akatufungia ndani akatoka kwa dk 15 watu tumekaa tunamsubiri tu, aliporudi akawasha gari bila hata ya kuongeza mafuta. Hakusema gari ni express lakini tulipofika DIT akatangaza gari ni fire na kwamba kituo cha kwanza ni Korogwe. Ikabidi wale wa manzese na wengine wa Ubungo maji tufike hadi Korogwe ndipo turudi nyuma.
3. Siku ya mvua kubwa ile hawa watu walikuwa wanakata tiketi huku wakijua magari hamna.
Jamani hawa watu wamulikwe kwakweli maana wanasababisha kero, usumbufu na unyanyasaji kwa rais.
Kindikwili kwasasa DSM.