Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 988
Ninatumia king'amuzi cha ZUKU na mimi hupenda kuona LIVE hasa mpira. Nimefungua Zuku matangazo yanakuja yakiwa yamechelewa, mfano nikiweka dish(FTA) au antenna nakuta wanashangilia goli wakati ktk Zuku bado na vilevile naona matangazo TBC lakini upande mwingine taarifa tayari imeshaanza. Maana yake nini? Wanarekodi ndiyo wanarusha wakiwa wamechelewa wasidaiwe na wenye Tv?.